Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Kunamadhara yoyote kwa mama mjamzito kuendelea kumyonyesha mtoto hali yakuwa yeye ni mjazito ?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wapendwa. Nina tatizo nahitaji msaada wa ushauri na ufafanuzi. Nina ujauzto wa wikin35. But nilipofikisha wiki 20 nilianza kupata vaginal bleeding, nilipoenda hospital nilifanyiwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jaman waungwana habari zenu, polen na majukumu, naomba msaada piah ushauri kwa mwenye knwoledge kuhusu tatizo la kukojoa mara kwa mara haipiti dakika tano, na inapotokea hali hyo huahakuna jinsi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Taarifa zilizopatikana kutoka wizarani zinaonyesha kuwa kati ya wagonjwa 150 na 200 husafirishwa na Serikali kwenda nchini India, ambako kuna uhakika wa matibabu, kila mwaka. Idadi hii haijumushi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wote, wakubwa shkamooni. Hii ni mara yangu ya kwanza kuanzisha uzi humu ndani, na nimelazimika kufanya hivyo kwa tatizo linalonikabili. Mwenyezi Mungu kanijaalia mtoto wiki moja...
2 Reactions
43 Replies
11K Views
Ugonjwa wa mafua huonekana wa kawaida, usio na madhara makubwa, lakini una athari za kiafya na karaha nyingi. Mafua yanaweza kuwa moja ya sababu kubwa inayofanya watu wengi kushindwa kwenda...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu JF Doctors., Jamani mi nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la macho kuwasha na kutoa machozi kila niuguapo mafua. Nashindwa kuelewa hii connection, why kila nikiugua mafua lazima na...
1 Reactions
3 Replies
14K Views
Wakuu nimekuwa nikijiuliza hivi ujauzito kihalisia ni miezi mingapi? Ni tisa au (kwa maana ya wiki 36) au zaidi ya hapo?? Je ilifika wiki ya 40 ni sawa au kuna tatizo labda?? Naulizq hivyo manake...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wataalaam naomba kufaamichwa ni dawa gani au hatua zipi nichukue kunusuru macho yangu. Maana yanabadilika rangi na kuwa brownred.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habarini ndugu zangu, Jukwaa hili ni mara yangu ya kwanza kuposti uzi huu. Sijawahi kuandika zaidi ya kusoma tu yanayoandikwa. Leo nimeona nije hapa niweke wazi huu ugonjwa unaonisumbua kwa mwezi...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
RIZZY INC: HOMA YA DENGUE
0 Reactions
0 Replies
982 Views
Hivii dawa ya kuongeza nguvu za kiume inaitwaje?? Na pharmacy inapatikana?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana JF, Hivi watu walio katika ndoa kuna haja ya kwenda kucheck/kupima VVU mara kwa mara?
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Waungwana baba yangu, baba yenu wengi wenu ni babu yenu mida hii ya saa kumi kaingizwa chumba cha upasuaji hapa hospitali ya Namanga Tegeta. Nakuombeni sana dua zenu atoke salama ili hatimae...
1 Reactions
28 Replies
4K Views
Kuna madhara yoyote kwa mjamzito wa miez 6 kunywa pombe? Nijuzeni kwa mnaofaham maana stress zimezidi bora ninywe pombe tu.
0 Reactions
21 Replies
11K Views
Imekuwa ni kawaida kwa madaktari wetu kukupa tiba na njia mbalimbali za kukuwezesha kupona ugonjwa unaokusumbua..Kwa kweli tunawashukuru kwa hilo....Swali langu ni je...! tatizo lipo wapi kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za kazi Ndugu zangu!! Kwa wale wote wanaosumbuliwa au kama una ndugu jamaa au rafiki anasumbuliwa na magonjwa Tajwa hapo juu (SIKOCEL & KISUKARI NA KUONGEZA CD4) napenda kuwaambia kuwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nisaidieni jamani yan haisimami tena nini dawa ya hili nitakimbiwa.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Masikio kuziba na kusikia sauti kama ngoma Wakuu wana JF, Madaktairi naomba msaada wenu wa tatizo langu la masikio kuziba na...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Kichwa cha Habari chahusika. Nikiweka simu sikioni kuongea hatakama ni kwa dakika 2 tu Kichwa kinauma sana na mpaka sikio linauma. Yapata wiki sasa tangu nianze kupata hili tatizo. Zamani...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…