Na Mwandishi Wetu
Imeelezwa kuwa watu wanaotumia redio za simu wako hatarini kupatwa na ugonjwa wa saratani ya sikio na kichwa kutokana na mionzi mikali itokanayo na viselula hivyo.
Akizungumza na...
Habari wanajf.
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 26,sijawahi kupatwa na tatizo lolote kuhusu nywele,ila tangu juzi nimeshangaa kuona nywele zangu zikipukutika kichwani.Yaani nikizishika tu zinatoka...
Hapa naugulia jino hadi ufizi umevimba.. Naomba kwa hakika kujua asili/chanzo halisi ya/cha kuugua/kuoza meno na kama kuna dawa ya kutibu (sio kutuliza) au lazima kung'oa.. Nisaidieni wenye...
Tatizo la kifua kwa muda mrefu linaweza kutibika?wataalam naomba msaada maana kuna mtu anasumbuliwa na kifua
toka alipofanyiwa operation ya jicho hadi sasa n miaka 3 kifua kimekuwa...
Hi wana JF mimi ni mvulana nina vichunusi lakini sio sana hali iliyopelekea nipate madoa meusi na uso wangu kupoteza hali ya usoft.Nataka niwe soft kama mtoto.
Nisaidie jamani nifanye nini ili...
Habari wana jf,
nina mwanangu alizaliwa sept 2, amekuwa akionyesha hali ya kama anaumwa tumbo kwa kulia lia na wakati mwingine ananyonya halafu anaanza kulia. Wengine wanasema maziwa ya mama yake...
I am not sure how true this is, but we have sisters, brothers, relatives, neighbours etc... etc... suffering from this deadly disease. Please give a try. HOW I GOT CURED HIV AND SKIN CANCER: HOW...
Habari,
Naomba msaada wenu katika hili, kila nikitaka kubadilisha mafuta ya kupaka usoni natokewa na harara nimeuliza kwa baadhi ya watu wananambia ni kawaida eti ngozi ikishazoea hayo mafuta...
Habari wa jf naomben tumshauri huyu mtu.Ni kijana mwenye umri wa miaka 20 ana tatzo la ngozi ya uson kujkunja kama mzee amejarbu dawa mbalmbal bla mafankio mwenye kujua
chanzo cha tatzo na tiba...
Naomba kujua ni mafuta gani mazuri kwa ngozi yangu, ngozi yangu siyo kavu na wala haina mafuta mengi. Kwa sasa napaka Nivea Dry Skin, lakini haifanyi ngozi yangu kuwa soft (muonekano mzuri)...
Kwa wale wanaosumbuliwa na vipere vya ndevu baada ya kunyoa wanashauriwa kupaka mafuta ya TAA soon baada tu ya kunyoa na upere utapotea kabisa.WENGI IMEWASAIDIA JARIBU NA WEWE
Habari wana Jamvi.
Nilikuja na mada hapa ya kuumwa malaria na tyford nashukuru sana kwa walio changia kwa ushauri. Ila kuna dawa nimepata naona inanisaidia sana na kiukweli nimepona na naomba...
Hitilafu ya rangi (albinism) husababishwa na mabadiliko hasi katika eneo kinasaba(Gene) kwenye chromosome ya 11; eneo hili hutengeneza kimeng'enyo au catalist (enzyme) iitwayo tyrosinase...
ni ipi dawa nzuri ya maralia wana jf wenzangu?yan nahic hii yan ni clonic sana kwan mwez haupt bila kuumwa maralia,dawa ambazo nimeshajaribu sana ni metacafin,mseto na dawa moja iv inauzwa elf...
"Heshima kwenu Wakuu"
Naomba kujuzwa kuhusu ugonjwa wa Kifua Kikuu.
Ikiwa Mme au Mke kapima na kugundulika kua ana TB na kuanza matibabu, je anaweza kumwambukiza mwingine ambae hakua na...
Habar zenu wadau wa JF naombeni msaada wenu mwenzenu ninasumbuliwa na tatizo la kuwahi kufika kilelen mapema nikiwa nasex na mpenz wangu kibaya zaid baada ya hapo sitaman tena kuendelea kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.