Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wana JF habari za Mchana! Mara nyingi nimekuuwa nikijiuliza ni kwa namna gani mtu anaweza ku-overcome hali ya hofu ya namna yoyote. Ninae jamaa yangu ambaye naona ana wakati mgumu najaribu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
naumwa kichwa mara kwa mara tatizo nini??
0 Reactions
11 Replies
12K Views
Hawakukosea wale waliosema kuwa mboga za majani na matunda ni kinga kwa afya yako. Matunda mengi yana manufaa lakini tango tunasema limetia fora. Kwanza linasifika kwa kuwa na vitamin zote...
4 Reactions
6 Replies
31K Views
Msaada please,mdogo wangu ana shida kwenye organ yake ya kiume, imecease kukua, ana miaka 24 sasa lakini nyeti zake ziko ka za mtoto wa miaka 6, kuna suluhisho katika hilo tatizo?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari! Kuna hali ya kutokwa na vitu vyeupevyeupe ukeni hasa ninapokaribia period au nimalizapo na ktk kpnd hichi nikikutana na mme wng naviona kweny uume...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
pata tiba, kinga NA ushauri juu ya afya yako. . epuka kutumia kemikali ambazo huweza kuunguza baadhi ya viungo mwilini NA hata kukusanya sumu mwilini NA kusababisha magonjwa MENGINE. 0713507487...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wataalam,ni njia tiba ipi mbadala itanisaidia maana nataka macho yangu yawe meupe,maana yana rangi la brown,ila sina tatizo lolote la macho,nataka tu yawe meupe wandugu,au kuna athari zozote za...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naibu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Seif Rashidi amesema idadi ya viziwi nchini itaongezeka hadi kufikia 24,080 mwaka 2016. Dk. Rashidi alitoa takwimu hizo wakati akifungua mkutano...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habar za kazi wadau naomba mnsaidie hvi tatizo ni nin na dawa yake kwa sababu n mwaka wa sita sasa yanapona then yanajirudi
1 Reactions
3 Replies
2K Views
enjoy your life.
0 Reactions
0 Replies
793 Views
Cancers nyingi zimekua zikisababishwa na BINADAMU wenyewe(do-it-yourself diseases).Tumekua tukiikuza kwa kuendelea kudumu katika sababu fulani za kimazingira. Vitu ambavyo tunakula,kunywa, mahal...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Stomach cramps that start suddenly after eating are pretty common. Let us understand the various causes behind this condition. A definitive diagnosis of stomach problems after eating is very...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Katika jicho langu moja kuna mtoto wa jicho kuanzia fm2 mpaka sasa nimemaliza fm6 cha kushangaza huwa katoto hako kanapotea kwa mda flan,nikienda hospital kwa upasuaj sometime hawakaon,WENYE UJUZ...
0 Reactions
0 Replies
855 Views
kwa wale wanaotaka kurefusha uume bila kutumia madawa ya kemikali watumie njia zp? ili kurejesha heshima ya ndoa? Msaada plz
0 Reactions
2 Replies
1K Views
We go to herbs to boost our fertility, so why not rely on them throughout pregnancy? I know there’s a lot of caution out there about taking anything while you’re pregnant—from herbs to food to...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
jamani wana JF HEADLIM POWDER ni dawa ya miti shamba iliyopimwa na mkemia mkuu na kufanyiwa tafiti na wizara ya afya kwa matamtizo ya H.I.V, matatizo ya moyo,kansa ya utumbo,maradhi ya ngoz...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wana jf natumai mko poa. Naomba kulifahamu hili kwa mwenye kufahamu. Bila shaka wanaume nao wanatumia njia za uzazi wa mpango sasa inakaaje hapa kwa wao hawana madhara yozoteyawapayo
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ninge penda kufafamu juu ya kansa ya ubongo,causes na how is it treated.
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Naitajikua Jamani Msaada Wenu Plz.
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…