Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kama nilivyoandika hapo. Leo tujiandae kuona kocha mpya akiaibika. Yanga kama hamtaki aibu fanyeni kumkodi kocha wa Azam FC na team yake awasaidie otherwise Ibenge na Al Hilal yake atawauwa...
18 Reactions
75 Replies
3K Views
Ubaya Ubwela kama unamgeukia Mnyama huko Lupaso Mechi haijaanza ila Wachezaji wa BRAVOS wakawa wanalazimisha kwenda kutingisha nyavu za lango la Simba, imebidi Stewards waingie pia kuwatoa maana...
1 Reactions
5 Replies
475 Views
Unakumbuka Ile mechi SIMBA anakufa 3-1 na RAJA Taifa, Ile anaroga kwa kupeleka basi kinyumenyume ilikuwa ni mechi ya kwanza group stage klabu bingwa licha ya kufa tati nyumbani Bado Simba alienda...
6 Reactions
20 Replies
833 Views
Yanga inashuka dimbani leo ligi ya mabingwa na Al Hilal ya Sudani ikiwa ni majeruhi ya sumu ya nyuki wa Tabora baada ya kupigwa kipigo kibaya kabisa cha bao 3 kwa moja. Kipigo hicho...
24 Reactions
67 Replies
2K Views
Kila kitu kimekuwa kibaya gafla mitaa ya jagwani na watu wengi wakiangaika kutafuta mbuzi wa kafara, mara kocha kawai kufutwa kazi mara simba wanacheza mechi zetu mara wachezaji awajitumi...
1 Reactions
1 Replies
234 Views
Nawashauri yanga mrudi mkaombe msamaha kwa mzee wenu ambaye mlimdhalilisha sana wakati akidai haki yake. Wengi hamkujua madhara yake lakini sasa hii mnayoiona ndiyo kurujuan Ubaya ubwela
2 Reactions
3 Replies
221 Views
Mchezo ulikuwa mzuri Mchezo umetuachia somo Huko mbele tunapoenda tucheze vipi Majeruhi ya Aucho, Mzizie na Boka yametugharimu sana Coach ni mzuri nadhani hajaijua timu vizuri anahitaji muda...
12 Reactions
99 Replies
2K Views
Mpaka sasanikitizama video za marudio ya mechi ya Yanga vs Al hilal nikiangalia jinsi ambavyo prince Dube alikuwa anaanguka peke yake bila kuguswa 😆 tena yupo kwenye position ya kufunga anaanguka...
5 Reactions
14 Replies
808 Views
Soma: Breaking News: TANZIA Dkt. Faustine Ndugulile aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni afariki Dunia
1 Reactions
1 Replies
247 Views
Wakati zikisalia saa chache kabla ya Yanga kushuka Uwanja wa Benjamin Mkapa kupambana na Al Hilal ya Sudan, kocha wa Waarabu hao Florent Ibenge amemvuta mjini kocha mmoja aliyewatibulia wenyeji...
4 Reactions
30 Replies
2K Views
Niliwahi kuonya habari ya madalali kwenye soka letu, nikaonya tabia ya kupenda vitu vya bei nafuu hatimaye naona Yanga wameingia kwenye mtego, wameenda kuchukua kocha wa bei nafuu, kocha wa...
0 Reactions
7 Replies
541 Views
Niliandika ile siku ya game ya Simba SC na Utopolo, Nilisema inawezekana Yanga ime drop au inawezekana Simba ime imemprove; Pia nilisema mwaka huu Yanga hatoboi hata group stage . Mean while ...
7 Reactions
16 Replies
623 Views
Nimekuwa nikiona mbumbumbu wengi na baadhi ya washirika wao wakipeana moyo na kuwaponda yanga kwamba kutokana na kufungwa mechi 2 basi Yanga wamepoteana na wataendelea kupoteza mechi nyingine...
4 Reactions
24 Replies
733 Views
Simba gave you a Mission and you' ve accomplished it with outstanding performance. Hamisa you deserve to be awarded. Jamani wenye mawasiliano na Aziz Ki naomba mtumieni hii ili ajue Tz kuna...
2 Reactions
1 Replies
238 Views
Tuwe tunahama viwanja hadi tutakapopata kinachotupa ushindi au sare. Nashauri tuhamie hata Iringa Mjini
2 Reactions
1 Replies
180 Views
Ali kamwe alisema wameaminishwa kuwa Dube alikuwa hafungi kwa kuwa alikuwa amefungwa kwa nguvu za giza na timu fulani ila mganga mpya waliyempata amewahakikishia leo(jana) rasmi ataanza kufunga na...
3 Reactions
11 Replies
494 Views
Hapo vip!! Za ndanii yanga kwa kumtumia Engineer na nafasi yake aliyokuwa nayo huko CAF nasikia anaenda kuhonga na kuomba wapangiwe timu mbovu na dhaifu. 1. Vital O wale ni wakimbizi hata uwanja...
9 Reactions
116 Replies
3K Views
Kura yako ni muhimi kuliko kelele zako uwanjani. Kura yako ni muhimu kukiko 3000 yako ya kiingilio Kurayako ni muhimu hata tukifungwa bado kuna mechi tano Kapige kura,mpira utaangaliabaada ya...
1 Reactions
0 Replies
244 Views
Simba SC 🏆🏆🏆🏆 NGOJA NIWAKUMBUSHE MISIMU MINNE MFULULIZO YA MABINGWA WA VPL SIMBA SC: 👉 2017/2018 Ponti: 62 Goli za kufunga: 62 Goli za kufungwa: 15 Mfungaji bora:Okwi ⚽ 20 Bingwa: SIMBA 👉...
7 Reactions
37 Replies
7K Views
Yule mdaka mishale kipa mahiri kabisa barani Africa,Djigui Diara amemwandikia wakala wake akitaka kumtafutia timu haraka dirisha hili dogo. Lakini wanasheria wake pamoja na wakala waliguna maana...
21 Reactions
75 Replies
4K Views
Back
Top Bottom