Jamani nina umri usiopungua miaka 25 ila kwakuwa sijielewielewi (kunadalili tofauti za magonjwa ya zinaa katika mwili wangu kwa mda mrefu) na niliwahi kujaribu kupima magonjwa matatu tu...
Kuchelewa kuzaa kuna matatizo yake. Je unayafahamu?
Wanawake wanaochelewa kuzaa wanakabiliwa na tisho la kupata matatizo ya afya ya uzazi. Huu sio utafititi tu balo maoni ya daktari mmoja mkuu...
Wanasayansi wanaamini kuwa unywaji mwingi wa pombe unaweza kuleta hisia zisizo za kawaida mwilini ambazo zinaweza kuiweka ngozi katika hatari zaidi ya kupata Saratani ya ngozi.
Kemikali ya Ethanol...
Ndugu zanguni ninaomba anayefahamu kuhusu matibabu ya mifupa iliyovunjika asaidie hapa:
1. Je kuna dawa ya kuharakisha kujiunga kwa mifupa hasa ya kienyeji.
2. katika hali ya kawaida mifupa...
Habari zenu wana JF. Leo nawaletea mbinu za kumuondoa mdudu aliyeingia sikioni.
Kuna baadhi ya wadudu huwa wanapenda kuingia masikioni kama vile mende,chawa,nzi nk. Tunamuondoaje?:Tumia moja kati...
Heshima kwenu wote,
Mimi na mke wangu hatuna furaha kabisa kutokana maendeleo ya mtoto wetu. Mpaka sasa hivi ana miaka 3 ajabu hawezi kuongea wala kula mwenyewe.Chakula analishwa na anakula...
Wana jamvi msaada.Napata maumivu makali sana baada ya haja kubwa na huendelea hata baada ya haja. Na huwa choo kinakuwa kigumu sema sio sana ila maumvu yanazdi hadi napata shda kukaa.
Sijui tatzo...
Habari wana JF...
Napenda kuitumia nafasi hii kwa kuondoa ile dhana kwa baadhi ya watu ya kusema Hospitali ya Mirembe ni ya wagonjwa wa akili tu (wengine huwaita vichaa but siyo kabisa)
Kama...
Nina rafiki yangu wa kike tangu nianze nae mahusiano ni miaka miwili imepita siku moja nilimuuliza kuhusu mzunguko wake aliniambia hafahamu kwa kuwa huwa inamtokea bila ya kuwa na fumula.
Mfano...
Mchoro wa moyo unaoonyesha madhara ya ghafla yanayoweza kusababisha kifo.
KWA UFUPI
Matukio ya waliokufa ghafla Tanzania
-Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM, Horace Kolimba
-Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa...
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Hiiti Sillo (kushoto) akiwaonyesha waandishi wa habari wakati wa mkutano Dar es Salaam, bidhaa za chakula na vinywaji walizokamata kwenye...
KWA UFUPI
1.Ushuzi hujumuisha asilimia 59 ya gesi ya naitrojeni, asilimia 21 ya haidrojen, ammonia, asilimia 9 ya ukaa au kabonidayoksaidi, asilimia 7 ya methane na asilimia 4 ya oksijeni.
2.Kila...
Naomba mnisaidie ndugu zangu. Tatizo langu ni kuwa kila ninapokuwa nina hamu ya sex badala ya ute vinatoka vitu kama ute uliochanganyika na damu yaan kama period inataka kuanza... Napata shida...
Kuna mdogo wangu mmoja anasoma secondary form four. Huyo dogo alikuwa mpole tu sana alivyokuwa kidato cha pili na anauwezo mzuri sana darasani, ila alipofika form 3 alibadilika, ghafla akawa...