Aman iwe nanyi wapendwa,
Naombeni msaada wenu kwa hali na mali juu ya hali yangu
Kwanini kila nikimaliza kufanya mapenzi na mwanamke mbavu huuma sana hasa yanapopita masaa 24. Jana niligegeda...
Faida za Massage katika Mifupa
Massage ina faida nyingi katika kuboresha afya ya mifupa. Mifupa ni tishu muhimu sana katika miili yetu, kwani mifupa huunda kiunzi ambacho:-
i. Huupa mwili umbo...
Nataka kujua hivi matibabu ya kisaikolojia yanamchumkua muda gani muathirika kupona?.
Je yanaweza kutumia miezi 3???
Psychological problem can lapse for 3 weeks only, why some are taking too long??
Wakuu habari za mchana?
Natumaini mko sawa na mishe kama kawa zinasogea.
Nimebahatika kupata mwanamke mzuri ambae mpaka ninapoandika uzi huu ni mjamzito na mungu akijaalia mwezi ujao tunatarajia...
Nilisex na msichana kwa muda mfupi tu mida ya jioni cha kushangaza nilipoamka alifajiri kesho yake nilijihisi mchovu kweli na mbavu zinauma
Hali hii ilichukua siku mbili tu baada ya hapo...
FF. Doctors heshima kwenu,
Mimi ninasumbuliwa na matatizo ya maumivu upande wa bega la kushoto, juu kidogo ya moyo.
Nimekuwa nikisumbuliwa na hii shida kwa muda wa zaidi ya miezi mitatu na hapa...
Habari zenu wote...
Niende direct kwenye mada kuna mtu namfahamu amepat shida ya figo, imepelelekea mpaka kua anasafishwa kila wiki hospitali.
Kinachonifanya niulize humu ni sababu aliyonipa ya...
Kumekuwepo na tatizo la vifo vya ghafla sana tena kwa watu ambao wana afya njema na hii inatokana na kuamka ghafla usiku ambapo ubongo hukosa damu ya kutosha.
Unapoamka katikati ya usiku kwenda...
Kama kuna mtu anafahamu tatizo linaweza kuwa nini anijulishe. Toka Alhamisi naona mashine haisimami nilidhani labda ni reaction ya dawa lakini sijawahi pata reaction kama hiyo, ukichukilia mpaka...
Naomba kuelimishwa njia nzuri ya kufuatilitia kiasi cha sukari ndani ya mwili.je unapima sukari baada ya kumeza dawa?au unapima kabla.?na je ni kipimo kipi kinakupa uhakika wa jinsi sukari yako...
Mapendo jamani.... Amina.
Wakuu nina mdogo wangu wa kiume (15 years) ametoka Mwanza amekuja Dar kusoma short course ya Sound Engineering pale Ilala.
Sasa tangu amefika nimeona mambo ya kiaina...
Kiukweli hili jambo lanichanganya sana. Mtu waweza pata magonjwa ya zinaa kama kaswende na mengineyo hata kama hujafanya ngono?
Hii ni mara ya pili napimwa naambiwa nina magonjwa ya zinaa hali...
Natumaini humu jukwaan tuna madaktari wazuri na hata watu wengine waliokwisha kutana na tatizo kama langu mwanangu ana miezi 7 sasa, akicheka sana anapatwa na kwikwi.
Mpaka nimeacha kumchekesha...
Mambo Mabaya Ambayo Mkazo (Stress) Hufanya kwa Mwili Wako:
Ni hatari kwa afya ya moyo! Kila kipindi ambacho mtu anakuwa na mkazo, homoni ya adrenalini hutokezwa ambayo huongeza mapigo ya moyo na...
Habari wanajamvi,
Kuna dogo hapa kitaa katoka kufanya yao na jamaa yake sasa anahisi hajielewi elewi sasa wenye maujuzi ya dawa yoyote, maana huyu dogo anaogopa mimba sana.
Msaada wa tatizo hilo...