Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

"Kama kweli mmepeleka Basi lenu Bunju, basi hata wale Wahuni wa juzi Uwanjani kwa Mkapa mliwatuma nyie" Oscar Oscar. Huenda Oscar Oscar nae kausahu ule Uchambuzi kuwa Wapumbavu na Vibaka wengi...
4 Reactions
14 Replies
601 Views
Hapo vip!! Ninachokiona kwenye sarakasi yote ambayo yanga wanafanya ni sawa sawa na mwizi aliyeiba alafu yeye ndio anajidai kumtafuta mwizi. Hili jambo lipo wazi kabisa yakwamba kisababishi cha...
2 Reactions
13 Replies
281 Views
NImekua nikifuatilia maoni ya wadau wengi kuhusu sakata la kuahirishwa mechi kati ya Simba na Yanga mnano Tarehe 8.3.2025. Baada ya club ya Simba kuzuiwa kufanya mazoezi waliandika kwa Umma kuwa...
8 Reactions
160 Replies
4K Views
Anayejua kutengeneza mkeka wa buku ambao unaweza kunipatia million 10-30 Tshs. Naomba nisaidie namna ya kuupanga huo mkeka. mfano naweka timu ngapi? Ni wa kufungana au GG? Mimi sifahamu kabisa...
9 Reactions
28 Replies
797 Views
Haiwezekani Wewe 24/7 tu Utangazaji wako uwapo hapo Wasafi FM kwa Kushirikiana na Mpuuzi mwenzio Yusuph Mkule nyie Kazi yenu Kuu ni kutafuta tu negative angle ya Kuihusu Simba SC na Kuichafua...
9 Reactions
56 Replies
5K Views
Huu ndio ukweli ambao utamuweka kila mtanzania huru. Hakuna kiongozi yoyote wa Yanga aliyezuia Simba kuingia uwanjani. Simba walifika nje ya uwanja wakiwa na mabasi yao mawili moja lina wachezaji...
15 Reactions
53 Replies
2K Views
Ataka busara itumike, kanuni zikae kando kwanza Adhihirisha kuwa mabaunsa walitumwa na uongozi Tuendelee kuhifadhi post walizoweka mwanzo mwanzo, zitasaidia kujua kilichopangwa na kilichofanywa.
1 Reactions
26 Replies
720 Views
Mnatulaumu bure sisi Makomandoo wa Yanga. Hakukuwa na lojiki yeyote kuwaruhusu Simba waingie uwanjani wakafanye mazoezi gizani. Wao walikuwa hawajatoa taarifa kwa mamlaka ya uwanja ili uwanja...
3 Reactions
10 Replies
423 Views
Prince Dube ni straiker bora sikatai, ubora wake huo ndio uliwavutia mabosi wa YOUNG AFRICANS SC kumleta Jangwani, kongole kwa Eng. Hersi Saidi na mfadhiri GSM. Wanayanga walikuwa tuna matumaini...
9 Reactions
43 Replies
1K Views
Nimekutana na hii barua kutoka kwa Kaka yangu Cliford Ndimbo kuwa imevifungia viwanja vya Jamhuri, Kirumba, pamoja na Liti kwa kukosa vigezo vya ubora wa kuchezesha michezo ya ligi kuu. Ni...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Kilichotokea kipo kwenye mipango na wote wahusika wameshirikiana katika kutengeneza hili tukio, Simba na Yanga zinatumika na serikali katika kupumbaza watu, katika kupenyeza ajenda zao za kisiasa...
6 Reactions
45 Replies
847 Views
Alfajiri ya Ijumaa chap , kiongozi mkubwa wa SSC anapokea simu kutoka kwa moja ya chawa wake ndani ya Yangakwenye kamati ya ufundi kuwa kuna aina ya Vitimbi na takataka zimefukiwa pande zote...
12 Reactions
34 Replies
1K Views
MOVIE BADO NGUMU SANA SIMBA SIMBA hawezi kunyimwa point tatu Kwa sababu hakuenda uwanjani Kwa barua ya bodi ya ligi iliyoghairisha mechi. Endapo utampa Yanga point 3 Basi elewa Simba atakushtaki...
1 Reactions
22 Replies
438 Views
(1) Tanzania Football Federation. (2) Egyptian Football Association.
4 Reactions
45 Replies
1K Views
Wakuu, mbona naona kama kuna aibu kubwa inakuja kuchafua taswira ya Tanzania katika mashindano ya AFCON 2027?? Mtiririko wa matukio ya hivi karibuni ya kimichezo hususan soka pamoja na kukosa...
1 Reactions
20 Replies
337 Views
Huu ndio mtazamo wangu, na ili ukweli ujulikane, iundwe kamati ya uchunguzi na kamati hiyo iundwe na CAF au FIFA na wajumbe baadhi watoke nje ya nchi na ikiwezekana wajumbe wote watoke nje ya...
1 Reactions
2 Replies
181 Views
Kama mchezo unaweza kuahirishwa bila sababu ya msingi, na TPLB wakaona ni sawa, ni hatari kwa ligi yetu Kwahiyo timu isipokuwa tayari kucheza inajiamulia tuu kuahirisha mchezo kwa visingizo...
0 Reactions
2 Replies
99 Views
GENTAMYCINE narudia tena kusema kwa kujiamini kabisa kuwa TUMEFUKUZWA AVIC TOWN kutokana na Madeni kuzidi Ok?
0 Reactions
4 Replies
295 Views
  • Redirect
Salam wanamichezo. Tukio la kuahirishwa kwa dabi ya kariakoo halikutokea bahati mbaya ila ilikua "script" na "mamlaka"(sio mamlaka ya soka). Mechi itapangiwa tarehe nyingine itachezwa bila...
0 Reactions
Replies
Views
Baada ya kupoteza pambano lake dhidi ya Mzambia Mbachi Kaonga, Bondia Dullah mbabe alifanya mahojiano mafupi na vyombo vya habari. Mwandishi: Ulilionaje Pambano? Dullah: Lilikuwa gumu, siko...
63 Reactions
73 Replies
2K Views
Back
Top Bottom