Kwa maoni yangu tu kwa muda mchache ninaongalia timu yetu pendwa ya simba sport club naona kabisa huyu kocha hamna kitu aisee tuleteeeni mtu km kishingo angalau. Ila huyu aibu zinakuja mbele...
Safari yao pamoja itaendelea kubaki kwa miaka mingi sana
MWAKA 2017, ndio klabu ya Simba iliingia mkataba wa miaka mitano na kampuni kubwa ya masuala ya michezo ya kubahatisha ya SportPesa...
Naona Ajibu anashangiliwa Sana. Yes. Hata sisi tulipokuwa wabovu Ajibu huyuhuyu ndio alikua Star wetu wa timu.
Huwezi kuwa na timu nzuri halafu Ajibu akawa Star, HAIWEZEKANI. Ukiona Ajibu...
FIRST ELEVEN YA USHINDI TUPU
1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Mohammed Hussein Zimbwe
4. Kennedy Wilson
5. Joash Onyango
6. Jonas Mkude Deco de Souza
7. Duncan Nyoni
8. Rally Bwalya
9...
Hii ndio Taarifa iliyotolewa na Club hiyo ya soka ya London , inasemekana amepewa mkataba mfupi wa mwaka mmoja na nusu , huku akiongezewa kitita cha paundi mil 100 kwa ajili ya kuboresha kikosi...
Klabu ya Villarreal imechukua Ubingwa wa Ligi ya Europa baada ya kuifunga Klabu ya Manchester United kwa penati 11-10
Timu hizo zilifungana goli 1-1 katika dakika 120 hatua iliyofanya mchezo...
kama kawaida ya watu weusi kujisahau akipata pesa ,,basi na mwenzetu ndugu Mendy wa Man city yamemkuta makuu baada ya kurekodi video akifanya ngono na kuisambaza.
sasa yuko jela kwa kosa la...
Ukiakaa ukiwasikiliza Utopwinyo wakielezea jinsi Juma shaban alivyo beki bora kutokea ligi ya congo au ukamsikia MSUKULE lopolopo linavyomuelezea kama una akili za kiutopwingo utawaamini.
Anyway...
Ni ajabu na kweli timu iliyokuwa inajinasibu kuwa na kikosi bora imebaki kutegemea mbeleko ya kadi nyekundu na penalty ili kupata matokeo,,,na licha ya kupata matokeo wanatoa machozi jasho na damu...
Ni boramechi ziwe hata ttu kamani lazima yaani game zianze saa 10 jioni iwepo ya saa 1 jioni na saa 3 usiku....kuliko hii ya kuwatesa watu na jua hili kali hasa hapa Dar...na kwa upande mwingine...
wakuu salaam,
Team yetu kwa sasa inacheza pira roho mkononi, pira linalotupa presha, hofu, mashaka na wasiwasi muda wote wa mchezo.
kama club tunapitia wakati mgumu sana ambao hatujauzoea siku...
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeiondoa timu ya Biashara United katika Mashindano ya Kombe la Shirikisho kwa kutofika uwanjani kwenye mechi dhidi ya Ahly Tripoli (Libya)
CAF imesema...
Wengine kwa Mpira wenu Mbovu na Matokeo mabaya sasa tumeshakonda na tukiona Soka zuri, la Kitabuni, linalovutia la Yanga SC na Ushindi wao mfululizo ndiyo Hasira zinatupanda na Machungu kutuzidia...
Mimi nishaweka sawa mkeka wangu mnyama Kama kawaida yake ataendelea alipoishia penalt ya 4 leo inapatikana ikishindikana kuna mtu anakula umeme tunashindaa bila jasho, ivyo vitu ndo mwokozi wetu...
Simba mpya haipati matokeo mazuri msimu huu.
Simba imesajili wageni wengi na kuwaacha wageni wengine kama francis kahata.
Je katika wachezaji wapya wa simba ni nani anamzidi kiwango Francis Kahata?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.