Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Ni swali ambalo wengi hawapendi kujiuliza
0 Reactions
0 Replies
845 Views
Nasikia kuna baadhi ya watoto huzaliwa wakiwa na meno, ndevu, makunyanzi usoni, mvi etc. Je ni nini hupelekea hali hii? MAAJABU yametokea kwa msichana mkazi wa kijiji cha Mpasa mwambao mwa Ziwa...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Habari zenu jameni, Naomba kuuliza , hivi kuna ugonjwa wa ngozi ambao mtoto anaweza kupata ukamfanya anaamka asubuhi sehemu za nywele kichwani zimenyonyoka? Nakumbuka enzi za utoto nikienda...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari wana jf Nina ndugu yangu ana miaka 41 mwanaume, kwa bahati mbaya FIGO zake zote zimefeli. Tunaomba kwa anayeweza kumsaidia figo 1 afanye hivyo nasi tutamzawadia mtu huyo milioni 40...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Habarini wakuu!!! Nasumbuliwa na maradhi nisiyoyaelewa, tangu juzi usiku nasikia maumivu makali sehemu zangu zote za siri ila ni maeneo ya nyama ya nje na sehemu inakopita chupi kiasi cha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
please kwa yeyote anayefahamu macafem suppliments inapatikana wapi anijulishe.
0 Reactions
1 Replies
911 Views
Habiri zenu Doctorz? Naombeni kujuzwa juu ya utata unaonitawala ktk ulaji wa vyakula vilivyopikwa kwa electronic equipments i.e Microwaves, RiceCooker, Kettle etc. Je, kwa upande wa afya, kweli...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Mi Ni kjana miaka 25, kila mara baada ya mwezi, niendapo haja ndogo huwa nahc kama nina kichocho kwani mkojo huuma sana na najisikia vibaya mara tu baada ya kumalza kukojoa, nmekwenda maabara...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Heshima mbele waungwana, kwa muda sasa ndugu yangu amekuwa na tatizo la kupata ganzi mwili mzima. ganzi hiyo huanzia miguuni kwenye nyayo na kupanda taratibu kwa siku kadhaa sasa imefika hadi...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Green Tea Shown to Protect against Digestive Cancer Green tea may offer the solution (or at least part of a solution) in the prevention of digestive cancers, according to another study out of...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
KWA UFUPI Hata hivyo, wataalamu wa afya kutoka Afrika Kusini wamekuja na dawa maalumu, zilizo na uwezo wa kurudisha kumbukumbu, kuongeza upeo darasani, kuondoa sumu mwilini na kumfanya mzee...
4 Reactions
22 Replies
16K Views
Chemicals Banned in Europe Still Make their Way into US Foods Have you ever tasted a soft drink so good you thought it should be illegal? In some parts of the world, ingredients used in...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu nina kivimbe kwa zaidi ya miaka nane sasa sehemu niliyotaja hapo juu.. Hivi karibuni kimeanza kuuma na sijaenda hospitalini. Je kivimbe hicho kinaweza kuwa kimesabishwa na nini? Naombeni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwanini mistari inayotokea mwilini hasa kwenye mapaja na makalio huwa inawasha,na ukikuna inavimba? Njia m'badala za kuondokana na hili ni zipi?
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Mwenzenu naomba mnisaidie dawa au jinsi ya kutibu halufu mbaya mdomon,nina mdogo wangu anasumbuliwa sana hilo tatizo kiasi kwamba hata wenzanke wanamnyanyapaa.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu madaktari wa Jf,nina ndugu yangu mwaka jana mwezi wa nne alipatwa na matatizo ya akili,na kuanza kuongea maneno yasiyo eleweka,kudai anasikia sauti za aina mbalimbali ambazo wengine...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari ndugu, Wife wangu anatatizo la kupenda kulala lala anadai anachokachoka. anaweza lala saa 2 usiku na akaamka saa 1 then saa 4 mpaka saa 6 mchana. akila lunch tena analala hata 30minutes...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Na hii nayo ni ya Kichina!!! Virutubisho hivi ni vizuri kwa wale wanaokwenda katika mitihani au wanataka kufanya kazi inayohitaji umakini wa hali ya juu Nisikuchoshe kwa mlolongo wa maneno...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wazima jamani? Kutokana na kazi yangu natumia muda mwingi nkiwa kwenye computer, nimeongezeka uzito kwa kiasi kikubwa. naombeni diet itakayonisaidia kupunguza uzito kwa muda mfupi. Natanguliza...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…