Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wakuu naanza kwa salamu zangu za dhati kwenu pia poleni na mihangaiko ya siku nzima ya leo. Kabla sijaenda kwenye maada. Naanza kwa kusema kuwa najiona kuwa na bahati sana kuwa katika jamii ya...
4 Reactions
40 Replies
2K Views
Wakuu habari, Kuna mjamzito hapa kapitiliza siku zake za kujifungua, leo hii ni siku ya 13 tangu tarehe ya makadirio aliyo andikiwa. Huu ni ujauzito wake wa pili na wa kwanza haukuwa na...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Diagnostics radiotherapy inahusiana na nini? Market yake ipoje? Naomba kujua
0 Reactions
0 Replies
180 Views
Habari zenu, Naombeni msaada mke wa rafiki yangu amekuwa na tatizo la KUJAA mate mdomoni, nilipoambiwa nilidhani ni dawa anazotumia zinasababisha, kifupi anatibiwa afya ya akili pale Muhimbili so...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Je Unaijua Homoni ya Kiume/Testestrone? Leo tuzungumze kidogo kuhusu Homoni ya Kiume/ Testestrone. Kwani upungufu wa hivi vichocheo huweza kuleta madhara makubwa sana siyo tu kitandani bali hata...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau naombeni ushauri he njegere zinafaa Kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo Kwa wanaojua msaada
3 Reactions
38 Replies
2K Views
Nimepatwa ghafla na hivo vipele hapo palianza kuwasha ukikuna ndo vinaumuka hivo! kwa wenye utaalam wa matatizo ya Ngozi.
1 Reactions
51 Replies
2K Views
Kwakweli kumekua na kero sana kwa manesi walipo hospitalini hapa, wamekuwa wakitoa maneno ya kashfa na kejeli hasa kwa manesi wa clinic, Ni maneno mabaya na ya kejeli sana yakiambatana na...
0 Reactions
4 Replies
374 Views
Mwanamke anapokuwa mjamzito, chembechembe za mtoto huhamia kwenye mkondo wa damu wa mama na kisha kuzunguka tena ndani ya mtoto, huitwa “fetal-maternal microchimerism”.⁠ Kwa muda wa wiki 41, seli...
1 Reactions
1 Replies
559 Views
WADAU WANAOHITAJI KUFAHAMU KUHUSU MATATIZO HAYA Habari zenu wana JF. Nina mpenzi wangu toka nikutane nae analalamika maumivu makali wakati wa tendo na hata baada ya tendo maumivu yanadumu kwa...
2 Reactions
467 Replies
321K Views
Anonymous
Nimempeleka mke wangu Kwa ajili ya kujifungua katika kutuo cha AFYA cha serikali Ulyankulu. Na ikahitajika kufanyiwa upasuaji ila cha ajabu gharama nilizopewa nilishangaa sana. Huduma ilisuasua...
1 Reactions
6 Replies
698 Views
Ukiwa unaishi na maambukizi ya virusi vya UKIMWI (VVU) na ni mtumiaji mzuri wa dawa za kupunguza makali ya VVU, na kufikia kiwango cha kufubaza virusi vyote, kitaalam undetectable viral load, na...
1 Reactions
0 Replies
313 Views
Nasumbuliwa na bawasili ya ndani Kwa miaka 4 nshakula Kila aina ya dawa naombeni dawa ya akika jamani
1 Reactions
17 Replies
588 Views
Siku zangu za kupata hedhi kila mwezi,ni kila tarehe mbili imebadilika sana hedhi yangu, naweza nikapata tarehe moja na huwa naenda siku tano tu. Sasa basi, mwezi ulopita,yaani mwezi wa tatu...
14 Reactions
78 Replies
3K Views
Tafadhar nisaidien, mke wangu anasumbuliwa sana na tumbo kila baada ya tendo la ndoa, tumbo humuuma sana mpk analia. Naomba anayejua tatizo nin na dawa gani,?
1 Reactions
10 Replies
8K Views
Haribani wana jf naombeni ushauri juu ya matumizi ya mouth spray. Na niipi nzuri Kwa matumizi 🙏
3 Reactions
17 Replies
450 Views
Habari wakuu naombeni msaada wenu. Nasumbuliwa na tumbo kuwaka moto, nahisi kukabwa na kitu kooni, natoa vitu vidogo vidogo kama mabaki ya chakula yaliyo Ganda kwenye Koo, sauti kukata nikiongea...
2 Reactions
29 Replies
1K Views
Salaam wakuu. Shida yangu mwaka 2014 nilifanya check up ya macho na kuambiwa nitumie miwani yenye lensi 3 X 5 na kwa sasa ni miaka miwili natumia miwani ila miwani yangu ilipo haribika...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Nimekuletea faida chache za kunywa maji nusu saa kabla haujala chakula ni muhimu kuzingatia mida ambayo huwa unapata Milo yako kila siku Kuywa maji nusu lita kabla ya kula chakula inasaidia...
2 Reactions
1 Replies
461 Views
Mimi ni mtumiaji mzuri sana wa pilipili. Kila nipatapo chakula basi huwa nahakikisha pilipili haikosekani. Je eti matumizi ya pilipili nyingi yana madhara yoyote mwilini? Wataalamu wa afya na...
0 Reactions
68 Replies
76K Views
Back
Top Bottom