Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Manara nakuonya acha kuhujumu club ya yanga Africans Hii timu Ina historia kubwa katika mpira Hao waganga wako pamoja na wewe mtaenda pamoja Hii timu ni tunu ya Taifa ndio mwasisi wa Uhuru...
11 Reactions
39 Replies
2K Views
I salute you kinsmen. Tulisema tangu mwanzo uongozi wetu Yanga unalega lega sana , kabla hata ya kufungwa na Azam, kisha Tabora ,na sasa wasudan wale . Kuliikuwa na viashiria vingi tu uongozi...
3 Reactions
35 Replies
1K Views
Tukisema kuna wachezaji wanatakiwa wafyekelewe mbali watu mnakuja juu. Nacheki hapa Orlando anavomkimbiza CRB naona kwa hii kasi Yanga itakuja kututia aibu mbaya sana Pacome huyu ni mzee...
3 Reactions
14 Replies
618 Views
Hebu tuwe wakweli shida ya Yanga ipo wapi? Wachezaji hawana teamwork? Ina wachezaji ambao hawajui kusoma wapinzani? Wachezaji wamelewa sifa? Physicality ya wachezaji ni hafifu? Wameingia kwa...
1 Reactions
3 Replies
367 Views
Afisa habari wa klabu ya Yanga Ally Kamwe amesema: "Nataka niwaambie tu Yanga hii bado, Januari kutakuwa na ongezeko la mchezaji mwingine wa kigeni. Kwa hiyo haijakamilika, tunahitaji kuchukuwa...
8 Reactions
42 Replies
2K Views
Unataka kocha lazima ampange Dube acheze hata kama hayupo kwenye mpango wake. Hiyo ni sawa?
0 Reactions
3 Replies
426 Views
Tayari laana za Muargentina zimeanza kuwatafuna jamaa wa Jangwani. Kuchamba Sana mwisho utaondoka na kinyesi ndio Labda imekuwa hivyo?
2 Reactions
18 Replies
861 Views
Taarifa Rasmi ya Yanga kupitia msemaji wake. My Take Hivi huyu jamaa anawaonaje fans wa Yanga?
15 Reactions
48 Replies
2K Views
BREAKING NEWS: Simba SC watashiriki Kombe la Shirikisho Msimu ujao baada ya kushika nafasi ya tatu kwenye Msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Azam FC na Yanga SC watashiriki Klabu Bingwa Barani...
25 Reactions
90 Replies
5K Views
Hapo vip! Kwa mchezo na matokeo ya leo ya Yanga dhidi ya Ken Gold ni dhahiri ya kwamba yanga ni timu mbovu sana. Na leo imedhihirisha hizo timu Yanga alizocheza nazo za club bingwa CBE SA na...
2 Reactions
2 Replies
515 Views
Wana JF members Kuna siri gani inayofichwa mpaka kocha Gamond kufukuzwa kihuni na wahuni wa mjini. 1 .Je issues ni kuruhusu wachezaji kufanya mambo ya kijinga mpaka kulishwa visivyolishwa. 2. Je...
1 Reactions
5 Replies
576 Views
Yaani hapa bando linakaribia kukata wala sishtuki, napanga kuongeza lingine fuleshi tuu. Mechi ijayo mnacheza na nani? Mmesusaa hamtaki kunijibu? Hata msiponijibu najua mnaenda kudunguliwa tu...
5 Reactions
59 Replies
838 Views
Kikosi cha Yanga SC kitashuka uwanjani kupambana na CBE SA FC katika mechi ya mkondo wa kwanza wa raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League 2024/2025) leo, Jumamosi, Septemba...
0 Reactions
7 Replies
879 Views
Leo kuna mtanange wa kukata na shoka kwenye viunga vya Cairo..na hiki ndio kikosi cha Yanga kitakachoanza ====== Waarabu wa Misri Waibana Mbavu Yanga Kikosi cha Yanga jana kimeshindwa...
1 Reactions
229 Replies
26K Views
CAFCL Group A Preview! Get ready for a thrilling Group A, where all four teams have a genuine shot at advancing to the next round. Upsets are a real possibility, and even the favourites could...
15 Reactions
79 Replies
2K Views
Pole kwa maumvi wanayanga wenzangu mimi nachona tumfuke Ally Kamwe, Manara arudi kundini afu Eng.Haris abadilishiwe majukum arudi akasimamie makampuni ya GSM hapa tutakua tumeula Nb: Hii mbini ya...
0 Reactions
5 Replies
318 Views
Habari za mda huu Toka naanza kusikia siza zake na fist match namuona NIKAGUNDUA watanzania Huwa tunasifia mtu Kwa kufuata mkumbo bila kuangalia kiufundi Beki wa yanga BACCA Kila match...
1 Reactions
15 Replies
485 Views
Watanzania ni watu ajabu ajabu sana! Hatuna uvumilivu ,ni watu wa papara, majungu na fitina sana! Kufungwa mechi mbili tu unamfukuza Kocha! Manara naye mtu wa fitina na Unafiki sana! Kisa...
1 Reactions
0 Replies
180 Views
Klabu ya Simba imetangaza kuachana na CEO wake raia wa Rwanda bwana Regis Francos kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wao je sababu hizo zaweza kuwa ni zipi? mbona Simba inafanya vizuri katika...
3 Reactions
42 Replies
2K Views
Hawaamini Macho yao, Yaani hata fomesheni wanayocheza haieleweki. Noma kweli yaani!
6 Reactions
13 Replies
601 Views
Back
Top Bottom