Mie nikijana nina tatizo la mapele kichwani ukiyatumbua yanatoa usaha unfuatiwa na damu, yanapo kauka yanakuwa kama mapunye. Nimetumia dawa nyingi tofauti lakini sioni mafanikio. Nambeni msaada...
Habari wakuu.
Mimi na Mr tumekua tukiishi mbali kwa sababu ya kazi, wiki ilopita nimerudi likizo nikiwa kwny danger days. I mean siku ya 10 nimekaa siku 6 na zote tulifanya mapenzi.
Nikaanza...
Wadau,nahitaji kifaa cha kuchunguza magonjwa yote cha mkononi. Nikiwa kwenye gari nimemuona mama mmoja anaangalia katalogi ya vifaa vya tiba nikakiona nikiwa nachungulia kwa pembeni. Kwa wahusika...
Ndugu madaktari wa humu jamvini naomba mnisaidie nipate kuelewa kuwa ' Kwanini mtoto wa kiume anaruhusiwa kuanza kukalishwa chini akiwa na miezi 4 wakati yule wa kike ni miezi mitatu 3?' Sababu...
Wakuu wangu,siku 3 zilizopita nilipatwa na ajali ya kuumwa na nyoka au mdudu mguuni(jirani na kisigino) nilipokuwa nikitoka darasani kuelekea bwenini majira ya saa 7 usiku.Nasema nyoka au mdudu...
habari zenu,mwenzenu nasumbuliwa na maumivu kwenye ziwa langu la kulia yapata mwaka sasa, nimetibiwa kwenye hospital za kawaida bila mafanikio sasa nataka kwenda kupima kansa dar es salaam nami...
Jamani mwenzenu napata tabu, mwenzi wangu wa kike ana mbweche kubwa ajabu kiasi kwamba sipati raha afu anatoka vitu kama mapumbapumba hivi, kumwacha siwezi nifanyeje?
Habari za asubuhi ndugu zangu;
swali langu ni kama ujauzito umeheriika kipimo cha mkojo cha kupima ujauzito kinaweza kuonesha kwamba ujauzito haupo baada ya siku ngapi?
A survey of more than 1,000 men in India has concluded that condoms made according to international sizes are too large for a majority of Indian men.
The study found that more than half of the...
Salaam wana jf.
Napenda kujua kama kuna ukweli wowote kuhusu mdada kutoruhusiwa kutumia vidonge ama sindano za kuzuia kushika mimba (uzazi wa mpango) mpaka awe tayari ameshajifungua at least mara...
Habari wana jf, poleni kwa kazi kubwa ya ujezi wa taifa, nina rafiki yangu wakaribu sana (mwanamke) anatatizo la kuota ndoto mbaya, anaweza kuota kama sauti inamwita kwa jina lake nje tena hua...
Habari za sikukuu wanajamvi najua wote n wazima
Nina tatizo sugu la mba wa kichwani nimutumia mafuta na dawa mbalimbali lakini napata nafuu ya mda tu halafu tatizo linarejea msaada tafadhali kwa...
Kwanza napenda nitambue michango yenu mizuri wana JF ambaya kwa namna moja au nyingine imeokoa maisha ya watu au kuimarisha afya zetu.Leo nimekuja na tatizo moja ambalo mwanzoni nilidhani nihali...
mtoto wangu wa kiume ana umri wa mwaka 1 na miezi miwili anakojoa mkojo ambao anacha alama kwenye nguo hata ukifua na sabuni alama hizo hazitoki na muda mwingine anapenda kuchezea dudu yake...
Ndugu, habari?
Mimi ni kijana (22), tangu nimekua na akili na uwezo wa kujitambua nimekua nikisumbuliwa sana na mafua, yaani sijawahi kustay free from mafua. Je hili ni tatizo gan? Na linaweza...
Hi people. Naomba kuuliza hiv ni kweli kwamba wanawake wafupi ningum kujifungua kwanjia yakawaida? au sio kweli nakama ni kweli nitatizo gani linalosababisha hali iyo. KWENU WADAU
Mke wangu ana mtoto wa miezi 8,ni kwamba bado ananyonya,but imetokea tatizo mke wangu ana mimba changa, je kuendelea kumnyonyesha mtoto kuna madhara yoyote?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.