Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habari wakuu.. ninaomba msaada kuhusu hizi Batholist Cyste Nilifanyiwa operation mwezi wa 11 mwaka jana baada ya kuwa na vipele vigumu kwenye ukuta wa uke na vilinitokea kwenye shavu moja la...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Kufikia Miezi minne ya Ujauzito (wiki 16), Mtoto huanza kunyonya kidole gumba, kupiga miayo, kunyoosha na kutengeneza nyuso. Mfumo wa neva / mfumo wa fahamu huanza kufanya kazi katika hatua hii ya...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wana-JamiiForums, Mimi ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa3 Sasa Kwa kipindi imenibidi ni simamishe masomo kutokana na Naumwa UTI wa mgongo ni miezi sita Sasa. Siwezi kusimama wala kutembea...
1 Reactions
5 Replies
792 Views
Ninaonesha dalili zifutazo 1. Homa kali kichwa kama kinawaka moto 2. Maumivu ya mgongo 3. Maumivu ya kichwa 4. Kuhisi kama unachanganyikiwa Kama kuna mtu ashawai pata hilo tatizo anikosoe.
2 Reactions
16 Replies
691 Views
Habari wakuu, Naomba kujua bei ya kipimo cha VVU kile cha kujipima mwenyewe, sijui kisayansi kinaitwaje nadhani wajuvi mtakuwa mmenielewa. Na je kinahitajika hicho tu au kuna viambata vingine...
2 Reactions
47 Replies
15K Views
Je unasumbuliwa na changamoto ya kupoteza hisia ya harufu? Kama jibu ni ndiyo, basi usijali kwani leo tutajifunza sababu kadhaa zinazosababisha changamoto hiyo ya kupoteza hisia ya harufu, hali...
2 Reactions
2 Replies
286 Views
Poleni na mihangaiko ya mchana kutwa Ndugu Madaktari wa JF na wadau wote wa afya naomba msaada wenu. Mimi ni mama mjamzito mimba yangu ina wiki 35. Katika umri huu nimepima utra sound mtoto ana...
7 Reactions
64 Replies
2K Views
Wadau hamjamboni nyote? Nimefurahi sana lna pia namshukuri Mungu na hii ni baada ya kupima afya kwa kuoanisha uzito na urefu wangu na kupata matokeo mazuri kiafya Nimeweka matokeo kwa rejea...
0 Reactions
2 Replies
282 Views
Hii Ni maalum kwa wanawake wote ambao wamekuwa wakishika ujauzito na huwa zinaharibika kabla ya muda wake. Sasa Leo tumewaletea kaujanja ambako hakatumii gharama kubwa katika kulidhibiti tatizo...
0 Reactions
1 Replies
489 Views
Ni dawa gani mzr ya acid ? Maana nimetumia zaid ya 15 zinafika sasa lkn bado asidi inanisumbua tumboni na inabada mpka juu kwenye mdomo.
1 Reactions
3 Replies
380 Views
Habarini ndugu zangu. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.mimi mdogo wenu nimeingia kwenye ndoa mwezi wa kwanza mwaka huu,hadi sasa mimi na shemeji yenu tuna miezi 6 ya ndoa yetu...
6 Reactions
89 Replies
57K Views
Hellow doctors Nini husababisha kutokutoka kwa maziwa kwa mama anaenyonyesha ikiwa mwanzo maziwa yalikua yanatoka vzuri tu,na anakula ipasavyo..maana friend of mine now ni siku ya tatu...
0 Reactions
8 Replies
18K Views
Anaemia/ Upungufu wa Damu kwa wajawazito Je unajua upungufu wa damu huchangia 14.5% ya vifo vya kinamama(Martenal Deaths) Tanzania? Kiasi cha damu pungufu ya 11g/dl uhesabika upungufu wa damu...
2 Reactions
2 Replies
892 Views
UFAFANUZI WA KINA NA MBINU ZA KUACHA UVUTAJI WA SIGARA Mbinu Za Kuacha Uvutaji Wa Sigara Miongoni mwa mambo magumu kabisa katika ufanikishaji wake ni mtu kuachana na uvutaji wa sigara. Watu wengi...
3 Reactions
541 Replies
149K Views
Kuna mshkaji wangu tunafanya naye kazi jana amekuja analalamika kuwa wakati akijisaidia haja kubwa anatokwa na damu. Sasa ameanza kupata wasiwasi kuwa anaweza kuwa na kansa ya njia ya haja kubwa...
0 Reactions
239 Replies
118K Views
Maana ya Msongo wa Mawazo (Sonona) Msongo wa mawazo ni mfadhaiko wa akili anaoupata mtu kutokana na shida, taabu, dhiki, matatizo au changamoto zinazomkabili katika maisha ya kila siku. Mtu...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Mtu mwenye Msongo wa Mawazo huwa na 43% zaidi ya kupatwa na Kifo cha Ghafla kuliko mtu asiye na tatizo hili Pia, huongeza nafasi ya kuugua Magonjwa sugu, kujiingiza kwenye tabia hatarishi kama...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA KUHUSU TATIZO HILI Wakuu, nina tatizo la mwili kuwasha baada ya kumaliza kuoga tu. Hili tatizo lilijitokeza kama miaka mitatu iliyopita likatoweka lenyewe, sasa...
2 Reactions
204 Replies
103K Views
Kama kichwa cha topic kinavyojieleza. Natamani kujua hii shubiri inachimbwa kama madini au la? Na kama ni madini, yanaitwaje kisayansi? Nawasilisha!
1 Reactions
16 Replies
14K Views
Back
Top Bottom