Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wakuu habarini,kwa sisi mabinti huu mstari chini ya kitovu(linea negra) nackia una maanisha kuwa mtu yupo fertile na ana uwezo wa kuzaa,Je kama mwanamke hana maana yake hatoweza kuzaa?au mstari...
2 Reactions
29 Replies
29K Views
Mwandishi atoa ushahidi kesi ya madaktari Na Waandishi wetu Mwandishi wa Habari wa Gazeti la Mtanzania Benjamin Msese ametoa ushahidi mahakamani na kudai kwamba Juni 27, mwaka jana, Dk...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Guyabano Health Benefits – It Cures Cancer? Guyabano/ soursop/ guayabano/ graviolla has the following health benefits according to Bureau of Plant Industry: Analyses of the fruit flesh...
1 Reactions
1 Replies
5K Views
Maana majibu yanayotoka kwa madoctor wa wf ni balaa kibaya kila doctor na jibu lake. Jamani hili jukwaa muhim sana tofauti na MMU.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Jamani naomba msaada wenu, mtoto wangu ana miaka miwili na miezi saba, katika siku za hivi karibuni kuna dalili naiona kama anapata kigugumizi wakati anaongea kitu ambacho hakikuwepo hapo kabla...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu hili linaninyima kila siku ya uchao kwa mungu. Naumia roho zaidi hasa ninapo waona wenzangu wenye navyo(VITAMBI) jinsi wanavyopendeza..hasa wakichomekea kidogo alafu wakimalizia na moka...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
HIVI ASALI HUSABABISHA UGONJWA WA KISUKARI?kwa wale wanaoelewa,wenye ufahamu,wenye uzoefu etc etc...majibu tafadhali
0 Reactions
2 Replies
914 Views
Wasalaam, Hivi majuzi nilikuwa nasikiliza mada iliyokuwa inatolewa na mtaaalamu mmoja wa saikolojia, alikuwa anazungumzia suala la Msongo (stress). Msikilizaji mmoja akauliza, tangu baba yake...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Salaam wadau, Wadau naomba kujuzwa, nini chanzo cha maumivu ya kiuno?? 1. Je ni symptom ya ugonjwa fulani mwilini? 2. Nini tiba yake? Please kwa yeyote mwenye kufaham hili jambo, naomba...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
ANAFAHAMIKA zaidi kwa jina la Mzee Small, lakini jina lake halisi ni Small Wangamba. Ana sifa nyingi, lakini iliyo kubwa ni ucheshi, uchangamfu, ukarimu na kila aina ya bashasha. Hata hivyo kwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
wakuu,jana kuna rafiki yangu ana mke wake,amekuja niuliza ki2,kuwa yeye ana mke wake wameona yapata miaka 2 sasa na hawaja bahatika kupata mtoto!ila tatizo kubwa alilo nalo shemeji yangu ni kuwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wanajamvini? Ni kweli kuwa mwanamke akinywa maji ya baridi baada ya tendo la ndoa siku ya hatari hatashika mimba? Asanteni
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari zenu binafsi wana JF Doctor.. Awali ya yote napenda kuwapongeza na kuwashukuru wale wote wanaotoa ushauri wa kitaalamu bila malipo Mwenyezi Mungu awabariki. Kuna tetesi kwamba mayai...
3 Reactions
31 Replies
33K Views
Ni miwezi mitatu sasa toka mke wangu apate ujauzito wa pili baada ya ule wa kwanza kuharibika na daktari kumwmbia kwamba ni tendo la ndoa ndo lililosababisha imekuwa ni shida kwangu kupata unyumba...
1 Reactions
39 Replies
7K Views
Matokeo mapya kabisa ya utafiti yaliyomo kwenye jarida la Clinical Oncology na kutangazwa LEO tarehe 21 Julai 2013, yanathibitisha uhusiano mkubwa uliopo kati ya kansa ya koo na virusi vya HPV 16...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
:help::help::help:JAMAN WADAU LEO NIMEAMUA KUOMBA MSAADA NAKOHOA DAM,TATIZO NINI,NIFANYE NINI JAMAN:help:
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Tupeane elimu kwawale wanaojua nasiokuponda.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
mimi sijawahi kufikishwa kileleni na mwanaume yeyoye tangu nizaliwe.nimeshakua na marafiki wa kiume na sasa nimeolewa ila sijawahi kufikia kilele.nafurahia foreplay na mengine yote ila ikifikia...
0 Reactions
25 Replies
8K Views
Kuna dhana inayoendelea katika jamii kuwa ukinywa maji ya madafu unaweza kupata ugonjwa wa MABUSHA. Dhana hiyo siyakweli kabisha. MBU aina ya CULEX na ANOPHELES ndiyo wanaoambukiza minyoo inayo...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Hakika ARGI+ ni TIBA imara ambayo imetengenezwa vyema kuhakikisha inaleta matokeo mazuri zaidi NA kwa ufasaha. imetengenezwa NA forever living products toka marekani. imeboreshwa vyema ili kuleta...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom