Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

NIMESHARE NA WEWE MWANA JF NIMEITOA FB KARIBU TUJITIBU SOTE. Hii ni orodha ya magonjwa 90 kwanza. Inapotokea wafalme wa Misri, Malkia wa Ulaya, Mitume na wanasayansi wa kisasa wanakuja na...
4 Reactions
29 Replies
39K Views
Uelewa mdogo wa jamii kuhusu masuala ya lishe ikiwemo matumizi sahihi ya vyakula vinavyopatikana katika maeneo mbalimbali ya nchi ni miongoni mwa sababu zitajwa kuchangamoto utapiamlo ndani ya...
0 Reactions
0 Replies
155 Views
Habari wakuu Rejea kichwa tajwa hapo juu,kuna dada anasumbuliwa na huu ugonjwa anawashwa ukeni na tumbo linauma kwa chini. Naomba dawa nzuri itakayomsaidia.
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Salaam. Nimejaaliwa kupata mtoto mchanga na anatimiza mwezi wa pili kesho kutwa. Nikiri kwamba huyu ndie mtoto wangu wa kwanza, leo katika kufanya observation ya mtoto nimeona kabonyea upande...
1 Reactions
7 Replies
10K Views
Salaam. Wadau naomba msaada wenu wa njia mbadala wa kupunguza uzito , tunafanya Mazoezi lakini matokeo yake ni kidogo sana. Kama kuna Mdau mwenye ushauri mzuri kuhusu suala hili atusaidie au Kama...
8 Reactions
62 Replies
1K Views
Nimefanyiwa root canal treatment nimewekewa dawa sielewi ni dawa au nini inayeyuka kadri siku zinavyoenda na shimo la Jino linaonekana napata shida hata kula siwezi Mwenye Experience na root...
1 Reactions
27 Replies
6K Views
Wapendwa naomba msaada wa dawa nzur ya watoto ya amoeba na minyoo ya safura kapewa dawa ya minyoo ya vidonge imegoma anamiaka minne
0 Reactions
2 Replies
493 Views
Habari zenu wana JF TATIZO; Nilikuwa najihisi nina malaria, baada ya kupima nilikuwa nayo ipo ya kutosha Nilitumia dawa zinaitwa EKEFLIN (za Kenya) but baada ya hapo asubuhi niliamka na hali...
2 Reactions
36 Replies
7K Views
Kuna kesi ipo mtaani: Kuna wagonjwa (mke + mume) wa HIV ambao walishapima tangu miaka 15 iliyopita baada ya kuumwa mara kwa mara magonjwa kama vile fungus, typhoid na maradhi mengine Baada ya...
4 Reactions
18 Replies
4K Views
Salaam Wakuu, Binafsi nimekuwa nikisumbuliwa na maumivu tumbo la chini kulia, maumivu makali sana baadaye yanapotea. Baada ya vipimo vya x ray, ultra soun na CT scan imebainika nina mawe matatu...
5 Reactions
31 Replies
2K Views
Nipo naumwa jamani sasa katika swala la lishe naona napata changamoto sana vidonda vinanipa shida sana ndani ya mdomo na ulimi. Nimejaribu kutumia vitamin B complex lakini naona dozi inaishia...
2 Reactions
18 Replies
9K Views
Naombeni ushauri na msaada kuna mtoto anakohoa sana nimetumia dawa zote hospitalini lakini bado. Wakati wa usiku ndo vinazidi mpaka anashindwa kulala halafu kinakuwa kikohozi kinamletea kama...
3 Reactions
49 Replies
4K Views
ATHARI ZA KUPIMA UTI PASIPO ULAZIMA Ukienda kupima malaria unaambiwa una UTI. Ukijisikia dalili za homa inayotokana labda na infection kwenye jeraha, dokta anakuambia utapata dawa za kidonda na...
6 Reactions
10 Replies
852 Views
nimegundua vijana wengi na watu wazima ambao sio wazee ambao hunyoa kipara kichwa chote muda wote huwa wanavipara kama vya wazee ikitokea wameacha kunyoa nywele. Asilimia kubwa. Jana nikiwa kwa...
2 Reactions
45 Replies
12K Views
VICHOMI ni lugha ilio zoeleka kwa wanao sema kua kuna vitu vinachoma juu ya tumbo au mbavu, maumivu makali na ya mda mfupi kama mwiba umechoma eneo kilo. LAKINI KIUHALISIA TUKISEMA TUNAVICHOMI...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ADUI WA KWANZA MAGONJWA Magonjwa ni adui namba 1 wa uume wako. Magonjwa ya sehemu za siri, magonjwa ya mwili. kwa ujumla, na magonjwa ya wanaume kama - tezi dume ni adui wa uume wako. Ugonjwa kama...
31 Reactions
48 Replies
25K Views
🔹Kuwa kijana huja na Matukio ya kusisimua ambayo yana Changamoto maradufu. 🔹Akili ya kijana hukua Kulingana na namna anavyoshughulikia maisha yake ya kila siku. 🔹 Tafiti Zinaeleza kuwa 75% ya...
5 Reactions
9 Replies
370 Views
Jamn siku ya leo nimeshindwa kufanya tendo nikiingia kidogo kwenye uke namwaga mapema. Mwanzoni nilikuwa muhanga wa punyeto lakin nimeacha kwa muda mrefu kidogo ila sasa nashindwa kufanya tendo...
6 Reactions
72 Replies
2K Views
Ngumi za kutoana damu, au hata ngumi za kumpiga mwizi. Kunaweza sababisha maambukizi ya VVU na hatimaye UKIMWI?
4 Reactions
8 Replies
425 Views
Ni siku ya 16 sasa hamu ya mapenzi iko juu San Imenifanya nmefuluriza nafanya mapenzi sana kila siku iendayo kwa MUNGU Kuanzia tarehe 02 april mpaka leo hii tarehe 18april Kinachonisikitisha...
11 Reactions
164 Replies
14K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…