Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habari wanajf wote, Naomba kuuliza mtu akiwa na umri wa miaka 23 na akiwa na uzito wa 48.8 kunatatizo kiafya. Naomba kujuzwa kitaalamu. Natanguliza shukurani!
1 Reactions
22 Replies
1K Views
1. Kuimarisha Afya ya Moyo Vitunguu saumu vina alicin, ambayo inaweza kusaidia kupunguza hatari ya magonjwa ya moyo kwa kusaidia kudhibiti viwango vya cholesterol na shinikizo la damu. 2...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Eti ili Mwanaume uwe vizuri na Nguvu za Kiume ziwe nyingi unatakiwa kutafuta Boga kisha unaweka Mafuta ya Kupikia uncchanganya na Vitunguu na wakati ukiwa Unavikaanga unachanganyia na Maziwa ya...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Chawa si nzito lakini husumbua, wahenga walikuwa na maana Matatizo madogo madogo yasipodhibitiwa tangu awali huweza kusumbua na kusababisha matatizo makubwa zaidi lakini pia kwa namna nyingine...
0 Reactions
8 Replies
987 Views
Mtoto anachunika ngozi mikononi na miguuni. Inaanza kama kidoti fulani kisha ukivuta ile sehemu ndo inatoka kipande kikubwa cha ngozi . Hahisi maumivu yoyote na hospital nimeenda wakasema ni...
0 Reactions
7 Replies
345 Views
Habari ndugu wana JF, Leo nimependa kuzungumza nanyi mada kuhusu vyuo vikuu kufundisha ASTASHADA na STASHAHADA. ni ukweli usiopingika sera ya elimu inabidi kufanyiwa marekebisho kwasababu vyuo...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wana jf!!nahitaji msaada wa kujua ni sabuni gani nzuri kwa ajili ya kusafisha papuchi kwasababu kwa baadhi ya post humu kuna sabuni zimetajwa sio nzuri na moja wapo nilikuwa natumia inaitwa...
0 Reactions
63 Replies
26K Views
Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) kwa kushirikiana na Taasisi ya MO Dewji Foundation imeandaa kambi ya upasuaji kwa Watoto 50 wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi itakayofanyika...
0 Reactions
1 Replies
470 Views
Mwezi wa pili mke anajifungua na mtoto kufariki, mwezi wa nne mke anapata mimba nyingine. Ni sahihi wadau kiafya na kisaikolojia ya mke? Karibuni wadau kwa elimu.
0 Reactions
0 Replies
421 Views
Poleni sana ndugu zangu watanzania kwa tatizo la mtandao wa internet linalowakumba kwa wakati huu. Pia hongereni timu ya wananchi kwa kutwaa ubingwa wenu wa 30. Pia nachukua fursa hii kuwapa...
1 Reactions
6 Replies
597 Views
Habari, nasumbuliwa sana na mingurumo kwenye tumbo na tumbo linaniuma sana, nimetumia dawa nyingi hospital lkn bado, naombeni ushauri ni dawa gani mzr itanisaidiaa ndg zangu
1 Reactions
14 Replies
885 Views
Hwl Watu wengi wamekuwa wakipata Matatizo ya tumbo kujaa gas baada ya kula maharage na kujamba Sana. Fanya hivi hakikisha katika maharage yako unayaunga na kuweka Sukari kidogo, unaweka...
17 Reactions
78 Replies
4K Views
Nina tatizo la Maumivu ya kifua upande wa kushoto takriban miezi mitatu sasa, kwa mbali panafanya kama uvimbe. Hali hii nimesumbuka hospitali bila msaada wowote, napewa dawa za maumivu sababu...
5 Reactions
29 Replies
3K Views
Tunaelewa joto la dar ni kali lakini jitahidi mwanaume usioge maji ya moto/yaliyopigwa na jua kwa muda mrefu. Kwa sababu nimeona niwafichulie siri, imetoka ripoti kutoka hospitali fulani kuwa...
11 Reactions
92 Replies
8K Views
Watu wa Mungu, Ninasumbuliwa na ascaris lumbricode kwa miaka 7. Nimetumia aina nyingi za dawa za dukani na mitishamba lakini kila u napomaliza dozi nikipima minyoo iko palepale. Nimeonana na...
2 Reactions
63 Replies
14K Views
Inakuaje unapoenda kukojoa mkojo unakuwa na povu jingi sana jeupe ni dalili za ugonjwa gani au ni ukosefu wa madini au vitamin kwenye mwili .Msaada kwa Dr please
0 Reactions
16 Replies
16K Views
Habari wakuu.. Naombeni msaada naona nina allergy na manukato (perfumes & body spray), zinanipa mafua makali sana.. Na hii sio nikipulizia mimi tuu hapana, hata nikikaa na mtu alojipulizia basi...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Katika nchi 15 zenye asilimia kubwa zaidi ya wagonjwa wa kisukari duniani nchi 5 ambazo ni Kuwait, Misri, Qatar, Saudi Arabia na Sudan ni za kiarabu. Nchi moja ya Pakistan ina ustaarabu...
3 Reactions
15 Replies
789 Views
Baada ya kuzaliwa mpaka miezi 2, mtoto hupitia hatua mbalimbali za ukuaji na maendeleo. Mwili wake unakua, uzito huongezeka na kiasi cha unyonyaji wake huongezeka kadri siku zinavyoenda. Baada ya...
17 Reactions
21 Replies
66K Views
Low Back Spinal Cord Matibabu bila Upasuaji kwa kutumia DRX9000 SPINAL DECOMPRESSION MACHINE Je kuna Mtu anafahamu ni clinic gani au Hospital za Tanzaia ipo hii Machine?
0 Reactions
0 Replies
188 Views
Back
Top Bottom