Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Women who delay having children enter a ‘risk zone’ of problems in their early thirties, researchers say – much earlier than was previously thought. The risk of problems such as premature and...
0 Reactions
0 Replies
986 Views
Naomba kama kuna mtaalamu humu jukwaani asaidie tafadhali! Kuna tatizo limemtokea ndugu yangu toka mwaka 2005 ikiwa ni kauvimbe mfano wa jipu karibu kabisa na sehemu ya haja kubwa dr akapasua ila...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Habari zenu wakuu! Happy new year to you all! Suala lililonileta kwenu hapa ni kutaka kufahamu juu ya hili! Nimeshuhudia baadhi ya wanawake wakiwa wembamba na wakiwa na miili yao mizuri tu...
0 Reactions
42 Replies
11K Views
Wana JF, heri ya mwaka mpya Katika pita pita zangu kwenye vijarida nimeona hii kitu inayozungumzia uwezekano wa mafuta ya nazi ikichanganywa na bangi yana uwezo wa kupunguza kasi ya uvimbe wa...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Why do some young men have heart problems By: Hugh Wilson Fabrice Muamba is not the first footballer to collapse on the pitch, but why are fit young men at risk of heart conditions? At...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Here's An Updated Tally Of All The People Who Have Ever Died From A Marijuana Overdose Drug War, Drugs, Marijuana Overdose, Drug Overdose, Marijuana, Marijuana Deaths, Marijuana Deaths...
0 Reactions
1 Replies
860 Views
Poleni kwa majukumu, samhani sana wadau naomba tena msaada wenu japokua ni kwa faida ya wengi.kwa kawaida tunafahamu kwamba kuna mizunguko ya hedhi[MENSTRUATION CIRCLES] mingi kulingana na tezi za...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kumekua na hoja kwamba vidonge vya kuzuia au vidonge vya uzazi wa mpango vina madhara kwa afya ya mtumiaji,je hizi dawa za morning after pills nazo zina matatizo au ni zile za mda mrefu tu?naomba...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jaman naomba ushauri wenu,nimeongezeka uzito wa kg 15 kwa mwaka jana tu,december 2012 nilikua na kilo 78,december 2013 kilo 93,mim n mrefu,nasimama km fut 6,sijapanuka sana kuonyesha...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Asalam alayqum, wadau,pamoja na kuwa nilitoa kama hoja katika moja ya uzi hapa,nimeona ni vyema niliweke liwe swali la kujitegemea,hivi vipimo vya VVU(HIV) vinauwezo wa kubaini vvu vyenye muda...
0 Reactions
9 Replies
25K Views
Habari wadau, Kwa anayehitaji figo ya mwenye blood group O. Piga/ sms kwenye namba hii 0654 687403 ulizia Ruhoza. Simple, clear and short.
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Habari wana jamvi, takribani mwaka sasa nilikua nina shida ya kupunguza uzito wangu kwa kilo 6 kutoka 87 mpaka 81 na sasa nimefanikiwa baada ya kufuata shauri mbalimbali humu jamvini.... Swali...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarini wakuhuu wenzangu. Mwanangu ana mwaka 1 na miezi saba ila hataki kula chakula yeye ni kunyonya tu. Minyoo hamuna. Nifanyeje?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hello! Marafiki naombeni kusaidiwa kufahamu nini nicheck zaidi. Nilikwenda hospitali kucheck afya baada ya kuhisi hali ya muwasho kwenye njia yangu ya mkojo na asubuhi nilipokuwa nikiamka niliona...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
naomba kufahamishwa kuhusu madhara ya kupenda kula karanga mbichi mara kwa mara
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Heri ya mwakampya wapendwa! jaman nnatatizo la kuona mbal lkn sipendi kuvaa miwani ya kunisaidia, nfanyeje ili niweze kuona vema bila miwan? SIKUKUU NJEMA NYOTE
1 Reactions
13 Replies
2K Views
wale wataalam wa meno me nnashida moja tuu pindi nilvyokuwa na umri wa miaka 10 kwenda chini nilikuwa nasugua meno kwa whitedent nayalikua yang'aa meupeeeee mhh ila sasa hv meno yangu najitahid...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
zoezi LOLOTE AU CHAKULA CHA KUNIFANYA NIPATE UCHUNGU TAREHE ZA MAKADIRIO NI 28DECEMBA 2O13 HADI 4JANUARI 2O14 MSAADA WA KWELI ACHA MATUSI
0 Reactions
27 Replies
36K Views
habari wana jamvi.. mimi ni mdada wa miaka 23, nasumbuliwa na maumivu makali ya kiuno.. msaada kwa mtu anaejua dawa tafadhali
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Back
Top Bottom