Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Unafaa kuzijua dalili uchungu wa kuzaa. Unafaa kujua pia chagui za kujifungua. Inafaa usikie umetosheka na chaguo lako. Katika sehemu ifuatayo utajifunza kuhushu uchungu wa...
6 Reactions
45 Replies
44K Views
Kuna kijiupele hiki kimenitokea upande wa chini ya mdomo, kinaniuma sana nini dawa yake jamani? Huwa sio mara ya kwanza kinakuja hlf baada ya muda kinapotea na kurudi tena. Nipeni tiba wadau.
0 Reactions
61 Replies
9K Views
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Naombeni msaada nataka kupunguza mwili lakini si kwa njia ya mazoezi yaaaoi kwa njia mbadala tofauti na kufanya mazoezi
0 Reactions
2 Replies
8K Views
Kwa muda sasa nimekuwa nasumbuliwa na miguu kuniuma, sehemu za katikati ya unyayo. Huuma kama vile kuna kitu chenye ncha kali kinanichoma. Napata shida hasa niamkapo asubuhi au nikiwa nimekaa kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
hili tatizo limeanza baada ya kunyoa nywele ktk sehemu za siri!nilitumia gillate mpya,but napata muwasho sana mpaka nakosa raha!nashindwa kuelewa hili tatizo limetokana na nini? Naomba ushauri...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
hi wanajf,,,, jamani naombeni msaada wenu. ninatokwa na vitu kama shatashata ukeni lakini havinuki wala nini nikikaribia period vinakua vizito i mean maji maji mazito please help
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tumbo kuuma bila ya kuharisha..je nini tatizo..?
0 Reactions
4 Replies
880 Views
Muundo ya moyo na mishipa ya damu ni mojawapo ya vinavyooathirika katika magonjwa ya moyo ya kuzaliwa nayo. Vijusi(fetuses) kati ya 8 hadi 10 huathirika kwa kila 1000. Magonjwa ya moyo ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Msaada wakuu mama yangu anasumbuliwa sana na pressure na anatumia dawa za Nifedipine kwa muda sasa,ila bado kuna wakati inapanda.Naomba kujua kama kuna dawa anaweza kutumia na ugonjwa huu ukaisha.
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Mini ni mwanaume, miaka 26, naishi Dar. Nilikuwa na mdada mmoja ivi kimapenzi. Tulidumu kama miezi 6 ivi kwenye mahusiano yetu, na tulikuwa tunasex karibia kila siku. Kwa kweli kitandani...
0 Reactions
38 Replies
10K Views
madaktari naombeni jibu. :A S 20:
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hi all! Nina tatizo la usingizi. Kila ikifika saa 4:00 usiku ni lazima nipatwe na usingizi mzito kiasi kwamba wakati mwingine hushindwa hata kuosha kinywa changu kabla ya kulala! Na jinsi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hivi ulishawahi kusikia mnyama akigua au kufa kwa ugonjwa wa moyo kama pressure? Ninaposema mnyama nina maana asiye binadamu lakini ana moyo kama vile mbwa, ng'ombe, sokwe. Sasa kama wanyama...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
habari zenu wana jf doctor,za siku nyingi?hope wazima wote samahani nimesikia kua mafuta ya ubuyu yanapunguza unene ni kweli? Mana kwa jinsi nilivo yaona yapo kama korie hata harufu pia, na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari hawa jf naomben mnisaidie hapo.mm.nkiwa kwenye siku zangu naumwa sana natumbo nakosa raha na nachelewa kupata siku zangu na miaka miwil sijabahatika mtoto tatzo langu ni mayai hayapevuki...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Source: Gazeti la Mwananchi Alhamisi,Januari10 2013 saa 12:13 PM HALI ya maisha pamoja na mazingira husika yanayomzunguka binadamu imeelezwa kuwa ni chanzo cha kushuka kwa nguvu za kiume...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
JF Doctor,nina maumivu ndani ya kifua upande wa kushoto chini kidogo ya ziwa. Tatizo laweza kuwa nn?
0 Reactions
2 Replies
5K Views
.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
am a lady, naombeni mnisaidie nimetokea madoa doa miguuni na mba za ngozi juu ya titi,naombeni sana msaada yaani sina raha, kila nachotumia hola, naamini ntapata ushauri wa kitaalam zaidi, asanteniiii
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…