Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Asalaam wanabodi, tafadhali naomba kufahamu chanzo kinachoweza kumsababishia malengelenge msichana ambaye hajazaa kwenye mirija yake ya uzazi. Pia endapo kuna madhara makubwa anayoweza kupata na...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
wanajamvi naomba mnambie ni dawa gani ya meno/mswaki ambayo ni nzuri kutumia, yaani ambayo huondoa harufu na pia huua vijidudu vya meno.
0 Reactions
31 Replies
17K Views
Jaman kuna dawa zina madini ya Folic acid ni maalumu kwa ajili ya mama mjamzito na bei yake hipo juu sana, lkn juzi nilinunua dawa hizi lkn wife akanambia zinautofauti na zile nilinunua mara ya...
0 Reactions
12 Replies
18K Views
Nimekuwa nikisikia habari za wachawi na kupenda mimba changa, kina dada wengi wanalia na kukosa amani pale anapojiamini amenasa lakini baada ya wiki mbili au tatu anashuhudia damu na hatimaye...
0 Reactions
3 Replies
30K Views
Millions of people are affected by the excessive drinking of someone close. The following questions are designed to help you decide whether or not you need help 1. Do you worry about how much...
0 Reactions
0 Replies
662 Views
Habari Wanajamvi! Daktari wa magonjwa ya wanaume anaitwaje, na ninaweza kumpata/kuwapata hospitali zipi hapa Dar es salaam! Ni swali nililoulizwa na rafiki yangu, nami sikuwa na majibu ya...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
wakuu nimekua na tatizo toka mwaka 2010,nilinyoa makwapa na baada ya kuoga nilijipulizia perfume,toka siku hyo makwapa yanawasha sana,yaan nakua uncomfortbl,haipiti dakika 3 inatokea...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Kondom sio kinga ya Ukimwi tujitahadhari wabongo tutakwisha Virusi vya HIV hupenya wabongo wenzangu baada ya kimya kirefu kwenye group nimerudi kwa kuchangia maoni na mnaonaje haya...
1 Reactions
14 Replies
26K Views
ACHA TABIA HIZI UEPUSHE MAGONJWA KAMA (Sukari,presha,vidonda vya tumbo,upungufu wa nguvu za kiume,matatizo ya uzazi na kansa) ULAFI Kwa kawaida, mtu anapokula vyakula ambavyo havina...
6 Reactions
4 Replies
5K Views
Kampuni ya Johnson & Johnson inayotengeneza Baby Powder imepoteza kesi ya $55 millioni baada ya kushitakiwa na mwanamke aliyepata sarakani ya ovari aliyodai imetokana na matumizi yake ya baby...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wana JF abortion(utoaji mimba) inayokubalika kimaadili ni moja tu. kwa ufupi zipo aina kuu 2 za abortion: 1. Spontaneous or Natural abortion wakati mwingine inaitwa miscarriage hapa mimba imetoka...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Wana jamvi habarini ya mda na wakati kama hii,naombeni ushauri wenu mana hali kama hii inatatanisha,kuna mtoto wa ndugu yangu wa miaka 7,alishikwa na home kali kwa gafla,waliosema lao wakasema ni...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nina wito na mapenzi ya dhati kuwa daktari. Nilianza jaribu kutimiza wito huu kwa kusoma masomo ya sayansi O-LEVEL,nimefaulu vizuri masomo hayo. Advance nikashndwa kumudu kusoma PCB kwa...
0 Reactions
37 Replies
8K Views
Jamani ni kama mwezi sasa nabanja. Sikohoi ila ninabanja nini tiba yake makohozi mazito siyapendi aisei..!
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Jf doctor naomba kujua mwanamke aliyejifungua anatakiwa akae muda gani kabla ya kuanza kufanya tena Mapenzi?Nauliza hivi kwa kuwa kumekumekua maelezo tofauti tofauti Wengine wakisema harusiwi...
2 Reactions
10 Replies
17K Views
Maumivu ya jino ni moja ya maumivu mabaya sana kuyapata, maumivu mengine mabaya ni ya sikio. Jino linaweza kupatwa na mavumivu ambayo yanaweza kupelekea jino kutoboka na hata kuong’olewa kabisa...
0 Reactions
4 Replies
21K Views
Habari wote. Naomba kujuzwa kitaalumu kuhusu uvimbe kwenye mfuko wa uzazi,nina mpenzi ambaye mara kadhaa mimba zimekuwa zikitoka na alipoenda kipima akaambiwa kuwa ana uvimbe kwenye mfuko wa...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Hii ndivyo wazungu wanavyosafisha masikio yaliyoziba kwa uchafu. Kwa madaktari wa Afrika wanakupiga bomba lenye maji ya moto.
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari za muda huu wapendwa waheshimiwa madaktari wa jamii forums , Mimi ni kijana wa miaka 24 ninaishi katika mji wa ushirombo mkoani geita wilaya ya bukombe. Ombi langu kubwa lililonileta humu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Je, inawezekana mwanamke kupata hedhi mara mbili ndani ya mwezi mmoja? Mfano tarehe 1 May na 26 May, je hali hii ni kawaida au ni tatizo?na kama ni kawaida kisayansi ipoje? Na vipi kuhusu siku...
0 Reactions
12 Replies
13K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…