Habari zenu wana Michezo.Mimi siyo mchambuzi wa mpira ila ni mpenzi mtazamaji tu.
Leo Simba kabanwa mbavu,bahasha haijasaidia,Mmadrid nae kachemka.Tulikubaliana na GENTAMYCINE kwamb Pablo...
Mimi ni shabiki wa Yanga ila sipendezwi na Haya Maneno ya Hawa Wachambuzi Wanahakati.
Hii ni dharau kubwa kwa wachezaji wetu wa Ndani. Haya maneno ya huyu Mchambuzi yanawajengea Over Confidence...
Uyu kocha naona ana hasira za haraka sana, awe makini zisije zikamgharimu pale zitakapokwenda mpaka kwa wachezaji, ajue hii ni ligi kuu na sio kombe la mapinduzi hili kila timu inajituma kwasababu...
Club ya Simba karibuni imekua ikijikongoja katika upigaji wq penalt yaani simba ikipata tuta basi ujue mashabiki wanabana kende badala ya kushangilia kwani hawana uhakika na matokeo.
Wachezaji...
Leo GENTAMYCINE nipo Kimpira ( Kimchezo ) zaidi na nimeweka Ushabiki wangu wa Simba SC pembeni. Nitakaowakwaza ( hasa wana Simba SC wenzangu mtanisamehe kwa huu Ukweli wangu kwani sijazoea Unafiki...
Tiketi za Michezo ya Olimpiki ya Msimu wa Baridi 'Winter Olympics' itakayoanza Februari 4, 2022 huko Beijing Nchini China zitatolewa kwa makundi kadhaa ya watu na hazitauzwa kwa Umma.
Kutokana na...
.
A- Kocha wa Mbeya City amemzidi Akili Kocha wa Simba Sc?
.
B- Siku mbaya Kazini kwa mnyama?
.
C- Mbeya City waliutaka mchezo zaidi ya Simba Sc?
.
D- Hangover ya Ubingwa wa Mapinduzi Cup?
.
E- Au...
NBC Premier League leo ljumaa. Saa 10:00 jioni KMC watakuwa uwanja wa Ali Hassan Mwinyi Tabora kuwaalika machampion watetezi Simba SC.
Simba Leo Wahitaji kushinda huu Mchezo kwa Hali na Mali...
Yanga ndiye bingwa wa kihistoria wa ligi kuu Tanzania bara NBC Premier League amechukuwa ubingwa huo mara 27 katika makala hii niitajibu maswali yote yanayohojiwa hapa jukwaani kuhusu rekodi hizo...
KOCHA WA MAKIPA WA SIMBA[emoji881] MBIONI KUJIUNGA NA YANGA SC[emoji617]
Taarifa za ndani kabisa zinasema kuwa Yanga SC [emoji617] inakaribia kumnasa kocha wa zamani wa Simba[emoji881], Mbrazil...
Nimeona yanga kwenye mechi ya coastal union nimejiridhisha kwamba msimu huu wamepania kufanya jambo ktk kuupigania ubingwa waliopoteza misimu 3 iliyopita, kuna kauli nazisikia zikisema yanga...
Najua huko ( huku ) Mitaani sasa Gumzo ni Yanga SC 'Kanunua' kwa KMC FC na kwamba Kipa Farouq Shikalo na Beki Vicent Dante Chikupe ndiyo 'wamechomesha' kwa Kuchukua 'Mlungula' Yanga SC kwakuwa...
Mtangazaji wa Clouds FM Privaldinho ( Privadinyo ) muda mfupi akiripoti ( katika Kipindi cha Michezo cha Sports Extra cha Clouds FM ) kutokea Tanga ulipo Uwanja wa CCM Mkwakwani ambao Kesho...
Habari wanamichezo.
Kwa miaka ya hivi karibuni tangu kurejea kwa michuano hii ya F.A. Tanzania bara, nimeiona haina tija kwa soka la Tanzania bara sana imekaa kufaidisha kikundi cha watu...
Mahakama ya Shirikisho la Australia siku ya Jumapili Januari 16 ilikataa rufaa iliyoletwa na Bingwa wa Tennis duniani Novak Djokovic dhidi ya kufutwa kwa visa yake na kufukuzwa nchini.
Mahakama...
Nitakataa mpaka kesho ukiniambia mechi za ligi yetu ya mpira wa miguu ni mchezo sawa na mpira wa miguu wa wenzetu tunaowaona kwenye Tv zile game za akina Mbappe, Messi na Ronaldo, adhani ni...
Show za NPL zimesharudi na zinaendelea pale Tulipokuwa Tumeishia
Leo katika NBC Premier League Saa 10:00 jioni vinara Yanga SC watakuwa dimba la Mkwakwani kumenyana na Coastal Union. Yanga...