Nimeona David Molinga akihukumiwa kwa kosa la kuonyesha kidole chake kati
Kosa hilo hilo amelifanya Yannick Bangala game na Simba SC, sijajua ni utaratibu gani umetumika
Lakini Bangala...
Simba imemtangaza Pablo Franco (41) kuwa Kocha Mkuu mpya akichukua nafasi iliyoachwa na Didier Gomes Da Rosa
Kocha huyo alikuwa anainoa Al Quadsia ya Kuwait. Pia amewahi kuzinoa Fuenlabrada...
It's been reported that Brendan Rodgers has verbally agreed to become Manchester United's new manager.
He is said to want to wait until the end of the season but #MUFC are pushing for an...
Nilishawahi kusikia story kumuhusu mdau wa soka Dk Leaky kua alishawahi kubeti akawa anashinda pesa ndefu mpaka hayo makampuni ya kubeti yakamwajiri na kumzuia asibeti tena
Hivi ni kweli au ni...
Kocha ni kama mzazi na mlezi wa wachezaji wake, wachezaji wanamtegemea kocha na nahodha wao wanapokuwa viwanjani.
Haiwezekani makocha wakae kimyaa kabisa kwa waamuzi wasiofanya haki kwa wachezaji...
Ukizoea vya kunyonga...
Baada ya kusota kwa muda mrefu wakiwa Ligi daraja la kwanza hatimaye wakapanda Ligi kuu Tanzania bara maarufu kama NBC PREMIER LEAGUE (Ligi yetu kivyetu vyetu).
Misimu...
Kwa Utaalam niliousikia anao Kocha mpya wa Simba SC mwenye Viwango vya Kimataifa na vya Mbinguni Bwana Pablo kutoka nchini Hispania nimedokezwa kuwa kuna Kozi moja ataiendesha nchini Tanzania...
Litakuwa kosa kubwa la karne narudia tena kosa kubwa mnoooo Mookoena huyo wa south africa au kocha yoyote msouth affrica hafai kabisa nasikia Pitso Mosimane kampigia pande hapo, do not hire him...
Nakumbuka kabla msimu uliopita haujaanza nilibishana sana na mashabiki wa Man utd,chelsea na Arsenal!
Eti pale chelsea alikuwepo LamparAr Arsenal yupo Arteta na Man utd yupo OlNi Nikawaambia...
Habari wana JF leo naomba nizungumze kitu ambacho binafsi kinanikera sana na huwa sikielewagi
Kitu chenyewe ni kuhusu muitikio wa serikali katika kuzisapoti timu zetu za taifa hasa mpira wa miguu...
Soka la Tanzania linakuwa kwa kasi sana. Inabidi sasa mambo ya ndumba na kutegemea wagaga wakienyeji tuachane nayo.
Hii hapa ni website ya kocha wetu mpya wa Simba...
Sote tumeona aina ya Kocha ambaye ameajiriwa na Simba SC. Kocha ambaye amechukua nafasi ya Didier Gomes.
Tukiamua kutumia jicho la tatu la kiuchambuzi kila anakubariana na mimi kuwa Simba SC...
Pablo Franco Martín (born 11 June 1980) is a Spanish professional football manager, currently serving as the Head Coach at Simba sports club (Tanzania), which he joined on 6th November 2021...
Nimekuwa nikiona maoni mbalimbali kwa mashabiki wa Simba juu ya uwezo wa kocha wao mpya kuwa juu. Ili kocha yoyote aweze kufanikiwa pamoja na uwezo wake wa mbinu na ufundishaji ni lazima awe na...
Lile jamaaa kwa kweli Mungu alisamehe tu, limeweka mgomo bana linatafutaa angle mbaya ili liweze kutweet hapo roohoo inaliuma vibaya mnoooo
Kamtafute ZUZU MSUKULE mpeane ideas jinsi ya kureport...
Najua GSM imekuwa kwenye pilika za kumleta Chama Jangwani tangu kitambo. Tangu alipokuwa ukingoni mwa mkataba wake na Simba, kabla hajaongezewa mkataba mpya.
Na sasa kuna jitihada za kumrudisha...
Mechi 3 bao 0 yaani ufungi bao dakika 270 kwenye mpira haya ni maajabu kwa timu inayotetea ubingwa.
Wachezaji hawajitumi Wala hawana Hali kabisa ukiwatazama usoni.
Pamoja na kuuza wachezaji...
Wale wapenzi wa boxing unaweza kuangalia sasa pambano la Canelo vs Plant kupitia link hii Boxing : Canelo Alvare vs Caleb Plant - HesGoal.Com Sports News
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.