Wakuu habari za leo
Mwanangu wa mwezi mmoja anatokewa maziwa puani hali hii imejitokeza wiki ya pili toka kuzaliwa kwake.
Sasa jana imeenda mbali yametoka mpaka maskioni .
Wakuu nini...
1.wat are things causing it. 2.wat are its disadvantages3.how can a person get rid of it 4.can it be treated.......if yes how can it be treated. **kwa anayejua naomba anisaidie@graph...
Ndugu poleni na kazi kubwa ya kuimarisha afya za Watanzania pamoja na kujenga taifa.
Nina mdogo wangu wa kike ana umri wa miaka 20 ana tatizo linalompa shida sana,kuna vipele kama vchunusi vidogo...
Habari zenu,
Ni matumaini yangu mu wazima kimwili na kiakili. Nimepata mawazo sana kuhusiana na hili swala la maziwa ya viwandani ya kwenye pakiti kama vile brookside, azam, parmalat na...
Nawasalimu wote jamanii.
Jamani me ninatatizo kila ninapofanya mapenzi huwa namwaga faster sana yani ndani ya dakika ishirini nakuwa nishaenda ata tatu kabisa, yani najiona nipo tofauti sana...
Naombeni kujuzwa ivi kuna dawa ya kurudisha hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake, ndoa yangu iko hatiani ni mwanamke nimeolewa nimepoteza hamu ya tendo la ndoa kabisa ila mume wangu nampenda sana.
Wandg wapendwa poleni na mihangaiko ya kila siku, tatizo linalo nisumbua ni kuwashwa sehemu ya kichwa cha uume wangu yaan kunakuwa kama kuna mdudu anatembelea ndani, kujikuna ni shughuli inabidi...
Ona hiyo Dawa inaonyesha imetengenezwa Mwaka April 2016 Hata huo Mwaka Hatujaufika ndio Kwanza Tupo Mwezi 6 Mwaka 2015 Ahh kazi kweli na Hizi Dawa za Sumu za Kizungu. Tuamkeni na Hizi DAWA ZA...
Wadau naomba msaada, nina binti yangu ana umri wa miaka 16.
Amekuwa akisumbuliwa na maumivu ya tumbo mara kwa mara.
Leo nimempeleka hospitalini amechukuliwa kipimo cha pylori na akaonekana na...
Ndugu zangu naomba kufahamu Nyama ktk uke wa mwanamke zikiwa zimejitokeza nje, maana yake nini? Ufahamu nilionao ni kwamba amekaangwa sana Je hili ni kweli? Au ni maumbile.
Naomba radhi Kama...
Anayefahamu kuhusu hilo tatizo tafadhali naomba maelekezo pia kama anafahamu tiba yake maana nasikia mtu akiwa nalo anahitaji kupata dawa kwa muda wa miezi sita. Kutumia dawa kwa muda wote huo...
Mdogo wangu amekuwa akusumbuliwa na Shida ya constipation siku nyingi sana, sasa Leo ameniuliza juu ya dalili alizonazo kuwa ni kitu gani na he kinatibika?
Ni hivi anadai kuwa siku hizi akienda...
Nina mdogo wangu akila tu chakula anatapika Mara kwa Mara ,hali hii inanipa wasiwasi kwa mdogo wangu, jamani naombeni dawa mbadala nimsaidie mdogo wangu wana JF Mungu awabariki sana.
Habari wadau,
Mwanangu ana miaka kama miwili hivi na mara nyingi huangalia kiganja chake cha mono wa kushoto na kuangua kicheko.
Anaweza akafanya hivyo mara kadhaa kwa siku na mara nyingine...
Mayai ni moja ya vyakula vyenye viini lishe muhimu kwa ajili ya afya ya mwili wa binadamu. Kwa kawaida mayai kabla ya kuliwa, huandaliwa kwa njia mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuchemshwa...
Poleni kazi!
Ni tangu usichana wangu matiti yangu yamekuwa yakitoa vimajimaji, nilishawai kwenda hospitali tofauti tofauti lakini tatizo lipo pale palei ila hakuna maumivu yoyote, na si...