Ndugu yang kila akipata ujauzito ya kwanza miezi 3 tumbo linamuuma anablid alafu ndo mimba inaisha hivyo, Ya pili nayo hivyo hivyo kapata mimba ghafla tumbo linamuuma anablid hospital walipima lkn...
Jamani Tafiti Zinaonyesha Kuwa Kuvaa Boxer Au Chupi Kwa Wanaume Kuna Madhara Sana. nguo izo kwa sbb zinabana na penis inapocmama inashindwa kucmama vzr ivyo kufanya mishipa yake ambayo ni laini...
Habari wana jf,
Nahitaj msaada wa kitaalamu mi kijana nna umri miaka 26 nna girlfrnd wangu ana miaka 21 tumekuwa pamoja kwa miaka mitatu sasa ila kuna tatizo analo mpnz wangu huyo.
Akifikia...
Heshima yenu wakubwa,
Ni week ya pili sasa nahisi maumivu kwenye Pum**** japo sio sana kwa mbali tu. Jana katika kujipapasa nahisi nina vigorori vitatu; kimoja kidogo viwili kawaida..
Je, hii...
Karibuni wadau, na watalaamu..
Je ni utalaam up unaotumika kunyolea ndevu kwa wembe kwa kutumia mkono au mashine yake na je ni kwel usababisha vipele..
na je kunatofauti yoyote kunyoa kwa wembe...
Kaniuliza swali nini maana ya Michango kwa mwanamke,binafsi sikuwa na jibu ila baada ya kumdodosa akanambia anaugua Michango,akina mama ni tiba gani mnamshauri mama mdada Huyu atumie ...msaidieni
wakuu habari za humu nilikuw napenda kufaham kikubwa kuusu hili swala kwann mtu akinywa pombe anatapika...???
Binafsi natumia hvy vinywaji yan pombe ila cha kushangaza nikinywa pale pombe...
Habari wana jamvi?!
Naomba kujua dawa ya kuondoa uchafu wa masikio. Tatizo langu ni kuwepo kwa vitu vigumu/uchafu ambao najaribu kila siku kuutoa au kuupunguza bila mafanikio .nimeshatumia mpaka...
Mtoto wangu alichomwaga sindando ya quinin mwezi january bt imemletea maumivu ya mguu na baadae akawa hawezi kukanyaga chini kisigino kinamuuma... yuko dar kwa ajili ya easter tu.. naomba msaada...
Wana jf ninamdogo wangu anasumbuliwa sana na sikio linauma sana na wakati mwingine kuziba lakini halitoi uchafu wala maji. ametumia dawa nyingi za antibiotics kutoka hospitali mbalimbali bila...
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid
​
KWA UFUPI
Alisema kwa mujibu wa takwimu za kawaida zinazopatikana kutoka katika vituo vya kutolewa huduma za afya , zinaonyesha kuwa...
Kaniuliza swali nini maana ya Michango kwa mwanamke,binafsi sikuwa na jibu ila baada ya kumdodosa akanambia anaugua Michango,akina mama ni tiba gani mnamshauri mama mdada Huyu atumie ...msaidieni...
Msaada tafadhali Nina mke na ndoa yetu ina miezi saba sasa, tangu mwaka jana nimepata tatzo la kufanya tendo la ndoa na kutoa mbegu ambazo hazina rangi ya kawaida(nyeupe) bali zinaonekana na rangi...
Ndugu wana jamii forum mie nina kaka yang mkubwa tu huwa miguu yake inapenda sana kuweka moto ndani yake,sasa munaweza kunisaidiaje juu ya hili tatizo.
Naomba msaada jaman ninshida au tatizo la kupoteza faham kwa sekunde kazaa alafu faham inarudi. Nini shida na kama kunashida nn ufumbuzi wa hili tatizo