Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Dullah Mbabe akasema alipiga ili watoto wapate ridhiki ya kula na shule japo ni mgonjwa na ana majeraha makubwa, hii ni kauli ya kishujaa Kwa mwanaume inauma kuona watoto wanakosa chakula na...
3 Reactions
16 Replies
318 Views
Kwani Yanga SC kama hamumtaki mnashindwa nini kumlipa tu Fedha zake ili arejee Kwao Kisangani akatunge Nyimbo?
1 Reactions
1 Replies
165 Views
Kama unajua jina na anapoishi. Huyu anakiri mwenyewe kuwa alishiriki kuwazuia Simba kuingia uwanjani:
1 Reactions
5 Replies
165 Views
MABAUNSA WA YANGA: TISHIO KWA USALAMA NA HADHI YA SOKA TANZANIA Ni jambo la kusikitisha kuona kwamba mabaunsa wa Yanga SC wanaonekana kuwa na mamlaka zaidi ya walinzi wa uwanja na hata Bodi ya...
0 Reactions
3 Replies
197 Views
Tetesi Zinasema Mechi kati ya vigogo hao itachezwa baada mapumziko ya mechi za kimataifa Na mgeni rasmi inasemekana atakua rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassani Tuone...
1 Reactions
22 Replies
709 Views
  • Redirect
Nimekutana na hii barua kutoka kwa Kaka yangu Cliford Ndimbo kuwa imevifungia viwanja vya Jamhuri, Kirumba, pamoja na Liti kwa kukosa vigezo vya ubora wa kuchezesha michezo ya ligi kuu. Ni...
1 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
FARHAN JR: YANGA WAMEIKKAMATA PABAYA TFF. . Ukitulia vyema kabisa ukisoma kwa utuo ile taarifa ya Yanga, kwenye msimamo pale haswa msimamo namba tatu (3) wanasema: “Kutokana na mfululizo wa...
0 Reactions
Replies
Views
Kumpa kijana huyu mikoba ya kufundisha Arsenal itakuwa kamari ya kijinga sana kuicheza na nachukua nafasi hii kupinga kabisa njama hizo . Arteta aliyezaliwa 26/3/1982 hana uzoefu wa maana wala...
19 Reactions
421 Replies
29K Views
Kitendo kilichotokea kuonyesha makomandoo wa yanga wana nguvu kuliko polisi,kiliashiria tishio la usalama kwa mechi hiyo kufanyika tarehe 8. Bodi ya ligi iliamua kuahirisha mechi baada ya kupata...
0 Reactions
15 Replies
445 Views
Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi Kuu Tanzania (TPLB) katika kikao chake cha leo Machi 8, 2025, ilipitia shauri la klabu ya Simba kuzuiliwa kuingia kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa kwa...
4 Reactions
424 Replies
13K Views
Yani saiv ukiwasikiliza Wana simba husikii Tena Ile Kauli ya Simba wamevunjiwa kanuni Kwa kuzuiliwa kufanya mazoezi ndio Maana hawajacheza. Simba saiv wanasema Match iliahirishwa na Bodi ya Ligi...
10 Reactions
56 Replies
2K Views
Besiktas' new logo 👏 Spot the difference 👇👇
3 Reactions
11 Replies
409 Views
RAIS WA TFF Wallece Karia ujitafakari...maana najua utakuja jujuuuu Kwa ukali ila ili kulinda heshema Yako ungekaa pembeni maana hautokuwa wa kwanza kujihudhuru...Mfano ni waziri mkuu wa Canada ...
2 Reactions
5 Replies
188 Views
Mimi si mpenzi wa Yanga au Simba, su timu yoyote nchini au nje ya nchi. Ila ilipofika jana jioni, usiku nikakutana na shabiki mmoja akilalamikia vikali kuahirishwa kwa mechi ya Yanga na Simba...
3 Reactions
16 Replies
455 Views
Kupitia video yao ya leo vijana hawa wametoa wito kwa watanzania kususia mechi zote za timu ya taifa maana TFF inawachezea akili. Akikazia zaidi, mchokonozi mmoja anayefahamika kama Joseph...
1 Reactions
12 Replies
355 Views
Kwa kipindi kirefu nimekuwa nikifuatilia soka la hapa bongo,ni kama lina kanuni zake tofauti na kanuni za FIFA. Imekuwa kitu cha kawaida na hata kwa waamuzi kudhani kwa kuwa ngozi nyeusi...
6 Reactions
24 Replies
928 Views
Rais Samia wewe ni Rais wetu sote. Mara ya kwanza ulitukwaza wanayanga ulivomaliza suala la Feitoto katika kutoa maagizo. Na ukijua maagizo yako kama Rais hakuna raia wa nchi hii anaweza...
7 Reactions
57 Replies
1K Views
Back
Top Bottom