Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Kwema wakuu, Naombeni msaada. Nina mtoto ana umri wa miezi mitano ila ansumbuliwa na kidonda /jipu kwenye pua. Naona kama siku zinavyoenda pua inazidi kuchubuka naombeni msaada ndugu zangu niijue...
0 Reactions
7 Replies
387 Views
Kuna rafiki yangu ana tatizo la miguu kutoa harufu kali, yani akivua viatu ni balaa, akinitembelea home huwa namwambia aingie na viatu, wapo waliomshauri aloweke miguu kwenye maji ya betri mwisho...
0 Reactions
31 Replies
926 Views
Unaponyoa ndevu zako, unakata nywele kwenye usawa wa ngozi. Nywele unazoziona kwenye uso wako ni seli zilizokufa za keratinized ambazo zimesukumwa kutoka kwenye vinyweleo chini ya ngozi. Kunyoa...
4 Reactions
8 Replies
808 Views
Watoto hula kamasi yao kwa sababu ni Yana Ladha ya chumvi. Jaribu kutumia uimarishaji chanya ili kusaidia kukomesha tabia hii. Usimkaripie mtoto wako kwa kuokota na/au kula viburudisho. Badala...
0 Reactions
2 Replies
286 Views
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA KUHUSUNSHIDA HII Jamani wana JF naombeni msaada wa ushauri wenu kwani kwa muda mrefu sasa ninasumbuliwa na tatizo la kutoka mapele ya ndevu mara baada ya kunyoa...
0 Reactions
926 Replies
321K Views
India ni moja ya mataifa yanayo amini sana kwenye Tiba asilia na ndio sababu wana idadi kubwa sana ya dawa za asili. Kampuni kama Himalaya ina dawa nyingi sana za asili za magonjwa tofauti...
11 Reactions
60 Replies
2K Views
Wakuu habari ya leo, kwa miezi kadhaa nimehangaika na ugonjwa ambao hapo chini nimeweka dalili ninazozipata, vipimo na dawa nilizotumia lakini bado sijapata suluhisho. Kama kuna mwenye uzoefu...
9 Reactions
163 Replies
7K Views
Ukweli ni kuwa hakuna kijana aliyeathirika na nguvu za kiume Kuna mambo kadhaa hufanya mtu aonekane hana uwezo wa tendo ipasavyo. 1: Hili suala linategemea sana ushirikiano wa wote wawili...
2 Reactions
9 Replies
576 Views
Habari wana jamii forum. Nina mtoto wangu wa kiume miaka 2 na nusu, mwanagu huyu anasumbuliwa mno mno na kifua na hata mafua. Nimehangaika hospital nyingi anapewa madawa na kuchomwa sindano kwa...
0 Reactions
18 Replies
872 Views
Jamani naombeni msaa wenu kuhusu nini cha kufanya maana nina tatizo la kukosa choo kwa muda mrefu inakia kipindi nakaa hadi siku tano sita. Naombeni utatuzi wa tatizo hili. Asanteni.
0 Reactions
37 Replies
13K Views
Nianze na kumshukuru Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema. Ndugu zangu nauliza Kwa mjamzito ambae anaendekea na clinic akiumwa magonjwa yahusianayo na ujauzito wake je matibabu yanakuwa yanalipiwa ama...
3 Reactions
8 Replies
270 Views
Wakuu hivi hawa waganga wa kienyeji Huwa Wana maneno matamu kiasi Gani yaani mtu mpaka anamtorosha mgonjwa wake hospitali ili ampeleke Kwa mtaalamu. Cha ajabu zaidi ugonjwa wenyewe unakuta...
0 Reactions
1 Replies
255 Views
Kwa wale wenye ugonjwa wa Depression au msongo wa mawazo. Supplements za Vitamin B complex ni vidonge vyenye msaada mkubwa sana. Vitamin B complex ni mchanganyiko wa Vitamins kama nane hivi, na...
7 Reactions
24 Replies
24K Views
Maelfu ya wakazi wa mji wa ifakara na walio nje ya mji leo tarehe 30/06/2024 wameanza kupokea tiba ya macho toka kwa madaktari bingwa wa macho ambao wameweka kambi hapa kwenye hospitali ya...
0 Reactions
0 Replies
171 Views
HAPA NI ELIMU YA ASALI TU Unakuta mtu anaasali nyingi hajui matumizi yake. Niulize chochote kuhusu asali nitakujibu hapa natoa na elimu yake Dawa ya Asili ya Kikohozi Sugu VIFAA 1.Kitunguu...
6 Reactions
125 Replies
8K Views
Habari zenu wakuu, Nilikuwa nasumbuliwa na maumivu makali ya kichwa na mwili kuuma, ikabidi niende hospital kupata vipimo, majibu yakaja yanaonesha Nina damu nyingi ambapo ni 18 gm/dm (kama...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nipo Zenjibar kwa mama kizimkazi. Nimeshavuruga sana huko Mchambawima, Dole na Bubu. Changamoto kubwa week ya 3 hii nikienda haja kubwa harufu inatoka kali sana. Mimi mwenyewe nashindwa himili...
8 Reactions
24 Replies
1K Views
Jamani jamani jamani! Ukimwi unatisha! Ukimwi ni kuchungulia kaburi hata kama utajiliwaza vipi? Mimi nilikuwa mtu wa bata saana! (Hata sasa hivi japo nimekua). Siku hiyo nikawa pale Sinza mori...
14 Reactions
120 Replies
7K Views
Habari za muda wana jamvi, nina ndugu yangu amepata miscarriage, ameenda hospital wamemwambia kuna njia mbili za kusafishwa A. Kutumia vifaa vya kusafishia B. Vidonge
1 Reactions
22 Replies
719 Views
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA KUHUSU TATIZO HILI Wadau ni dawa gani inaweza kutibu minyoo hookworms,tapeworms na wengineo kwa uhakika kwa watoto wadogo na watu wazima. pia ni minyoo aina gani...
3 Reactions
73 Replies
156K Views
Back
Top Bottom