Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Sidhani kama Azam itabadilika tena kwasababu kila aina ya usajili wamefanya, siyo wachezaji au makocha wamesajili sana mara nyingi ila kitu ni kile kile. Timu nyingi kwenye ligi unaona mabadiliko...
2 Reactions
33 Replies
984 Views
Baada ya kuchezea vipigo mfululu, Man City leo yupo ugenini Anfield kucheza na vinara wa ligi Liverpool Mechi ya leo, Man City hatofungwa. Hesabu za kinyota zinaonyesha kabisa leo Liverpool sio...
3 Reactions
25 Replies
1K Views
Jumapili njema kwa kila mmoja wetu. Ndugu zangu Nina jambo naomba kuuliza ukitazama mechi za ulaya kuna wale watoto ambao wakati timu zinaingia uwanjani wanakuwa wameongoza wa wachezaji hadi...
2 Reactions
29 Replies
1K Views
I salute you kinsmen.. Huyu bwana mdogo mwanzo tulikuwa na matarajio naye makubwa sana Lakini siku zinavyozidi kwenda kibabage amegoma kuwa modern full back .. Yaani anacheza hovyo sana sana...
11 Reactions
87 Replies
2K Views
Kwa kawaida baada ya timu kupitia mafanikio makubwa mfululizo huwa kuna hali ya wachezaji kurelax na kucheza kwa mazoea wakiamini ubingwa unapatikana kirahisi, Ukiachana na suala la umri wa...
2 Reactions
7 Replies
543 Views
Mechi ilikuwa nzuri Wachezaji wa Yanga wameonyesha ukomavu na uvumilivu hadi nafasi za kufunga zikapatikana Wachezaji wetu hawana fitness nzuri sana. Nadhani labda uchovu kushinda ubingwa mara 3...
16 Reactions
49 Replies
2K Views
Mwanariadha wa kimaraifa Magdalena Crispin Shauri ameshinda medali ya DHAHABU 🥇 kwenye mbio za Shenzhen Marathon 2024 kwa muda wa saa mbili, dakika ishirini na tisa na sekunde thelathini (2:29:30)...
3 Reactions
9 Replies
354 Views
Kifurushi cha furaha ambacho tuliwaunga watani kimedumu Kwa wiki 3 na Leo kimekwisha Yanga tumemfunga Simba mara nne mfululizo na Bado tutaendelea kumfunga hadi ifike mara 20+ Watani ambao...
9 Reactions
66 Replies
1K Views
Sijaona kiwango chochote cha maana walichokionesha yanga. Uto wameshinda kwasababu namungo ndio timu mbovu kuliko zote ligi kuu. Yaani kwa kifupi kipofu kaona mwezi.
5 Reactions
30 Replies
1K Views
UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA WAFIKIA 11% Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Gerson Msigwa amesema anaridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa Uwanja wa Michezo wa Arusha...
3 Reactions
40 Replies
2K Views
Kuelekea mechina Namungo,kocha mpya wa Yanga akiongea na waandishi wa habari amedai hakujua kama Yanga ni timu kubwa kivile mpaka alipotua nchini,dunia hii ya mitandao anafeli wapi kuifuatiliatimu...
4 Reactions
27 Replies
2K Views
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane! Kabla ya yote nikubali ya kwamba Mimi ni shabiki na mkereketwa wa timu ya Yanga!,hivyo nitakachokiandika hapa kinaihusu timu ya Yanga! Tangu ligi ya NBC...
9 Reactions
62 Replies
2K Views
amini usiamini leo timu mbovu inafungwa tena ikibidi ishuke daraja kabisa msimu huu,we kolo we wacha kukenua meno yasiyopigwa mswaki wiki 6 nazungumzia Namungo ndo timu mbovu lazma ifungwe tena...
3 Reactions
5 Replies
316 Views
Game imeisha. Leo ni siku ya kuosha rungu. Namungo anapigwa na Dube atatabasamu. NAMUNGO LAZIMA AFUNGWE ATAKA ASITAKE. NIPO HAPA.
2 Reactions
13 Replies
304 Views
kama manvyojua mimi ni Yanga ndani ya jamii ya makolo; ndugu zangu wote ni kolo tupu. Yanga ilipofungwa na Azam, ndugu zangu walinizomea sana na kudhani kama vile wao ndio wameshinda. Nikawaambia...
0 Reactions
10 Replies
668 Views
Usipoifunga yanga utaifunga timu gani? Yanga(matunguli fc) Mechi : 2 Yanga 0 azam 1 Yanga 1 tabora utd 3 Points:0 Magoli ya kufunga:1 Magoli ya kufungwa:4 Msimao : no #2(hadi mwezi wa 3 watakuwa...
10 Reactions
37 Replies
1K Views
Defamation Haina uzito kwa tz tu kwakua watu wanachukulia poa, lakini kwa nchi za wengine ni bonge la case. sio kosa kuponda jezi za Simba, kosa ni kutaja jina la mtengenezaji na msambazaji...
10 Reactions
78 Replies
3K Views
Ule utovu wa nidhamu umeendelea kutamalaki kupelekea wachezaji waaandamizi Aziz Ki na Mwamnyeto kuchapana makonde mbele ya kocha mpya, inasemekana Mwamnyeto anamtuhumu Aziz Ki kupeleka majungu kwa...
29 Reactions
93 Replies
5K Views
Hili suala toka Azam waliweke wazi tunaona kilichotokea. Yanga waliona wamevuliwa nguo wakasusa na Uwanja wa Azam kwa hasira. lakini Si Viongozi wa Yanga wala wa TFF ambao wamewahi kulizungumzia...
3 Reactions
15 Replies
805 Views
Jina lake : Ally Shaban Kamwe Nafasi : Kitengo Afisa habari Yanga Mkoa aliozaliwa : Kilimanjaro Kabila : Mpare Umrefu : 5.1 Urefu wa ume wake : 4.7 Uzito : 59kg Kabila la Mama : Mchanga...
4 Reactions
34 Replies
2K Views
Back
Top Bottom