Ukiangalia kwa jinsi Simba ya sasa inavyocheza, mfalme wa zamani wa timu hiyo Chama ambaye atatambulishwa muda wowote kuanzia sasa, je ni nani atampisha Chama kwenye kikosi cha kwanza? Vipi nafasi...
Simba SC hebu waoneeni Huruma Yanga SC kwani kuna tetesi (Habari zisizo rasmi) kuwa Mchezaji Simon Msuva (aliyedhaniwa kurejea Tanzania kuichezea Yanga SC) atatua Simba SC na kwamba huenda...
Kuna maswali mengi sana watu wanajiuliza mimi nikiwemo mmoja wapo kurejea kwa Chama SSC ndani ya mda mfupi;
Je, Chama atakuwa bora kama kipindi kile?
Kwa nini amerejea ndani ya kipindi kifupi...
Kweli nimeamini Yanga akili zao zipo kwenye Nyuma Mwiko pekee yake. Jinsi wanavyotumia nguvu nyingi kupinga ujio wa Chama. Kwenye mitandao na vibanda umiza wamejazana mashabiki wa yanga...
Mwamuzi Nassir Salim wa Zanzibar aliyechezesha fainali ya Kombe la Mapinduzi kati ya Azam FC na Simba SC hakuwa na ufahamu kuhusu sheria ya mchezaji kurudisha mpira kwa golikipa wake. Mwamuzi huyu...
TETESI...! Inajulikana kuwa Simba walivutiwa sana na huduma ya huyu mchezaji mzambia kutoka katika club ya Zanaco, katika kipindi cha dirisha kubwa ila ikashindikana kutokana na idadi ya wachezaji...
Timu ya Simba ilitamba kwenye soka la bongo kwa takribani Miaka minne mfululizo, ikijengwa na wachezaji wenye uwezo Mkubwa na wenye historia ya soka la Afrika.
Baada ya Mo, kuanza kuisaidia Simba...
Mwamuzi Jan Sikazwe toka Zambia akichezesha mchezo Kati ya Tunisia na Mali, amemaliza mchezo dakika ya 85 lakini Tunisia wakalalamika na mchezo ukaendelea, ilipofika dakika ya 89 akamaliza mchezo...
Simba kwa sasa ni timu kubwa sana ukanda huu. Kikosi cha simba ni kipana. Kila namba ina watu wasiopungua wawili. Ninaanza kuleta kikosi na formation yake kulingana na uhitaji.
Tunaanza na...
Itifak imezingatiwa,
Hili Jambo mbona Kama limekufa kibudu ,mitandaoni sioni hamasa yenye makali kabisa , Simba ilivyo na nguvu mitandaoni inashindwa Nini kutumia nguvu ya ushawishi ili hili...
Kwa saves alizofanya Manula jana Mapinduzi cup hakuna kipa wakumfikia ligi kuu.
Tuache unafki jana Azam wakipiga mpira, wakiendelea hivyo hata NBC watafika mbali.
Kuna saves Manula kafanya jana...
Ivi kweli msuva analudi bongo au geresha tu madai yanaweza kumuondoa moroco ipi timu itakayo mfaa Kati ya izi mbili Simba angetufaa Sana kwenye mashindano ya kimataifa
Ile haki bin haki inayofanywa na waamuzi wa Zanzibar kwenye kombe la mapinduzi ndio inayokosekaana kwenye ligi ya Bara. Kama refa angetoka Bara Yanga na Simba zingepata matokeo mazuri sana dhidi...
Waamuzi wetu wamekuwa wakiacha michezo ya rafu za hatari na wachambuzi wetu wengi ni wa michonho wanaita "kugongana"
Kuna wachezaji kama Luis alikuwa mhangs wa rafu mbaya ila Mungu mkubwa...
Nchi ya Australia, kwa mara ya pili imesitisha kibali cha kuingia nchini humo cha mchezaji maarufu wa tenesi, Novak Djokovic, kutokana na utata kuhusu haki ya kuendelea kubaki nchini humo bila ya...