Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Kuna magonjwa ambayo kwa hapa Tanzania ukiyapata ngumu sana kutibiwa nayo ni: 1. Saratani (Cancer) 2. Vidonda vya tumbo 3. Kisukari Ongezeeni mengine hapo
15 Reactions
160 Replies
7K Views
Siku ya Hedhi Salama huadhimishwa ikiwa na lengo la kuleta pamoja sauti za wadau mbalimbali ili kuhamasisha Hedhi salama kwa Wasichana na Wanawake Siku hii huvunja ukimya na kubadili mitazamo...
3 Reactions
0 Replies
597 Views
Hebu tupeane experience. Mie gono ya kwanza kabisa nilipata mwaka 2012, na dem alonipa ni alikua kisu balaa tena chuoni na nilihangaika kinoma kumpata, sikutegemea kama angekua anaumwa ugonjwa...
6 Reactions
35 Replies
1K Views
FIBROIDS:UVIMBE KATIKA KIZAZI UNAOWATESA WANAWAKE Katika siku za hivi karibuni,wanawake nchini wamekuwa wakilalamika kuwa kila wanapokwenda kujifungua basi hukutwa na uvimbe katika nyumba ya...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mtu wangu wa karibu hana hisia means hana vichocheo vya kufanya mapenzi. Tunawezaje kumsaidia mtu huyu kwa matibabu?
1 Reactions
3 Replies
356 Views
FAHAMU TATIZO LA UVIMBE KATIKA MAYAI YA MWANAMKE (OVARIAN CYST ) Uvimbe kwenye mayai ya mwanamke (ovary) hutokana na mkusanyiko wa majimaji yanayozungukwa na kuta nyembamba ndani ya mayai ya...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari Wadau, Karibun Mpate Juice Ya Kikongo (Asilipowerplus) Mahususi Kwa Ajili Ya Kutibu Matatizo Yote Ya Nguvu Za Kiume Juice Hii Inafaida Nyingi Kama Vile 1. Kukuwezesha Kusimamisha Mashine...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Mimi si dakari wala mtaalamu wa mambo ya lishe, bali nimejaribu kusoma vyanzo mbalimbali kuhusu huu ugonjwa na kote nilikupita sijaona palipoandikwa moja kwa moja kuwa sukari ndio chanzo cha...
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Je unaelewa nini kuhusu Kichechefu wakati wa ujauzito/ Morning sickness? Kichefuchu ni dalili ya kawaida ya ujauzito, hasa wakati wa kipindi cha kwanza cha mimba(miezi 3 ya mwanzo). Hali hii...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna mtoto wa miaka 5 kaama asub akawa amevimba mashavu yote chini ya masikio halafu ana homa kali. Ma dk huu ni ugonjwa gani?
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Aisee Jana nimekutana na brother mmoja anasumbuliwa na ugonjwa wa kuvimba ulimi na ni muda mrefu sasa anaendelea na tiba ila hajapona nimeona huruma sana haongei analia anadai mwanamke wake...
1 Reactions
5 Replies
416 Views
Kwanza, niwapongeze Wahudumu wa afya wenye moyo wa dhati na wanaozingatia taaluma na uadilifu kuhudumia wateja wao. Nakiri maisha ya wengi ikiwemo mimi binafsi yana mchango wa wahudumu wa afya...
1 Reactions
3 Replies
367 Views
wananchi, kutokana na joto plus mijimmbu hapa mjini, huwa nalala na my feni inazunguka. nawekaga namba 1 au 2 smtimes. kuna cku niliamka na mafua i thnk ni 7bu ya feni. hv kuna effect sleepn wen...
0 Reactions
21 Replies
19K Views
Habari zenu wajuvi, naombeni msaada kama kuna mtu (watu) amesha wahikupona vipele vya ndevu vile vinavyo otaga maeneo ya shingo anisaidie yeye alitumia dawa gani kuvimaliza. Kwasababu vimenitesa...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Mimi nimeweka kambi hapa kwa Colgate max fresh, hakika iko vizuri sana. Nilikuwa na tatizo la fizi kutoa damu ila baada ya kutumia hii tatizo limeisha. Tushirikishe wewe huwa unatumia dawa gani...
6 Reactions
66 Replies
4K Views
Wakuu naomba kujuzwa kwa anae fahamu ubora wa hizi dawa za meno sina nia mbaya juu ya biashara za watu lengo langu ni kupata bidhaa bora kwa ajili ya matumizi na kwa afya zetu.
1 Reactions
25 Replies
13K Views
Wakuu, Kama unashawai kuugua ugonjwa wa meningitis au ndugu yako naomba ushare experience! Nina hizi dalili sasa kwa muda 1. Kichwa kuwaka moto/kuuma muda wote 2. Joto kali kichwani Fever 3...
4 Reactions
15 Replies
490 Views
Habar wakuu, Nimesikia hii habari kuwa kwenye mahospital kuna dawa zinazotelewa kwa wahanga mfano watoto wanaobakwa kuzuia maambukiz ya vvu ambapo muhusika anatakiwa kutumia ndan ya masaa 72...
0 Reactions
69 Replies
34K Views
Habari wakubwa, Mdogo wangu meno yake mawili ya mbele ni marefu kuliko mengine. Anahitaji kufanya root canal ili yawe vizuri. Ni hospitali gani nzuri kwa hii huduma na gharama zina range...
0 Reactions
22 Replies
1K Views
Back
Top Bottom