Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habari zenyu wataalam, Nakuja kwenu kuomba ushauri na msaada wa changamoto inayonikabili miezi karibu sita sasa. Nimekua nikishiriki tendo la ndoa na mademu tofauti tofauti, katika utofauti huo...
5 Reactions
89 Replies
3K Views
Habari wanajamvi, Leo baada ya kula chakula cha mchana, nlichukua toothstick na kukikata kipande kikubwa kias na kusafisha meno kwa kutoa mabaki ya chakula yaliyojishikiza kati ya jino na jino...
1 Reactions
28 Replies
5K Views
Wakuu naomba kuuliza ukipima HIV kupitia kipimo Cha kwenye kidole baada ya siku 38 Ina accuracy ya kiasi gani na je majibu yanaweza badilika?
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Uchambuzi wa kitabu cha Lisa EATING TO CONCEIVE, (Kula Upate Mimba) Kanuni ya 16 na ya Mwisho:Usitumie Vyombo vya Plastiki, Husabisha Ugumba 1. Mwandishi Lisa anasema *usitumie vyombo vya...
3 Reactions
5 Replies
616 Views
NImekuwa nikisumbuliwa na vitu kutembea maeneo nyuma a bega la kushoto zaidi miaka 15.. Kuna kipindi nilikuwa nakaa nyumba yakupanga, mama mmoja aliniambiaga mtoto wake mdogo alimwambia Kaka...
0 Reactions
14 Replies
448 Views
Ndugu zangu naomba msaada, nitumie njia gani kuacha kuvuta ugoro? Ni Mwaka wa 4 sasa tangu nianze kuvuta baada ya kushauriwa kuwa inatibu shinikizo la damu. Kwa sasa maji yamenifika shingoni...
0 Reactions
16 Replies
9K Views
Natanguliza salama kwa WanaJF wote natumain ni wazima kuja kwangu hapa leo nimepatwa na typhoid so nikaenda kwa doctor nikapata vipimo ×3 UTI, Malaria na typhoid majibu yakaja kuwa naumwa Typhoid...
1 Reactions
4 Replies
471 Views
Habari zenu Wakijuwa, Naomba kuuliza Kwa anaefahamu Ada katika chuo cha primary health care institute Iringa Ni sh ngap Kwa mwaka natanguliza shukrani
1 Reactions
4 Replies
446 Views
Habari madaktari wetu! Mgonjwa amepata uvimbe kwenye viungo (Swollen lymph nodes) Mitaani huwa kuna imani kuwa mgonjwa akishafikia hatua hiyo ndiyo dalili za mwisho za kufariki. Je ni kweli? au...
21 Reactions
76 Replies
4K Views
Salamu wanajamvii Mabadiliko ya kimiundombinu au miji ni sehemu pia inayogusa mazingira yanayotuzunguka moja kwa moja. Nikigusa moja kwa moja kwenye jiji ambalo nipo na limefanya niwasilishe...
1 Reactions
0 Replies
143 Views
Wadau wa JF habari za J2, Naandika post hii kwa masikitiko makali sana ambayo yameshanipatia mawazo mpaka nahisi kuchanganyikiwa. Sasa ni wiki ya pili nimekumbwa na tatizo la kuwahi kumwaga pale...
7 Reactions
76 Replies
3K Views
Jamani m nmekua na ugonjwa Wa bipolar nimekua nikteseka nao naombeni ushauri kwa ambae amekuwa nao au mwenye kujua kuhusu uo ugonjwa
1 Reactions
37 Replies
1K Views
Habari zenu wana jamvi, Bila kupoteza muda mimi ni kijana mdogo 20s Nimepata TATIZO naliona pigo kubwa katika maisha yangu. Nilipata ajali niladondokea kinena yani njia ya mkojo ikaziba kabisa...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Naomba kuuliza Kwa anaefahamu Ada katika chuo cha primary health care institute Iringa natanguliza shukrani
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Kama kunamtu anauelewa au alishawahi kukutwa na hali hii naomba ushauri au experience yake. Tuligundua mtoto ana mafindofindo yamevimba alipokuwa na umri wa miaka miwili. Tulijaribu kumtibu...
1 Reactions
25 Replies
1K Views
Wakuu habari. Mwanamke wangu aliniambia kuwa mwezi huu hajaona siku zake tukasema tusubiri kidogo labda zimechelewa, lakini amekuja kuniambia ameingia period ila nikihesabu ni siku ya 43 au 44...
3 Reactions
7 Replies
389 Views
Habari za muda wakuu!!! Jmani naomba msaada kwa anaejua dawa ya kienyeji ya PUMU ya ngozi. Mwanangu anasumbuliwa sana nahuu ugonjwa, nimeshampeleka MUHIMBILI, EKENYWA, REGENYCY na tukapewa dawa...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wakuu Uzoefu: Nimeishi na mwenza mwenye maambukizi ya virusi vya ukimwi tukiwa katika mahusiano ya muda mrefu sana kwa takribani miaka 5 (2014-2019), katika kipindi chote hiki tulishiriki...
13 Reactions
50 Replies
5K Views
Umuofia kwenu Wakuu. Ni zaidi ya wiki sasa mwili wangu ni dhaifudhaifu. Yaani balansi ya mwili haijakaa sawa, japo ninaweza kufanya mambo yangu bila tatizo. Nimepima vipimo zaidi ya 10 mpaka...
4 Reactions
26 Replies
1K Views
Wakuu nimekutana na taarifa hii inatahadharisha wazazi kunywa maji baridi. Taarifa inaonya kwamba jambo hili ni hatari kwa afya. Upi ukweli wa jambo hili?
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom