Habar zenu wakuu!
Naitwa Aleyn, nipo hapa Jf toka 2011 ila nimeijua JF toka 2009. Leo ninaleta kwenu mrejesho jinsi nilivyofanya surgery ya macho makengeza.
Nitaandika kwa kukatisha katisha...
Habari wakati huu wadau. Nmekua na tatizo la vidonda vya tumbo ambayo hua vinakuja na kuondoka baada ya mda. Mara zote hua natumia dawa ya Omeprazole pamoja na dawa za kutuliza maumivu na...
Wakuu habari zenu. Natumaini mu wazima.
Kama title inavyosema hapo juu hivi ni kitu gani/sababu gani inayofanya kumwaga\kuejaculeti mapema ni nini sababu maana nilishawahi kufuatwa na watu kama...
Habarini wana afya,
Mimi ni mwanamke umri ni 40+, nina shida kwenye kubana mkojo. Nikibanwa na mkojo nipate haraka mahali pa kujisitiri vinginevyo unatoka kidogokidogo yaani kuubana siwezi au...
Kila siku mfalme wa China Kang Xi Alitakiwa kulala na wanawake 9 kutoka katika Harem yake. Alitakiwa kumridhisha kila mmoja..
Hizi ni njia alizotumia ….
Ugunduzi huu unaonesha
Dawa na njia...
Habari ndugu zangu,
Kwa masikitiko makuu, mimi ndugu yenu mwenye uwepo wa wanawake wengi na mpigishwa punyeto na mpiga punyeto kwa muda wa miaka mingi sana sasa nimeteketea naombeni msaada wa...
Dyslexia ni changamoto katika ubongo ambayo husababisha matatizo katika kusoma, kuandika, na kuelewa lugha. Hii ni kutokana na shida katika jinsi ubongo unavyochakata habari za maandishi.
Watu...
Maana yake
“Dyslexia is a learning disorder that affects a person's ability to read, write, spell, and speak.
It is a neurological condition that makes it difficult for people with dyslexia to...
Kichwa Cha habari chajieleza naomba msaada Wana JF maana nimeomba vya serikali nimekosea hovyo naulizia vyuo vizuri vya private maana Nina mpango wa kujiendeleza na degree
Unatakiwa kufanya yafuatayo
1. Hakikisha umeacha punyeto kabisa
Ili upone tatizo hili hutakiwi kuwa mtu wa kubadilika mawazo hovyo. Kama umeamua kuacha basi acha kabisa na futa kichwani kwako...
Ni wazi kuwa tumepata kuona kwenye vituo vyetu mbalimbali vya afya wagonjwa wa Hydrocephalus, watoto wetu wamekuwa wakipata matatizo haya kwa kiwango kikubwa. Kwa zaidi ya miaka 10 nimekuwa...
Wakuu katika mazingira ambayo kwa sasa sipendi kuyaelezea kuna mtu nimemshuhudia
akiweka kidonge cha Valium kwenye soda aina ya Cocacola. Ningependa kujua kutoka
kwenu madhara ya mchanganyo kama...
Subscribe
Supercentenarians who live past 110 have 9 things in common, according to a scientist who studies them
Serafina Kenny
Jul 10, 2024, 4:02 AM ET
Share
Read in appDrazen Zigic/Getty...
Mimi mwanaume miaka 28 nasumbuliwa sana na maumivu ya kiuno ninapolala usiku kwa takriban miaka miaka 9. Nimekwenda hospital nyingi kama vile General hospital in Dodoma, Muhimbili, Agha Khan...
Nina maumivu ya Abdomen na sijapata choo tokea vyakula nilivyokula Alhamisi iliyopita.
Jana nimekunywa dawa za kuharisha vidonge vinne Kwa muda mmoja (inatakiwa Kunywa kidonge kimoja) lakini...
Wanabodi,
Wenye utaalaam na mambo ya anatomy, naulizia anatomical reasons, why only some do and others don't?.
For those who does, why some just some little fluid and others so much fluid?! appx...
Ndani ya masaa 24 nimetumia dawa zote hizo hakuna nafuu niliyopata bado sikio la upande wa kulia linauma kichizi kama mtu ananichoma na msumari tena wa moto.
Siwezi kulala, siwezi kutembea hata...
Kuna mbwa hapa nyumbani amepata kichaa cha mbwa na alikua anatulambalamba tukiwa tunamtilia chakula!
Hizi sindano kwa government had umalize dozi unaweza gharamia sh ngap?
Nishachomaga siku...
Wakuuu hongeren kwa mapambano ya kujenga taifa
Nataka jua faida ya ndimu ya unga na pia kama inaweza kuwa na madhara pia
Na je ina virutubisho sawa na ndimu za kawaida
Na je ina madhara yoyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.