Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

jamani kufanya mapenz kila siku kuna madhara yoyote
0 Reactions
1 Replies
1K Views
inasababishwa na nini?
0 Reactions
1 Replies
14K Views
Dokt, kwanza heri ya mwaka mpya. Kuna jamaa yangu wa karibu sana ana mke wake zaidi ya miaka 4 sasa, mwezi ulopita walienda clinic wakaambiwa kupima HIV matokeo yakaonesha wife ni anao na jamaa...
0 Reactions
2 Replies
903 Views
njia YOYOTE AU MAZOEZI YA KUWEZA KUPATA UCHUNGU MIMBA MIEZI 9 NA WEEK 3 NA MTOTO KAKAA KWA MAKALIO KICHWA JUU MAKALIO CHINI
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habar zenu wana jamvi natumain ushaur wenu utanisaidia,nina mimba ya wiki nane cha ajabu gafla nimeanza kuona chembe chembe za damu zkinitoka je iyo hali ni ya kawaida au ndio mimba inatoka csikii...
0 Reactions
27 Replies
8K Views
Nawasalimu wote! Nina rafiki yangu amejifungua mara tatu pre-mature na kila anapojifungua mtoto hufariki muda mfupi, kwa kweli inasikitisha sana na inauma kiasi ambacho hakiwezi elezeka. Hivi hii...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Doctars mimi nna matatizo mawili! 1.sipati ham ya kunywa maji yaani inafikia ha2a najilazimisha kunywa kama anae kunywa dawa!. 2.mgongo, kiuno vinaniuma kama vile mzee wa miaka 80 wakati umri...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ni mke wangu,anaumwa kichwa,tumbo na hilo tumbo linanguruma na kujaa kama gesi vile,anasikia kizunguzungu,na macho haoni vzr. Mimba ina miezi tisa sasa kwa maana amekadiriwa kujifungua 10 to 28...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Mambo 6 muhimu kwa binadamu huwezi kupata ushauri hu kwa Ma-Daktari ila utapata hapa Jamii Forums: 1) Binadamu anatakiwa apate mwanga wa jua unasaidia kupata Vitamin D muhimu kwa Binadamu kwa...
7 Reactions
16 Replies
17K Views
Habari zenu wadau! naomba kusaidiwa mahali ambako naweza kupata tiba ya asili ya HSV-2, huu ugonjwa unakera sana kutokana na vipele vidogo vinavyotokea kwenye uke au uume pindi ufanyapo mara kwa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
habari wakuu! me ni kijana mwenye umri wa miaka 21 nilikuwa nasoma shule ya seminary sasa nilikuwa na tabia ya kujichua kipindi nipo shule, baada ya kuacha hii tabia sasa naona pumbu zinakuwa...
0 Reactions
34 Replies
15K Views
Kila ninapokula chakula au kunywa maji ya moto au baridi meno yangu huhisi ganzi (hufaganza),kitu ambacho kinanifanya nishindwe hata kula au kunywa... Naomba msaada kwa yule anayejua dawa.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
ni muda gani baada ya kumaliza dozi ya dawa unaruhusiwa tena kutumia kilevi
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Salam kwa wote wana jukwaa pendwa la Dokta. Kumekuwepo na hadithi(simulizi) kuwa unapofunga Ndege aina ya Kanga huwa ni vigumu sana kumuweka kwenye mfano banda kama Kuku halafu kwa muda...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Wadau naombeni msaada kama kuna dawa za kizungu au kienyeji zinazotibu au kuondoa kipara katika kichwa. Na kama zipo madhara yake ni yapi kiafya,kiakili na kimuonekano? Nahitaji mwenye information...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wanajf mwenye kujua hivi nini kinasababisha mtoto kuzaliwa akiwa bubu? Nawasilisha.
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Nawaombeni msaada JF Doctors tafadhali, mdogo wangu wa kiume ana umri wa miaka 26 ana tatizo la kutoa harufu kwapani, nimejaribu kumnunulia ANTI RESPIRANT aina nyingi hazimsaidii, akiacha tu...
0 Reactions
3 Replies
10K Views
Kwa mwenye utaalamu tafadhali, nikistuka toka usingizina ucku nahic kukaukiwa sn ata mda mwingine inanibidi kutafuta maji ya barid sn ili kulainisha koo. kwa mwenye kujua sbb ya hii kitu
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Baada ya kutoka Chuoni anakosomea Alikuja siku mbili kabla ya krsimass vile nilikuwa nimemisi tulishinda tukiduu! Alivo ondoka tangu siku ya boxing day, nimeanza kuugua nahisi maumivu makali sana...
0 Reactions
47 Replies
12K Views
Ninatatizo ambalo kama wiki lina nisumbua yani tumbo linajaa gesi na linapandisha hadi presha mapigo ya moyo yanakwenda kasi kwa mda msaada
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom