Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Utafiti unaonyesha kuwa madaktari wa nchi za kusini mwa Afrika wanatoa dawa nyingi zaidi ya zilizoagizwa na Shirika la Afya Duniani WHO. Utafiti huo uliofanywa na Chuo kikuu cha London kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nisaidieni dawa ya kuvimba miguu, nasumbuliwaga sana na tatizo hili nyakati za mchana tu ila nikiamka asubuhi huwa niko sawa ila kadri siku inavyokwenda ndivyo inavyozidi kuvimba, mimi huwa nakaa...
0 Reactions
3 Replies
9K Views
Kama kuna yeyote Mwenye ufahamu kuhusu kozi hii anifafanulie tafadhali
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba ushauri au kujua nini kinaweza sababisha mtu ukiamka asubuhi uso macho na vidole kujaa au kuvimba?? Nimechk,sukar,wingi wa damu,malaria,typhd,mkojo ,pressur kila kitu kipo normal naombeni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Waungwana naomba kufahamishwa ukipata chanjo ya homa ya manjano, unatakiwa ukae muda gani mpaka upate tena chanjo nyingine.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wanajamii... Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 25. Hii ni mara yangu ya kwanza kuwa na mpenzi tuliyedumu nae kwa miaka mitatu sasa. Mpenzi wangu aliwahi kuwa na mtoto mmoja kabla...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Sauti yangu huwa inabana hasa nikiongea kwa muda, yaani inakuwa haitoki, inakuwa kama vile imezuiwa na makohozi isitoke. Tiba yake itakuwa ni ipi?
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari zenu wadau, Kuna ugonjwa umeanza kuenea kwa kasi ambapo ukienda hospital madaktari wengi wanadai kutouelewa huu ugonjwa hasa hospitali za mikoani, Dalili zake zinafanya upande mmoja wa...
0 Reactions
15 Replies
10K Views
.
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Nimekutana na huyu dada week mbili zilizopita. Amekuwa ni mtu mwenye huzuni kila ninapokuwa nae Hatimae Leo kanisimulia tatizo linalomsibu .Hii hali ilianza toka alipovunja ungo miaka miwili...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
JF Doctors Ninataka nijue kama kuna madhara ambayo mwanaume anaweza kupata kutoshiriki tendo la ndoa wakati alikuwa amezoea kufanya hivyo kwa mara kwa mara na mke wake. Hii inatokea wakati...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Habarini wana JF, Hivi kuna athari au madhara yoyote yanayoweza kujitokeza kwa mama au mtoto endapo mama hatafanya mapenzi tangu mimba ikiwa changa hadi siku ya kujifungua?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwa wale mlioteseke na madawa mbalimbali ya kupunguza uzito, kuvaa mikanda na kuhangaika kwenye magym na kubeba vitu vizito pamoja na kuteseka kufunga au kushinda bila kula na kusababisha vidonda...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Nilifanikiwa kupata mwenza wa maisha (kuoa) mnamo mwaka 2006 kipindi ninaoa mimi nilikua na uzani wa kilo 50 na wife alikua na kilo 42 maisha yalisonga tukapata mtoto wakwanza. Wife alijifungua...
3 Reactions
77 Replies
8K Views
Shirika la kimataifa la Save the Children limetahadharisha kuhusu mlipuko wa ugonjwa wa homa ya manjano katika nchi za Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Angola. Pia imesemekana kuwa hivi...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Naomba mawazo yenu katika tafiti hii ninayoifanya kuelewa tatizo au kero katika upatikanaji wa elimu, ushauri, na habari za kiafya. Mimi ni mfanyakazi wa afya ya jamii. Katika kazi zangu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwikwi hutokana na kushtuka na kusinyaa kwa ghafla kwa misuli mikuu ya upumuaji (diaphragm) ambako hujirudia rudia na kusababisha hewa kuingia kwa kasi kwenye mapafu. Hii husababisha milango ya...
3 Reactions
202 Replies
145K Views
HIVI IPO DAWA YA KUTIBU PUMU NA KUPONA KABISA?
0 Reactions
1 Replies
905 Views
Vipele sehem za siri. Haviumi wala kuwasha vina mwezi sasa nashndwa kuvielewa vimetokana.ni vigum gum ivi naombeni msaada
1 Reactions
9 Replies
5K Views
Jamani kamakuna mtu anauelewa kuhusu jambo hili tusaidianae tuteushauri namawazo yakiutuuzima.
0 Reactions
39 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…