Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Baba na mwanae kutokufanana kundi la damu inasababishwa na nini? Na ni sahihi kwa watu hawa kutokufanana makundi yao?
0 Reactions
14 Replies
9K Views
Wakuu, Nina hili tatizo muda mrefu hata nijiloweke kwene jiki bado ngoma iko pale pale. Nashukuru Mungu ni mwanaume ningekua Mwanamke nadhan ningeteseka zaidi. vitu ninavoogea 1. Deto ya maji...
11 Reactions
117 Replies
4K Views
Habari za asubuhi ndugu zangu, Naomba kufahamu kuhusu kufanya tendo la ndoa na mke ambaye alijifungua baada ya mwezi mmoja. Hivi kuna madhara yoyote kwa upande wa mtoto wala kwa mama?
3 Reactions
67 Replies
2K Views
Nina miez takriban tisa kwenye ndoa yangu lakin changamoto kubwa inayonikabil ni tatzo la kukoroma usiku, hali inayomtesa sana mke wangu kipenzi. Tafadhali kama kuna mwenye dawa yoyote au njia...
0 Reactions
6 Replies
658 Views
Kuna hii hali ya vidoa vilivyopauka kutokea kwenye ngozi ya mtoto. Naomba mwenye ufahamu wa tiba yake ya asili au ya hospitalini maana tuneshatumia dawa unaenda na kurudi.
1 Reactions
5 Replies
573 Views
Nahisi nina shida ya Acid reflux, huwa usiku inatokeaga nacheua ambapo vinapanda hadi puani, kucheua huko huambatana na kiungulia kikali mnoo! Kwa sasa nahisi kama kuna kitu kimekwama kooni...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Je wajua 37% ya wanawake kujifungulia Nyumbani Nchini Tanzania? Anyway tuendelee Katika kijiji kidogo huko Pwani, Tanzania, aliishi kijana mmoja mdogo aitwaye Kaanayi, dereva bodaboda mwenye...
1 Reactions
0 Replies
326 Views
Zamani tulijibiwa na madaktari,saivi wanajibu machinga,wakulima na mazezeta waliodata kwa HIV
1 Reactions
13 Replies
600 Views
Dalili za hatari wakati wa Ujauzito Wanawake wajawazito ni vizuri wakajua kuhusu viashiria vya hatari (matatizo wakati wa ujauzito) hii ni muhimu kwa kuhakikisha afya yao na afya ya mtoto/watoto...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu zangu. Mimi ni binti wa miaka 26, sijaolewa na Sina mtoto. Mwaka Jana nilisumbuliwa sana uvimbe kwenye mayai mpaka ikapelekea kufanya upasuaji nikiwa na matumaini nimepona...
5 Reactions
124 Replies
3K Views
Za leo wandugu wapendwa, napenda kufahamu mafuta ya simba husaidia nini katika mwili wa binadamu. Asanteni
0 Reactions
11 Replies
24K Views
Matumizi ya HIV Rapid Home Test Kit Yamekatazwa Au? ◇ Maduka mengi ya dawa hawauzi hizi Kit. ◇ Yale maduka machache yanayouza unakuta wanauza kimachalemachale kama vile wanavyofanya wauza bangi...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Angalizo: mimi sio daktari wa wanawake na wala sio mtaalamu wa kiswahili Hii ni maada ambayo haiongelewi kwa upana wake nchini, yawezekana ni sababu ya kukosa maarifa, au watu wanaona kawaida na...
6 Reactions
82 Replies
4K Views
[NOTICE] May 2024 Kumekua na upotoshaji Sana katika jamii kuhusu matibabu. Pia kuna dhana ya kwamba kuna zinaa sugu, wataalamu wanakanusha. Isipokua kuna shida kwenywe diagnosis za ugonjwa...
31 Reactions
404 Replies
27K Views
Habari wana MMU, natumai muwazima ndani ya jukwaa letu pendwa. Mimi ni kijana wa makamo niliye ndani ya ndoa sasa yapata mwaka wa tatu, na tatizo linalonikabili ndani ya ndoa yangu, nilikutana na...
16 Reactions
103 Replies
6K Views
Kama kichwa kinavyojieleza hapo zaidi ya 70% ya confirmed cases za corona virus wagonjwa walipoteza uwezo wao wakunusa na kutest ladha kabla hata ya kuanza kuumwa === UFAFANUZI KUTOKA KWA...
3 Reactions
414 Replies
56K Views
Habari za muda huu madaktari, Napenda kupokea ushauri wa kitabibu kutoka kwenu maana kuna mtoto wa Dada yangu alipitia yafuatayo wakati wa kuzaliwa:- 1.UJAUZITO zile tarehe za makadirio...
0 Reactions
18 Replies
11K Views
Je paracetamol inatengenezwa kwa kutumia nini
0 Reactions
6 Replies
455 Views
Pepsi ni jina la kinywaji aina ya soda ila uki tulia kwa makini na ukalifanyia utafiti wa jina hilo linatisha vibaya. Nilicho gundua mimi katika pepsi ni maneno tofauti na awali. siku moja...
2 Reactions
23 Replies
19K Views
Je, inawezekana mtu kupata HIV, kwenye sex chini ya dakika 2?! Ikiwa ulikutana nae anatumia dawa na wadudu wake ni wachache?
8 Reactions
132 Replies
4K Views
Back
Top Bottom