Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Juzi nilimpeleka mtoto kwenye kituo cha afya maarufu sana hapoa moshi,ila wakati nikiwa kwenye chumba cha dakatri nikaona pembeni yake kuna karatasi mbili zenye kichwa cha habari;DAWA AMBAZO...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari zenu wakuu? ni matumaini yangu kuwa, mu-wazima wa afya kabisa! wakuu, nina dukuduku juu ya aina hii ya maziwa, yaani maziwa mgando! kwa jinsi inavyosemekana, maziwa mpaka yafikie hatua ya...
0 Reactions
5 Replies
15K Views
Kesi ya wanaume kupungukiwa nguvu za kiume zimezidi kushika kasi, kiasi cha kufanya dawa ya kuongeza nguvu hizo kuwa maarufu na yenye mahitaji makubwa katika jamii. - Waganga wa kienyeji...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
habari zenu madaktari humu, mwenzenu hivi karibuni najisikia kuchokachoka na kupatwa na usingizi kila mala, maleria sina wala homa yoyote ila tu mwili unakuwa wa kuchokachoka tu, nini sababu ya...
0 Reactions
7 Replies
10K Views
Matumizi ya asali ni mazuri kwa afya yako lakini ikiwa tu utatumia ASALI HALISI na sio asali ILIYO CHAKACHULIWA. Ukitumia asali halisi utapata matokeo unayoyategemea na si vinginevyo. Kutambua...
10 Reactions
34 Replies
15K Views
kumekuwa na tatizo la obesity kwa vijana wengi wa kitanzania bila wao kujijuia leo nakupa njia rahisi mimi ni mgeni humu uenda imeshapostiwa ila si mbaya kujikumbusha -pima uzito wako kwa...
1 Reactions
32 Replies
8K Views
kuna friend wangu ana uvimbe jichoni kwenye kope ya chini ya jicho.ameenda.hospitali bt haujaisha kama miezi sita sasa. any help wakuu
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Habari JF....Naomba kwa anayejua namna ya kuondoa weusi kwenye makwapa anijulishe!! Nawasilisha.
0 Reactions
34 Replies
15K Views
Je ni muda gani mwanamke aliyejifungua salama anaweza kupata ujauzito tena?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nmefikisha kama mwiez3 nawashwa mwl mzima hasa kwenye maungio ya mikono na miguu, kwenye uume na ku7bisha vpele kutokea.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Inzi Wa Kijani. INZI wa kijani anayefahamika kwa jina la kitalaamu kama Lucilia Sericata (green bottle fly) ni kati ya wadudu wanaoogopwa na binadamu kwa sababu ni chanzo cha ugonjwa wa...
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Ni kuhusu hizi products za clean 9 za kupunguza mafuta mwilini,je wadau kwa anayefahamu vizuri vipi ubora wake na uwezo wake wakufanyakazi?na je ni products za kweli?au wanataka tu kula pesa za watu?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wanajamvi! kwa yeyote aliyepata kusikia kuhusu mafuta ya vitamin E....ndo yapoje et ! i need to know that plz....
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Habar wataalam Nilikuwa naomba Kujua Bei ya hizi Malaria Pills zinazoitwa MALARONE kwa Dar Stay Blessed
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nina tatizo la vidonda vya tumbo..ila chochote nachokula tumbo linajaa gesi na nina umia sana..naomba msaada wa jinsi ya kukabiliana na hili tatizo tumbo kujaa gesi.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hello Mwanajamii! Ni matumaini yangu kuwa unaendelea vema katika kazi zako za kila siku. Katika utendaji bora wa kazi unafuatana na utendaji bora wa ubongo pia. Ubongo wa mwanadamu hufikiri vema...
2 Reactions
33 Replies
23K Views
Wadau wanajamii bila shaka mnaendelea vema na kazi za kila siku. Napenda kuwapa ufahamu wa namna ya kupambana na tatizo kama lilivyojieleza hapo kwenye kicha cha habari. Watu wengi wana tatizo na...
0 Reactions
50 Replies
18K Views
Mpendwa msomaji. Bado tupo katika kudadavua faida za kiafya zitokanazo na chakula. Leo, tutaizungumzia Soya ambayo ni maarufu sana nchini lakini kwa bahati mbaya wengi hawajui kuwa ni chakula...
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Heri ya mwaka mpya JF...natumaini mu wazima. Nina tatzo la kuchoka sana muda wote,yaani nausikiaga mwili hauna nguvu pamoja na usingizi kila mara hali hii inasababishwa na nini?
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Watalaam nisaidieni, wiki moja ilopita niliumia mguuni kwa kujikwaa kwenye ubao juu ya kisigino. kulionekana kama kubaki shimo, japo damu haikutoka sana na badala yake kama vimiminika vya mafuta...
0 Reactions
3 Replies
14K Views
Back
Top Bottom