Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Pole kwa usumbufu pia kwa wanajamii yeyote anaejua anaweza kuchangiaa hapaa. Nimekua nikinywa maji ya moto yaliyochanganywa na limao nakunywa glas tatu jioni napotaka kulala na asubuhi kila...
4 Reactions
62 Replies
8K Views
Kwa mujibu wa mtandao wa www.organicfacts.net uyoga una vitamini na aina nyingi za madini.Baadhi ya virutubisho vilivyothibitishwa kuwemo kwenye uyoga ni pamoja na Vitamini B2, B3, B5, B6, B...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Diabetes Around the World Infographic UGONJWA WA KISUKARI NI JANGAA KUBWA DUNIANI MWENYEEZI MUNGU ATUEPUSHE NAO AMEEN.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwanza napenda kuwapongeza wana JF kwa roho safi ya kutoa msaada pasipo shuruti yoyote hile. Mimi nina shida ya kupata mtoto nimetembea na wasichana tofauti pasipo hata kusingiziwa mimba,lakini...
1 Reactions
8 Replies
5K Views
Coke is the most valuable brand in history, and "Coca-Cola" is the world's second-most recognized word after "hello." However, the beverage itself is an absolute poison to the human metabolism...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
The benefits of using iodized salt are numerous, as the whole body depends on these two minerals in order to function properly: Improved Thyroid Function Your body needs iodine for the thyroid...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wanajamii naomba kufahamu kunywa maji ya moto ambayo yametolewa jikoni muda mfupi kabla ya kuyanywa yana faida zipi?
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Unaweza kuwa na malengo na mipango mikubwa kwenye maisha yako. Ila kama afya yako haitokuwa nzuri ni vigumu sana kufika unakotarajia kufika. Hata kama unapenda kuwasaidia watu kwa kiasi gani...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
HATARI YA UNENE: MOJA ya hatari inayowakabili watu duniani ni unene (au kuwa na kitambi au kuwa na uzito mkubwa). Janga hili linawakabili wakubwa kwa watoto. Unene, kitambi au uzito mkubwa ni...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Malimao
0 Reactions
5 Replies
2K Views
dripu ikimwagikia nje ya mshipa inakuwaje tena ni ya glucose kuna tokea tatizo gani?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
wanajamvi naomba kujuzwa, je kuna uwezekano mwanamke akapata ujauzito baada ya kutolewa mfuko wa uzazi? taaluma ya testtube babies ikoje? naomba kujuzwa tafadhali.
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Dalili kuu za mwanzo za ukimwi ni zipi?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habarini za leo! Jamani nina swali kwa madaktari, eti hiyo dawa tajwa hapo husaidia kuwezesha mtu akaconceive? /akashika ujauzito?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Chagas disease
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Msaada tafadhali toka nijifungua sasa ni miezi saba nilijifungua kwa operation, hivyo mazoezi ilikuwa ngumu kuanza kutokana na mshono, nilikuwa nataka kujua ni muda gani muafaka wa kufanya mazoezi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wapendwa habarini za asubuhi jana arufajiri niliamka kuwahi shamba nikiwa njiani alitokea mdudu na kuniuma mdomo wa juu mdomo ukaanza kuvimba. nilivumilia uvimbe nikijua utaisha, mdaulivyokuwa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wana JF doctor naleta mada kwenu. Je frequency ejaculation inaweza kusababisha mtu kutopata mtoto kwa haraka.? Yaani mtu anapofanya sex mara kwa mara may be kila baada ya siku 3 au 4 Hebu...
3 Reactions
12 Replies
5K Views
Habari zenu nyote kwa pamoja, Hope mmeamka salama na mnaendelea na shuhuli za kutafuta ridhiki kama si kulijenga taifa na kuleta maendeleo. Nina shida moja ambayo ningependa niiongelee hapa na...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…