Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Siku hizi ni kama nina bahati mbaya yaan Kila nikiotea kibint nakuta kinanuka ukeni .....yaan vingine vidogo tu lkn balaa.... Naomba msaada wa matibabu ya hii kitu maana Kuna bint mmoja...
22 Reactions
105 Replies
8K Views
Hello, habari za muda huu! Wapendwa, naombeni ushauri kutoka kwa yeyote aliye na uzoefu na hali kama yangu na jinsi alivyofanikiwa kuondokana nayo. Mimi ninasumbuliwa sana na tatizo la kupata...
4 Reactions
36 Replies
2K Views
Habari zenu, naombeni msaada nimekuwa na tatizo la fungasi sehemu za siri kwa muda. Nilipima VDRL nikawa sina kitu ndio nikaambiwa kwamba ni fungus ila mpaka kujua hilo nilikuwa nimeanza kutoka...
4 Reactions
41 Replies
6K Views
Kitu nilichojifunza kwenye kufungua kesi. No.1 Hakikisha wewe mwenyewe una ushaidi ulioshiba bila kutegemea watu. No.2 Usiokote mawakili wa barabarani, tafuta mawakili kupitia watu wako wa...
2 Reactions
11 Replies
457 Views
Habari zenu wakuu natumaini mu wazima. Moja kwamoja kwenye mada... Wakuu mimi ni kijana jinsia "me" nasumbuliwa na tatizo la FANGUS kwa muda mrefu. Nimetumia dawa mbalimbali za kunywa...
3 Reactions
31 Replies
4K Views
Oga vizuri, jikaushe maji chukua limao ulikate then ujipake makwapani, aloo hata ukishinda na mishe za juani hutasikia hata tone la harufu. Usiku pia ukisharudi kwenye mishe zako oga, paka tena...
15 Reactions
46 Replies
1K Views
Wakuu habarini za mchana mko poa ? Jamani naomba kujua taratibu za kupata bima ya afya (NHIF) au hata nyinginezo..
1 Reactions
10 Replies
832 Views
Et ndugu, kuna mtu aliyewahi kuugua fungas sugu akatumia izi sindano zikamsaidia gentamicin injection au seftriason injection kama yupo aseme.
3 Reactions
47 Replies
5K Views
Wakuu habari za jioni, kama kichwa cha habari kinavyojieleza, kuna mama ni mjamzito kwa sasa ana watoto watatu lakini ametoka kujifungua mwaka umepita mtoto wa mwisho na uzao wote ni kisu. Sasa...
8 Reactions
154 Replies
3K Views
Nimezoea kunywa maji ya kawaida lita 2 asubuh kabla sijaja kitu. Sasa kuna mdau kaniambia niache eti kasema hayo maji ni mengi yatapandisha sukari mwilini mwangu Jamani hii kweli au mshikaji...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Eti wakuu? Kuachia ushuzi mara kwa mara ni tatizo au dalili ya tatizo la kiafya? Tusemezane
4 Reactions
25 Replies
1K Views
Mwanangu wa miaka miwili usiku tukiwa tumelala akiwa usingizini huanza kusugua meno yanatoa sauti ya kukera sana. Mchana akiwa amelala usingizi huwa hafanyi hivo. Je, ni nini husababisha?
1 Reactions
15 Replies
643 Views
Wakuu nina ndugu yangu ana kisukari mwaka wa tano sasa toka agundue kuwa ana huo ugonjwa Afya yake kimuonekano yuko poa kabisa huwa anatumia sindano na dawa lakini tunatafuta kama kuna uwezekano...
0 Reactions
7 Replies
269 Views
Nimekutana naye zaidi ya mara tatu, na kila nikikutana naye anatoa harufu kama ya dawa hivi. Na hii harufu pia huwa naisikia nikikutana na mtu mmoja ambaye taarifa zilizopo ni kuwa anatumia dawa...
7 Reactions
42 Replies
2K Views
Salaam wakuu! Hivi kwa nini asilimia kubwa ya Wachaga (kutoka Kilimanjaro )magonjwa yao makuu ni kisukari na shinikizo la damu la juu? NB: Ikiwa una historia ya ndugu wa karibu, ambao wana...
0 Reactions
5 Replies
487 Views
Issue ni kuwa binadamu wazima tunahisi njaa afu tunakula ili tuishi sasa hao ndugu zetu tajwa hapo juu wao wana pataje feelings kuwa wana njaa na wanahitaji kula? Kwakuwa akili za ku sense...
0 Reactions
14 Replies
377 Views
Wakuu habari za jioni, Kama kichwa kinavyojieleza, shemeji yenu anasumbuliwa na damu kutoka puani hari hii inaanza tu wakati anaanza kupiga chafya mfululizo gafla damu zinaanza kutoka lakini...
0 Reactions
8 Replies
612 Views
Mm bado ntabaki na msimamo wangu uleule kwamba hawa ndugu zetu tuliowatoa ubavuni mwetu japo ni watamu lakini pia wanatusababishia matatizo makubwa mno. HISTORIA YA KWELI Mnamo mwaka juzi mwezi...
50 Reactions
431 Replies
31K Views
Back
Top Bottom