Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Nina mtoto mchanga ila maziwa yamekata ghafla na yanayotoka ni mepesi sana mtoto hashibi,nifanyeje yaongezeke uzito na wingi
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Mke wangu kajifungua baada ya mda mfupi mtoto akawa amefariki uzao wa kwanza,kwa sasa yuko nyumbani anaendelea vyema,napenda kujua natakiwa kukaa kwa mda gani kama hatujaanza kukutana tena kimwili...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
The beautiful little girl you see before you is named Mykayla. Eating Cannabis Oil saved her life when she was diagnosed with Acute Lymphoblastic Leukemia. Cannabis has saved her life, and...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
HABARI ZA KAZI WANATAALUMA WA AFYA? NIMEKUJA KATIKA HILI JUKWAA MUHIMU KWA SHIDA NAOMBA MSAADA TAFADHALINI. NDUGU YANGU AMELETEWA TUHUMA KAMA AMEMPA MIMBA BINTI WA WATU NA YEYE KAKATAA NA...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Gazeti la Mwananchi la leo limeripoti kugunduliwa kwa chanjo ya UKIMWI nchini likielezea tafiti zilizofanywa na hospitali ya Mhimbili tangu mwaka 2007 hadi 2012, zikihusisha askari polisi na...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Nilikua nacheza mpira kawaida tu ila sikumoja nilichezewa vibaya namguu wangu ukateguka.Nilivyoenda hospitalini nilipewa dawa naclip yangufunga daktari akidai utajirudia katika hali yakawaida ila...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana JAMVi Imekuwa kama fashion siku hizi watu kuacha kunywa chai ya sukali na badala yake kutumia zaidi asali kama mbadala. Wengine wanadai kwamba hii inasaidia kumkinga mtumiaji na kupata...
0 Reactions
4 Replies
14K Views
KWA UFUPI DAWA bandia zinazodaiwa kutibu ugonjwa wa kifua kikuu (TB), zinahofiwa kuingia nchini, ambapo zinadaiwa kutumika kwa kipindi cha zaidi ya miaka miwili tangu mwaka 2011. DAWA bandia...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
anaeijua dawa ya mba msaada pls
0 Reactions
3 Replies
17K Views
jaman wap ntapata determine HIV test??? Navihitaji sana.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana jf popote mlipo heshima kwenu. Nawapongeza kwa mawazo na michango yenu kila panapohtajika ushauri. Kuna rafiki yangu ambaye mkewake kajifungua miezi mi4 iliyopita na kwa bahati mbaya...
0 Reactions
17 Replies
8K Views
Coronary hWhat is heart disease? Coronary heart disease (CHD) is one of the commonest diseases to affect the heart. It's usually caused by atherosclerosis, a build up of fatty materials within...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
ujauzito umenibadili si tu maumbile ya mwili bali na hisia mwanzoni sikuwa na wivu kiasi hichi kwa mume wangu lakini tangu nipata ujauzito nimekuwa na wivu sana na nampenda sana mume wangu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
naanza kupata wasiwasi wa kuwa kibogoyo kijana .....ni katika kipindi cha miezi sita tu ni meng'oa meno manne magego.. naomba munisaidie nifanyeje naona nimeshayafikia ya sebuleni sasa....meno...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimebahatika kupata mtoto wa kiume wa siku 10 kitovu kimekatika lakini hakikauki naomba ushauri wenu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Thread Deleted
0 Reactions
17 Replies
51K Views
Wapendwa hebu nisaidieni juu ya hili... Binti yangu wa kazi mwenyeji wa Sehemu za Ngara kila nikienda likizo na yeye nampa likizo... jmos karudi toka kwao akiwa mnyonge na amepungua sana ,nikaomba...
6 Reactions
40 Replies
17K Views
Jaman naomben mnisaidie dawa ya kifua ni ipi kwasababu kifua kinanisumbua na pia nakohoa sana
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna hii kahawa ya kupunguza unene (Slimming coffee) inayotoka Brazil. Inatumia jina la kibiashara la Green Coffee. Taarifa za kuaminika zinaonyesha kuwa kahawa hii ina dawa aina ya sibrutamine...
1 Reactions
2 Replies
7K Views
utafiti wangu wa muda mrefu kwenye hospitali za umma umebaini yafuatayo:- 1) Huduma ni mbaya sana na pia wagonjwa wengi hawapewi matibabu yanayokidhi khali zao. 2) Pamoja na baadhi ya madawa...
22 Reactions
38 Replies
5K Views
Back
Top Bottom