Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habar zenu wakuu! Naitwa Aleyn, nipo hapa Jf toka 2011 ila nimeijua JF toka 2009. Leo ninaleta kwenu mrejesho jinsi nilivyofanya surgery ya macho makengeza. Nitaandika kwa kukatisha katisha...
24 Reactions
33 Replies
6K Views
Habari wakati huu wadau. Nmekua na tatizo la vidonda vya tumbo ambayo hua vinakuja na kuondoka baada ya mda. Mara zote hua natumia dawa ya Omeprazole pamoja na dawa za kutuliza maumivu na...
2 Reactions
30 Replies
7K Views
Wakuu habari zenu. Natumaini mu wazima. Kama title inavyosema hapo juu hivi ni kitu gani/sababu gani inayofanya kumwaga\kuejaculeti mapema ni nini sababu maana nilishawahi kufuatwa na watu kama...
1 Reactions
5 Replies
508 Views
Habarini wana afya, Mimi ni mwanamke umri ni 40+, nina shida kwenye kubana mkojo. Nikibanwa na mkojo nipate haraka mahali pa kujisitiri vinginevyo unatoka kidogokidogo yaani kuubana siwezi au...
3 Reactions
19 Replies
837 Views
Kila siku mfalme wa China Kang Xi Alitakiwa kulala na wanawake 9 kutoka katika Harem yake. Alitakiwa kumridhisha kila mmoja.. Hizi ni njia alizotumia …. Ugunduzi huu unaonesha Dawa na njia...
5 Reactions
16 Replies
4K Views
Habari ndugu zangu, Kwa masikitiko makuu, mimi ndugu yenu mwenye uwepo wa wanawake wengi na mpigishwa punyeto na mpiga punyeto kwa muda wa miaka mingi sana sasa nimeteketea naombeni msaada wa...
5 Reactions
30 Replies
3K Views
Dyslexia ni changamoto katika ubongo ambayo husababisha matatizo katika kusoma, kuandika, na kuelewa lugha. Hii ni kutokana na shida katika jinsi ubongo unavyochakata habari za maandishi. Watu...
0 Reactions
1 Replies
284 Views
Maana yake “Dyslexia is a learning disorder that affects a person's ability to read, write, spell, and speak. It is a neurological condition that makes it difficult for people with dyslexia to...
0 Reactions
9 Replies
835 Views
Poleni na majukumu wanajamvi, msaada wenu wa taalamu. Nifanyeje nimridhishe mchumba wangu wakati wa tendo? Maana analalamika uume wangu mnene sana, namuumiza. Msaada, nitumie mbinu gani ili...
7 Reactions
33 Replies
1K Views
Kichwa Cha habari chajieleza naomba msaada Wana JF maana nimeomba vya serikali nimekosea hovyo naulizia vyuo vizuri vya private maana Nina mpango wa kujiendeleza na degree
0 Reactions
0 Replies
574 Views
Unatakiwa kufanya yafuatayo 1. Hakikisha umeacha punyeto kabisa Ili upone tatizo hili hutakiwi kuwa mtu wa kubadilika mawazo hovyo. Kama umeamua kuacha basi acha kabisa na futa kichwani kwako...
4 Reactions
24 Replies
73K Views
Ni wazi kuwa tumepata kuona kwenye vituo vyetu mbalimbali vya afya wagonjwa wa Hydrocephalus, watoto wetu wamekuwa wakipata matatizo haya kwa kiwango kikubwa. Kwa zaidi ya miaka 10 nimekuwa...
0 Reactions
0 Replies
218 Views
Wakuu katika mazingira ambayo kwa sasa sipendi kuyaelezea kuna mtu nimemshuhudia akiweka kidonge cha Valium kwenye soda aina ya Cocacola. Ningependa kujua kutoka kwenu madhara ya mchanganyo kama...
2 Reactions
6 Replies
15K Views
Subscribe Supercentenarians who live past 110 have 9 things in common, according to a scientist who studies them Serafina Kenny Jul 10, 2024, 4:02 AM ET Share Read in appDrazen Zigic/Getty...
1 Reactions
1 Replies
317 Views
Mimi mwanaume miaka 28 nasumbuliwa sana na maumivu ya kiuno ninapolala usiku kwa takriban miaka miaka 9. Nimekwenda hospital nyingi kama vile General hospital in Dodoma, Muhimbili, Agha Khan...
0 Reactions
52 Replies
75K Views
Nina maumivu ya Abdomen na sijapata choo tokea vyakula nilivyokula Alhamisi iliyopita. Jana nimekunywa dawa za kuharisha vidonge vinne Kwa muda mmoja (inatakiwa Kunywa kidonge kimoja) lakini...
2 Reactions
41 Replies
2K Views
Wanabodi, Wenye utaalaam na mambo ya anatomy, naulizia anatomical reasons, why only some do and others don't?. For those who does, why some just some little fluid and others so much fluid?! appx...
8 Reactions
197 Replies
31K Views
Ndani ya masaa 24 nimetumia dawa zote hizo hakuna nafuu niliyopata bado sikio la upande wa kulia linauma kichizi kama mtu ananichoma na msumari tena wa moto. Siwezi kulala, siwezi kutembea hata...
1 Reactions
8 Replies
530 Views
Kuna mbwa hapa nyumbani amepata kichaa cha mbwa na alikua anatulambalamba tukiwa tunamtilia chakula! Hizi sindano kwa government had umalize dozi unaweza gharamia sh ngap? Nishachomaga siku...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Wakuuu hongeren kwa mapambano ya kujenga taifa Nataka jua faida ya ndimu ya unga na pia kama inaweza kuwa na madhara pia Na je ina virutubisho sawa na ndimu za kawaida Na je ina madhara yoyote...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom