Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habari za asubuh wadau wa jf.naomba kuweka wazi kwanza mimi ni mgeni sana wa kutumia usafiri wa anga.sijawahi kupanda ndege. Kuna best wangu ni binti mjamzito anataraji kujifungua mwezi ujao maana...
0 Reactions
18 Replies
15K Views
Wakuu naomba dawa isiyo ya gharama au ushauri kwa UTI sugu
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Ushahidi wa nguvu unatoka kwa wale ambao wanatumia paracetamol kutibu maumivu ya ugonjwa zaidi ya mmoja. Mtoto anapoanza kuhusishwa na paracetamol angali akiwa tumboni anauwezo mkubwa wa kuzaliwa...
0 Reactions
2 Replies
12K Views
Kama ushawahi kuona watu wengi tunateseka kwa kuwa na unjano katika makwapa yetu baada ya kuvaaa nguo nyeupe lile jasho usababisha unjano je nn suluhisho la hili au usababishwa na nn msaada...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kwa ufupi kupumua kwa shida ni moja ya dalili za moyo kupanuka. Wakati nikiwa nazungumza na mmoja wa wasomaji wa gazeti hili mwenye tatizo la moyo mkubwa aliuliza iwapo kuna vipimo vikubwa zaidi...
2 Reactions
0 Replies
7K Views
Njia kuu ya kupunguza unene ni pamoja na kuchagua vyakula vya kula yaani kujua aina ya vyakula unavyotakiwa kuvila Vifuatavyo ni vyakula, mboga na matunda ambayo vikiliwa kwa mpangilio mzuri...
1 Reactions
2 Replies
5K Views
Naomba msaada JF DOCTOR tatizo la tumbo linaniuma sana unapokaribia mda wa chakula mfano saa 5 asubuhi linaanza mpaka nile ndio linatulia na jioni linaanza mida ya saa 12. Nimepima sana na napewa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Salaam wakuu, Kuna kitu huwa sikielewi, pale mtu anapopanda gari baadhi huwa wanatapika. Hiki kitu nimekishuhudia mara kadhaa. Mara ya kwanza nilishuhudia nilipokuwa shule kwenye safari ya kwenda...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nahitaji kujua ugonjwa huu wa kipara unatokana na nini maana naogopa usije nipata hapo baada
1 Reactions
29 Replies
13K Views
Habari doctors, Nahitaji ushauri wataalam kwani nnampango wa kuongeza uume. Najaribu kuhisi yawezekana nikifika miaka ya 40 nguvu inaweza kupungua kabisa au nikashindwa kupafomu, Pls nahitaji...
0 Reactions
23 Replies
17K Views
Kila napokutana na mwanamke mpya hisia napata lakini nikimpandilia juu kwa shughuli husika mzee analala hadi aibu... Leo ndio nimetia aibu usiku kucha nimeshindwa kabisa. Naomba ushauri wadau.
1 Reactions
37 Replies
6K Views
Habari zenu wataalamu! Naomba kuuliza huwa ni nini kinasababisha pale mtu anapojigonga na ghafla anavimba (anaumuka) au anatoka nundu.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Naomba msaada wa kuelezwa nini kinasababisha makamasi? Je kuna tofauti kati ya makamasi na mafua? Je nini kinasababisha mtu mzima kuwa anatoka makamasi (sio mafua)?
0 Reactions
7 Replies
18K Views
Habarini wana jf, Natafuta zile reagents za kupimia HIV papo kwa hapo. Mwenye nazo au kujua zinapatikana wapi tafadhali naomba anijuze. Nashukuru.
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Wengi wao utakuta wanaongea kwa sauti ya juu sana kuliko kawaida, anakuongelesha kwa sauti ya juu kana kwamba uko mita 25 toka alipo; nini tatizo au chanzo chake?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
DAR IVF & FERTILITY CLINIC *************** Hili tangazo nimeliona leo maeneo ya Kawe jijini Dar es Salaam. Hii kliniki ni maalum kwa wale watu wenye upungufu wa nguvu za kiume. Kumbe kuna...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Ni kawaida kutoa sauti wakati wa kwenda haja kubwa, Ila naona kwangu nimekuwa too much maana nikienda haja kubwa natoa mlio kama wa pikipiki iliyochomolewa exhaust. Najisikia embarrassed hasa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
MSOMAJI wetu ameuliza kama kuna vipimo vikubwa zaidi na dawa za kutibu tatizo la moyo kupanuka. Anadai mwanzo alikuwa anapumua kwa shida akaenda hospitali, wakampiga picha ya X-Ray na kumwambia...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Imenilazimu kuomba msaada wenu wa Hali na Mali, mnisaidie kunambia kitu kitakacholainisha koo langu ili niwe na sauti nyororo isiyo na Mikwaruzo. Ofisi yangu imeniteua kusoma risala katika hafla...
1 Reactions
8 Replies
11K Views
Habari wanajamvi. Yaani wakati wa tendo la ndoa uume husimama kwa muda mfupi sana kiasi kwamba nikichelewa kuingiza ukeni basi unalegea.
0 Reactions
18 Replies
22K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…