Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Eti wakubwa, hapa tz, hv vipimo vyetu vya hospital vinaweza kuonyesha kuwa umeambukizwa baada ya siku ngapi baada ya tendo?
0 Reactions
40 Replies
78K Views
Wanajamvi naomba kuuliza mahindi ya kuchoma yanafaa Kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo maana nataseka sana aisee kupata fast food nikiwa mbali na nyumbani
0 Reactions
2 Replies
384 Views
Ukiwa unaishi na maambukizi ya virusi vya UKIMWI (VVU) na ni mtumiaji mzuri wa dawa za kupunguza makali ya VVU, na kufikia kiwango cha kufubaza virusi vyote, kitaalam undetectable viral load, na...
0 Reactions
2 Replies
544 Views
Habari wadau hivi maumivu ya mgongo kwa mjamzito wa miezi 7 inaweza ikawa ni ishara mbaya?
1 Reactions
2 Replies
386 Views
Wakuu samahani Huwa nachoka sana mwili wangu kila siku zinavyokuja, nmepima kila aina ya gonjwa sugu mnalolifahamu ,sina Niliachana na aliekuwa mke wangu miaka kadhaa iliyopita kutokana na...
8 Reactions
34 Replies
1K Views
Msaada mke wangu ni mjamziyo wa miezi miwili,anatapika sana npo nae hospitali toka juzi,anatapika sana chochote atakachokipitisha mdomoni lazima kirudi. Kuna MTU kaniambia nimchemshie tangawizi...
2 Reactions
44 Replies
79K Views
Wakuu kwema. Hivi karibuni nilikuja humu kuomba msaada wa jinsi ya kutibu hizi fangasi baada ya kushindikana hospital Nimekuwa nikipewa dawa ileile kwa kila daktari nayemtembelea, nimeenda hadi...
8 Reactions
66 Replies
4K Views
Natumaini wote wazima wa afya. Naomba kujuzwa: ni chuo gani nchini Tanzania kinafundisha matengenezo ya zile mashine zinazotumika Hospitalini(Dental,Scanners,......)?? Natanguliza shukurani
1 Reactions
7 Replies
263 Views
Wakuu, Ni muda sasa kumekuwa na fangasi kwenye pumbu zangu lakini sikuchukulia serious , kila nilipofatilia naambiwa ni usafi tu , basi naongeza usafi na precaution zingine huku maisha...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Naomba ushuhuda wa mtu aliyekuwa na bawasiri ya ndani akatumia dawa iwe ya hospitali au Tiba mbadala akapona atusaidie na sisi maana tumetumia hizo dawa za kienyeji mpk tumechoka Hela tu inaenda...
2 Reactions
34 Replies
5K Views
Poleni na kazi na majukumu ya kutafuta riziki. Jamani mwanangu ana matege nimetumia dawa za vitamini D lakini bado sioni mabadiliko ana miaka miwili sasa. Je, wapi nitapata viatu vya kunyoosha...
1 Reactions
18 Replies
6K Views
Jamani kama uzi unavyojieleza hapo juu, naomba msaada kidogo kama kuna wataalamu wa afya mpo humu naomba mnipatie elimu kidogo juu ya jambo hili kwani linanitatiza katika ubongo. Ni kwamba ule...
14 Reactions
224 Replies
13K Views
Wakubwa nina tatizo la kusikia nakuwa kama kiziwi. Nimeenda hospital ekanywa nikapewa dawa za miezi miwili lakini sijapata nafuu. Msaada hata dawa ya kienyeji anayejua ya kutoa kelele masikioni.
3 Reactions
24 Replies
5K Views
Punyeto ni nini? Punyeto ni tabia ambayo inajulikana sana kwa vijana na hufanyika kwa kujichua sehemu za siri kwa ajili ya kujiridhisha kimapenzi. Hata hivyo, tabia hii ina madhara mengi kiafya...
10 Reactions
142 Replies
14K Views
Za majukumu, Mimi ni kijana nimekuwa na tatizo la kubanduka kwa ngozi ya korodani mara tuu ninavyomaliza ku sex na mwanamke na hii inatokana na kugusa yale uke kwenye korodani. Nahitaji msaada...
2 Reactions
33 Replies
11K Views
Karoti ni mboga ya mizizi, kwa kawaida ina rangi ya chungwa, ingawa zilikuwepo aina mbalimbali za urithi ikiwa ni pamoja na zambarau, nyeusi, nyekundu, nyeupe na njano zipo,. aina ya karoti mwitu...
2 Reactions
0 Replies
718 Views
1. Hawazeeki upesi 2. Huwa ni Wakakamavu 3. Hawaugui hovyo 4. Huishi muda mrefu 5. Upumuaji wao (siyo Kujamba) huwa mzuri 6. Miili yao huwa na Mvuto 7. Uwezo wa Akili huongezeka Nayasubiri kwa...
9 Reactions
24 Replies
2K Views
Daktari nguli toka Zambia ametoa tamko kupitia Facebook ambalo wapenda punyeto huenda wakalifurahia sana. Binafsi sina facts za kisayansi kumpinga ila kulingana na ongezeko la wauza dawa za nguvu...
9 Reactions
47 Replies
2K Views
Hello JF, nina mdogo wangu mwenye umri 20+ anasumbuliwa na depression & suicidal thoughts karibu mwaka sasa. Tulimpeleka kwa therapist, anafanyiwa therapy lakini pia aliandikiwa dawa aina ya...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Back
Top Bottom