Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Shida inakuwaga ni nini mimba kutunga nje ya kizazi?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
1. Usidanganye/ 2. Mpe daktari sababu za kumtembelea. Kawaida sababu ni dalili, na si jina la ugonjwa udhaniao wakusumbua. Mfano kuna tofauti kubwa mtu akienda kwa daktari akasema ninajisikia...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Kuna wafanyabiashara wasio waaminifu wanauza virutubisho viitwavyo Trevo. Soko lao kubwa ni waathirika wa UKIMWI. Kwa bahati mbaya sana, wengine wanatumia uwongo ili kupata wateja wengi kwamba...
3 Reactions
35 Replies
13K Views
Mkuu, Nashukuru kwa Service Yako, Mimi Ninasumbuliwa Na Tatizo La Macho, Kipindi cha juakali, macho yana kuwa mekundu kuzid mpaka machoz, ila kwenye dark day najiskia vizur.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hello Doctor Naomba kujua inawezekana mwanamke kama anapata hedhi kuanzia tarehe 16 mkakutana mwezi ujao tarehe tano anaweza kupata ujauzito?
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Hello Doctors, I just had my CBC test and I'm realising that; 1. Granulocyes absolute count = 3.5x10^9/L 2. Granulocytes %ge = 52% 3.White blood cells = 6.6x10^9/L 4. Red blood cells =...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa kawaida mwanamke hubeba ujauzito kwa muda wa wiki/siku ngapi?
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Napita kipindi kigumu sana Siku moja nikiwa sehemu nilihisi kama kitu kimenipiga usoni, nikapoteza nguvu ghafla, nikakaa kwa muda. Nikaomba msaada, ndugu akanisaidia. Nikalala, asubuhi...
0 Reactions
49 Replies
8K Views
Wakuu wa Nchi naomba kuuliza , kama mtu ana kisukari type 2, ambacho kilikuwa 19 akaweza kukicontroll mpaka 6.3, vipi nguvu Zake za kiume zitarudi normal? Na vipi kuhusu uzalishaji wa sperms...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Katika tafiti za sasa zinaonesha kuwa tatizo la kupungukiwa nguvu za kiume ni la kawaida maana tafiti zinaonesha kwamba ni asilimia 4 tu ya watu duniani wanafurahia tendo la ndoa ipasavyo wengine...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jaman hivi mtu anapopatwa na tatizo la kupooza upande kutokana na tatizo la BP , Je hali ya mgonjwa hurejea kama kawaida? Yaani hali ya kuupooza inaweza kutoweka?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za kazi ndugu! Mi ni mwanafunzi wa Biomedical Engineering niko mwaka wa pili na nikiingia mwaka wa tatu inabidi nichague upande ambao nitaendelea kusoma medical devices, nikiwa na maana ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
UMUHIMU WA YAI KAMA KIFUNGUA KINYWA YAI MOJA LAFAA SANA KUKUEPUSHA NA MAGONJWA YA MOYO NA KIHARUSI KULA YAI MOJA LA KUCHEMSHA KILA SIKU,USIZIDISHE MAANA MAYAI YANA KALORIES NYINGI SANA.
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari ndugu zangu wa jamiiforum Naomba mnisaidie nikiamini ndio moja ya msingi wa kundi au.jamii hiii... HIV BEI YA KUPIFANYA VIPIMO VYA ULTRASOUND KWA MAMA WA JAWAZITO NI KIASI GANI? If you...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Ukiishi nchi ya ujanaujana kila kitu ni ujanja ujanja Yaani hata sindano ya manjano unahonga ugongewe muhuri tu badala ya kuchomwa Haya.
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wadau naombrni kujuzwa
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wakuu wa Nchi natafuta hiyo Dawa tajwa hapo juu . Kama Kuna mwana JF anayejua phamacy ipi naweza kupata ,KILIMANJARO AU ARUSHA PLEASE. GOD BLESS YOU GUYS.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Aiseeee hili tatizo linanisumbua kweli nimeambiwa damu imezidi kiwango badala ya kuwa 85% imefikia mpaka 132%. Sasa inaonekana nishakuwa ngombe wa kubeba midamu yote hiyo. Na kibaya zaidi...
0 Reactions
7 Replies
8K Views
Nf1
My young brother have been diagnosed with NF1 and he had several surgery sessions in KCMC but there is insignificant cure he can say positively for, rather there is only scars remain on face and...
0 Reactions
6 Replies
791 Views
Habari zenu wakuu, Naomba msaada wenu kwa tatizo hili kwani bila kupata msaada japo wa mawazo naweza pata hata magonjwa ya zinaa na UKIMWI. Ukweli ni kwamba, tangu nianze kufanya mapenzi sijawahi...
0 Reactions
25 Replies
11K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…