Greetings Jamiiforum;
Let me share what i think with you;
Okay; Hypothetically the reason the life expectancy is going up is because our immune system is getting better at filtering it...
Wadau muwasho sehemu za siri zinaweza leta madhara kwa mwanamke?na kiuno kuuma akikaribia hedhi ,anaweza pata ujauzito?wenye hekima msifumbe macho msaada wenu tafadhali
Heshima kwenu wataalamu..Aisee nimekuja kwa jamaa yangu hapa ana mdogo wake binti yuko form three anajikojilea..je kuna dawa ya kumsaidia? Namuonea mpaka huruma..
Habari za weekend wakuu
Poleni na hongereni kwa majukumu tafadhali naomba kujuzwa kama kuna dawa ya kuzuia maambukizi ya UKIMWI endapo tu utakuwa umefanya mapenzi na mtu ambaye hujapima nae au...
Kutibu Athma lazima uache kula nyama nyekundu, uache kula sukari na kunywa maziwa kwa kipindi chote utakapokuwa unatibiwa.
Dozi ni ya watu wazima sio watoto.
Dozi ya kwanza
Tutakupa vidonge vya...
Habari wana jamvi, mke wangu alikuwa anatumia vidonge vya uzazi wa mpango kwa muda mrefu sana.
Baadae aliacha kwa sababu tuliamua tutafute mtoto mwingine baada ya kujiridhisha kuwa ulikuwa wakati...
Habar wana jamvi,he inawezekana wana ndoa kuish bila kusex,pengine mmojawapo akawa na matatizo mfno jogoo hapandi mtungi,mke hanaga nyege kivile,n mkaweza kuishi miaka
Nipo kwenye mahusiano,na nina ndoto za kupata Mtoto wa kiume.Je,kuna uwezekano wa kufanikisha katika hili?
Sijapendi kwenda hospital kwanza nimeamua nianze na mtandao mkubwa wa jamii forum ambao...
Mimi nimesumbuliwa sana na Taifodi kwa mwaka sasa.Sasa nimeelekezwa kutumia dawa fulani na rafiki yangu kuwa naye ilimsaidia.Dawa inaitwa RIJAAL.Dawa hii imeandikwa kuwa ni ya kisuna,naomba mwenye...
HIZI NDIO DAWA ZA HOSPITALINI ZINAZOUA NGUVU ZA KIUME
Dawa zote zinazopatikana mahospitalini na maduka ya madawa zinaletwa kusaidia watu wenye matatizo mbalimbali, japokua baadhi ya dawa hizo...
My first born 6yrs old diagnosed mental impaired
Dear colleagues
It's my please to share with you probably your advice would help me take the best approach to deal and help in development and...
Madawa ambayo yanaweza kusababishia uharibifu wa figo
Kuna orodha ndefu ya madawa yanayotumiwa na binadamu ambayo yanaweza kuharibu figo, hizi ni aina tofauti za dawa ambazo zinaweza kuharibu...
Salaam Doctors na wadau...ninatatizo la kuwashwa ilianza tumboni na miguuni na sasa matakoni na mapajani.Mara nyingi ikifika jioni ndio inaanza.Nimetumia dawa za allergy imegoma..nimetumia za...