Wakuu nina tatizo la kukosa nguvu za miguu na kusinzia muda wote nimeeenda hospital wamesema ni low BP.
Ninasinzia tu tangu asubuhi na nikitembea napepesuka
Anayejua tiba na nini, tatzo anijuze.
Habari za majukumu wakuu wenye ujuzi wa afya na wenye matatizo ya afya pia.
Kama kilivyo kichwa cha habari nasumbuliwa na macho kwa miaka mingi sasa na tatizo kubwa ni kuwa na macho mekundu ilo...
Madaktari mwaka 2016 nilifanyiwa upasuaji Wa uvimbe chini ya kitovu wakati wa upasuaji nilichomwa sindano ya ganzi kwenye uti Wa mgongo mwaka 2017 nikaanza kujisikia kama kuna kitu kinanitembea...
kwa mtu mwenye tatizo kama hili achukue manemane na aisage na kuwa unga laini kisha awe ana nyunyizia kichwani sehemu iliyoathirika inshaallah utapona na tatizo kuondoka.
Rosemary Alvarez alijikuta akiwa na maumivu ya kichwa na mkono kukosa nguvu. baada ya kufanyiwa scanning ikaoneka kama ni "brain tumor", pindi alipofanyiwa upasuaji alikutwa na "mnyoo (taenia...
Amsterdam PrEP failure patient had unusual course of HIV infection
Researchers speculate that continued PrEP might stop local infections becoming systemic
Gus Cairns
Published: 02 October 2017
At...
1. Usinywe maji ya moto baada ya kula chakula.
2. Usinywe maji ya baridi.
3. Usile vitunguu maji na kitunguu thaum kwa pamoja.
4. Usile kitu kikali halafu hapo hapo ukanywa maziwa ni hatari.
5...
Habari zenu wandugu,
Ni muda mrefu nilikuwa kimya lakini yote ni katika harakati za utafutaji ukizingatia utawala huu hakuna tena zile dili za upigaji.
Niende kwenye mada,
Nina mdada ambaye...
Wapendwa habari zenu mie mgeni mwenzenu naomba kujua hili etii vile vifaa vya kupima ujauzito, jina la kitaalamu silijui vina mstari wa blue na red vinatumika kipindi kipi haswa i mean,kuanzia...
Assalamu alaikum, Leo nipeonelea kutoa mada hii maana tatizo hili linawakumba wanawake mbali mbali kwasababu mbali mbali ikiwemo
Hormone imbalanced
Utumiaji wa dawa za upangaji uzazi.
Matatizo ya...
Habari wakubwa.? Jino lanisumbua Sana nakosa raha kabisa! Please tupeane msaada na maelezo pia mana nimetoa juzi na Leo mawili yanasumbua tena nini tiba ya hili?
Naomba kuulza dawa inayoweza saidia kutibu skin asthma au eczema au allegy ya ngoz ambayo imekuwa chronic..? Maeneo alyopo kumpata doctor wa ngozi ni ngumu naamni umu tunaweza pata msaada!
Habari wadau,nilipokuwa mwanza tarehe 28,Jully ulikuwa siku ya homa ya ini duniani,nikaona kwenye fb wamepost ila sikujua kazi yao nini hasa hadi sasa mwenye kujua anijuze jamani
Assalamu alaikum.
Leo napenda kutoa faida ya mtu anae matatizo ya MAUMIVU YA VIUNGO. Kabla sijatoa tiba Mara nyingi tatizo hili linasababishwa na baridi na wale wanapendelea sana kula Nyama...
Pumu ya Ngozi ni nini ?
Pumu ya Ngozi ni ugonjwa wa ngozi unaosababisha kuvimba kwa ngozi (inflammation). Hii huambatana na ngozi kuwasha, kuwa nyekundu, kavu, vipele na mabaka.
Ugonjwa huu ni...