Wadau:
Kila siku asubuhi nikiamka mgegedo wangu huwa unasimama hadi unakuwa mgumu sana halafu unauma sana, Hali hiyo hudumu kwa takribani dakika arobaini hivi halafu inaondoka, dawa Yake ni...
Ni jambo la busara kujitunza wewe na mwanao. Kutunza mtoto wako linaweza kuwa jambo la kukufurahisha, lakini ni kazi ngumu. Utampatia mtoto chakula/utamlisha mtoto mara ngapi na baada ua wakati...
FAIDA ZA JUISI ZA MATUNDA KIAFYA
JUISI YA MCHANGANYIKO WA NDIZI NA CHUNGWA: Chukua ndizi
kama mbili au zinazotosha kutengenezea kiasi cha juisi upendacho na chungwa au machungwa. Kisha osha...
Habari wanajukwaa: Kama kichwa kinavyoeleza, nimeingiwa na wasiwasi huo baada ya tatizo lililoikumba ndoa yangu. Tatizo hilo lilianza baada ya kuoa binti mwenye kundi la damu o- negative na Mimi...
Nimekuwa kama nina addiction ya kutumia magic powder kwa kunyolea maana inafanya kidevu kiteleze na haileti vipele, sasa nauliza kama kuna madhara yoyote kuitumia mara kwa mara, na kama yapo ni...
Habar za jioni jamani!
Mimi nasumbuliwa sana na tumbo, nikila chakula utadhani nimekula kokoto ( tumbo lina choma) halaf nasweat sana ( natokwa na jasho sana), mwili kukisa nguvu wakat mwingine...
Kuna Mdada Mdogo Anasumbuliwa na Tumbo kwa Muda Sana Japo ameshafanya vipimo na kunywa madawa mengi tu lakini hali yake sio nzuri....Kiufupi Alianza kua Anaishiwa Damu hasa akiingia MP zake hadi...
Habar wanajamvi naombeni msaada, mapenzi wangu ameanza kupata tatizo la Kutetemeka ziwa la kulia na wiki sasa tokea tatizo hilo lianze na linatetemeka mpaka nguo ya juu inaonyesha kama...
Habari za muda huu wana jukwaa, samahani nina tatizo naombeni mnisaidie zimepita siku kama nne hivi nilisikia masikio yangu yanawasha sana nikaamua kuchukua pamba na kusafisha. nilipomaliza...
Habari za jioni ndugu zangu wana JF.yapata miezi miwili mpaka sasa nasumbuliwa na tatizo la kutokwa na damu kwenye meno hili tatizo linanipata kila siku ukiamka tu asubuhi ukitema mate inatoka...
Kwema humu ndani,
Nimekuja kugundua mpenzi wangu hayuko sawa naamanisha kuna msimu akili yake inakuwa sawa kuna kipindi akili yake aiko sawa sijui tatizo nini? Mwenye kujua jamani mana hapa...
Habari zenu wanajukwaa?
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Mwenzenu leo nimeamka najisikia vibaya, nikaenda hospital kufanya body check up nimeambiwa sina tatizo lolote nimeambiwa labda tu...
Kuna mtu aliwahi niambia kwamba ukiweka sukari katika maziwa (hasa maziwa fresh) hupoteza uhalisia na ubora(virutubisho) wake.Pia akasema hata mtu mwenye madonda ya tumbo anashauriwa asitie sukari...
Tatizo hili la kujikojolea bila sababu yoyote ya msingi ni tatizo linaloathiri watu wengi sana na ambalo huleta usumbufu na aibu kubwa kama litampata mtu. Tatizo hili huwakumba sana wanawake...
Habari, naombeni kujua ni hospitali gani hapa mjini Dar es salaam naweza kupata vipimo vya hormones, (vipimo hivi TESTOSTERONE, FSH, LH & PROLACTINE) kwa kutumia bima ya afya ya NHIF.
asanteni.
Zaidi ya asilimia 52 ya wanawake hutumia vipodozi vyenye sumu ambavyo huwasababishia matatizo mbalimbali ikiwamo kansa ya ngozi, figo pamoja na kuharibika kwa mimba kwa mama mjamzito. Aidha...
kama kichwa cha thread kinavyojieleza hapo juu nahitaji kujua ni matatizo au madhara gani ambayo mtu anaweza akapata au akaja akapa endapo hatakuwa anakula nyama ya kuku ,mbuzi au nyama yoyote ile.
Has A Cure For HIV Just Been Found?
Natalie Gil
A British man could soon become the first person in the world to be cured of HIV after a trial using a groundbreaking new therapy, conducted by...
Ndugu,jamaa,marafiki na members wote wa Jamii forums, naombeni msaada wenu wa ushauri na mawazo yenu. Kuna tatizo linanisumbua muda mrefu sasa kila ninapo maliza kuoga napatwa na muwasho wa ngozi...