Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Hizo kanuni na Sheria mnazobishana zitaishia hapa hapa Jf na huko mtaani. Ukijua mpira wa Simba na Yanga unaendeshwa na siasa, fitna na uchawi huwezi kupoteza mda wako kujadili undezi kama huu...
5 Reactions
15 Replies
318 Views
Ukweli ni kwamba, kwa nchi ambayo viongozi wake wanawajibika ilitakiwa mpaka mchana wa leo viongozi wa TFF na bodi ya ligi wawe wamejiuzulu kwa kushindwa kutafuta suluhu ya sintofahamu ya jana...
3 Reactions
10 Replies
313 Views
Baada ya Makosa makubwa na uvunjifu mkubwa wa kikanuni uliofanywa na Bodi ya Ligi, Inashangaza kuona mpaka sasa ni Mjumbe mmoja tu ambaye ni Mjumbe wa kamati ya Usimamizi na Uendeshaji wa ligi kuu...
2 Reactions
10 Replies
221 Views
Hapo vip!! Ukitafakari na kuchambua kisheria hili dai la yanga yakwamba hawakupata taarifa..unaona wameamua kuingiza siasa kwenye mpira wetu. Hivi kati ya sheria au kanuni na taarifa ipi yenye...
5 Reactions
8 Replies
341 Views
Sioni namna Simba itakavyokubali tena kuendelea kunyanyaswa ili yanga wapate ubingwa. Yanga hawawezi kucheza mpira kihalali ni lazima watumie mbinu nyingi za hovyo kwa msaada wa vyombo vyote...
3 Reactions
39 Replies
989 Views
baada ya huu mkanganyiko nimeendelea kutafuta marejeo ya kisheria yanayohusu mpira wa soka duniani. bado sijaona kanuni hizi za bodi ya ligi yetu walizitohoa kutokea wapi. na matokeo yake bodi...
1 Reactions
12 Replies
579 Views
Ikiwa wanaruhusu kughairishwa kwa match na kuchukua pesa za viingilio kwa wale waliokata ticket na kutoweka njia yeyote ya kufidia, basi ni sahihi kuwaita matapeli tu. Na kudhihirisha ulaghai...
5 Reactions
26 Replies
359 Views
  • Redirect
Daah!! Jamani YANGA Wamewafata SIMBA Kwenye Uwanja Wao Wa Mazoezi "Bunju", Wanataka Wachezenao Mechi Huko Huko Kwao Baada ya Kukataa Kucheza Kwa MKAPA [emoji23][emoji119][emoji23][emoji2089] Huu...
3 Reactions
Replies
Views
Amini nawaambia hii issue isingekuwa simba/Yanga kuna timu ingekiona cha mtema kuni. Simba na yanga zinadekezwa na serikali na ndiyo jeuri yao kubwa TFF hawana meno. Kipindi kile game imesogezwa...
5 Reactions
7 Replies
323 Views
Uamuzi wa kamati ya uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB) kuahirisha mchezo namba 184 kati ya Young Africans (Yanga SC) na Simba SC uliokuwa uchezwe tarehe 08...
8 Reactions
25 Replies
990 Views
After several reviews of the last 2 matches, I came to the conclusion that Azam FC has the best squad in the Tanzania NBC Premier League.( team bora sana) I know people will say Yanga FC has the...
3 Reactions
52 Replies
2K Views
Tottenham Hotspur Football Club [ The Lilywhites ] , commonly referred to as Tottenham (/ˈtɒtənəm/) or Spurs, is a professional football club based in Tottenham, London, England. It competes in...
6 Reactions
54 Replies
5K Views
MAONI YANGU JUU YA KUAHIRISHWA KWA MECHI YA WATANI WA JADI KATI YA YANGA DHIDI YA SIMBA MAARUFU KAMA KARIAKOO DERBY YA TAR. 8/03/2025 Naanza kwa kuwasalimia wadau na wapenzi wa soka. Naomba...
3 Reactions
8 Replies
290 Views
Rwanda hawana tabia ya kuendekeza ujinga kama huuuu N KANCHI kadogo lakini hakajawahi kukoseankunfundisha adabu pale anapokosea Mpaka sasa nilitakiwa kuona MH WAZIRI WA MICHEZO akiwa amejiuuxulu...
1 Reactions
5 Replies
144 Views
Ni mambo ya kijinga na ya AIBU YANAENDELEA kwenye SOKA LETU Yaliyotokea Jana n jambo la AIBU SANA SANA kwa viongozi WA soka la Tanzania Haitoshi nawiwaa na wasiwasi na waziri HUSIKA kukaa kimya...
2 Reactions
15 Replies
281 Views
Kuna watu wanachukulia poa utaratibu na haki iliyopewa timu ngeni kufanya mazoezi katika uwanja utakaochezewa mechi siku moja kabla ya mechi. Wachezaji wanapokuwa wamefanya mazoezi katika uwanja...
2 Reactions
74 Replies
1K Views
Kuna mambo hayahitaji elimu ya juu kujua kwamba Kuna mambo ya ajabu ajabu yanafanyika kwenye mpira wetu. Hivi hata kama Meneja wa uwanja hana taarifa kutoka kwa kamishina wa mchezo kwa uzoefu wake...
11 Reactions
108 Replies
2K Views
Tasnia ya betting Tanzania imekua Sana kwa Sasa Kuna kampuni za kubeti mtandaoni zaidi ya 30. Hapa nitakuwekea list ya kampuni zote za betting . Tahadhari betting Ni mchezo wa kujifurahisha na sio...
6 Reactions
124 Replies
17K Views
Kampuni ya azam media natambua mchango wenu katika michezo, ila kuna watu wachache wana wahujumu ili kuwarudisha nyuma, kama ilivo tokea kwenye ngumi adi mkaa amua kujiondoa. Basi ushauri wangu...
9 Reactions
27 Replies
816 Views
Toeni tamko mapema, ili watu wajue Nini kinaendelea, watu wana ratiba zao za mambo yao ...kama mechi hamna utaarifuni umma mapema.
5 Reactions
82 Replies
2K Views
Back
Top Bottom