Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Amemaliza ku-bleed kam wiki imepita. Katika kujicheki chini huko leo ameona kama vijipandevipande vya damu vimemtoka huko kunako. Ila ni kidogo sio ile saaana. Wadada kwa wakaka hem naombeni...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Shirika la Afya Duniani, WHO, linasema inaelekea sana kuwa aina mpya ya virusi vinavouwa, vya coronavirus, vinaweza kuambukizwa baina ya watu walio karibu sana. Virusi hivyo ni sawa na vile vya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Naomba anayeweza kuniambia kama ni ugonjwa au ni hali tuu ya kawaida inayoweza kumtokea mtu.. kisa chenyewe ni hivi kuna msichana nilikuwa na mahusiano nae kwa takribani miezi 10 hivi akaja...
0 Reactions
0 Replies
897 Views
Mimi nina tatizo la kuwa na uume mdogo kiasi kwamba mke wangu ameanza kutoka nje kisa simridhish,jaman msaada tu ndo utanusuru hii ndoa nile kitu gani au ni dawa gan nikiipata itanisaidia...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
halooo.. wapendwa naomba msaada wa kujua hili,ni9na shemeji yangu ambae alikuwa na ujauzito,na baada ya kufikisha miezi miwili ujauzito ule ume haribika tatizo hili lina sababishwa na nini? msaada...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wanajamvia,naombeni msaada wa vitu vya kutumia ili kuongeza wingi na kuimarisha mbegu za kiume.Wenye uzoefu na ujuzi tujulisheni tafadhali.
1 Reactions
4 Replies
6K Views
jaman Nina tatizo la Kutokupata choo zaidi ya siku tatu hadi nne..na nikipata huwa napata maumivu makali sana.. je tatizo ni nini??? nisaidieni
0 Reactions
1 Replies
900 Views
Researchers at Johns Hopkins University, Maryland, who studied 100 men and women newly diagnosed with oropharyngeal cancer and 200 healthy people have confirmed that oral sex can cause...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
KWA UFUPI Kuepuka hasira Kupata usingizi wa kutosha Kupata muda wa kutafakari mambo yako katika mazingira ya utulivu Kufanya mambo kwa mpangilio Wiki iliyopita niliahidi nitaendelea kujibu...
4 Reactions
10 Replies
3K Views
Mguu unaniuma hadi nachechemea nimeenda hospitali wananipa dawa napata nafuu but siponi nimepiga x ray hakuna kitu sina kisukari wala chochote but mguu unauma kwenye unyayo na vidole.. any help?
1 Reactions
34 Replies
3K Views
Mzee wangu tangu akiwa mtoto aligundulika kuwa na moyo mkubwa na upo upande wa kulia, Tatizo hili limesababisha awe mgonjwa wa Pressure mara kwa mara. Miguu pia inamsumbua kwa nyakati fulani, Kwa...
0 Reactions
4 Replies
11K Views
Mbu aenezae Malaria. KWA UFUPI Moja ya tahadhari ambayo wanasayansi hao wanaichukua, taarifa hiyo inasema ni kuzuia kimelea wa malaria kujijengea usugu dhidi ya bakteria, Wolbachia.. Dar es...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Sidhani kama hii mada ishawai letwa hapa..ila kuna wakenya flani wapo mjini dar saizi wameshaanza kwenda na mikoani wanajifanya wao ni madokta bingwa wanakimashine chao actually ni laptop.ukipima...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
huwa nakutana na matangazo ya hiki kifaa handsome up cha kurefusha uume (maumbile ya mwanaume) hivi ni kweli? Je kunamtu ambaye ashatumia hiki kifaa? Naomba kuwakilisha...
1 Reactions
11 Replies
11K Views
Dear Board Members. Drinking fluids, particularly, water, during exercise reduces cardiovascular stress and improves performance. After a strenuous workout, you have to replace the fluids you...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanajamvi salaaam kwenu. Nimekuwa katika wakati mgumu wa kujua kiwango cha damu mwilini je normal ni ngapi kwa mwanaume? Maana nilishakwenda hospitali moja ya binafsi baada ya kupima kiwango cha...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Ukosefu wa mbegu za kiume/zero sperm count/azoospermia unaotokana na uwiano usio sahihi wa vichocheo hasa ule unaosababishwa na kiwango kikubwa cha kichocheo cha FSH kuliko kile cha LH na...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
tafadhal jaman nahitaji no ya. Dr isaack ndodi
0 Reactions
0 Replies
635 Views
Habari kwa wote na pia poleni kwa kazi za ujenzi wa taifa... Kuna jirani yangu ni wiki ya pili sasa anapata taabu ya kusumbuliwa na tatizo la kutapika..Ilianza kama Malaria na akapewa na mseto...
0 Reactions
6 Replies
16K Views
Habari zenu jaman! Ninaujauzito wa wk 38 na makadilio ni wk 40 je mpaka nifikishe makadilio au ni Muda wowote?pia nisogee karibu na ndugu watakaoniudumia au nisubiri wk ya 40. Nawasilisha jaman...
0 Reactions
19 Replies
77K Views
Back
Top Bottom