Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Hii saga ya kuahirishwa kwa mechi ya Simba na Yanga ni noma sana, na inatia mashaka kinoma. Leo ni Siku ya Wanawake Duniani, na kwa bahati mbaya au kwa makusudi, mechi kubwa zaidi Tanzania...
4 Reactions
5 Replies
271 Views
Inamaana kwa Mkapa hakuna Uongozi, kanuni na taratibu? Ama kweli mapenzi yakizidi hugeuka kituko.
6 Reactions
6 Replies
321 Views
Meneja Habari Mawasiliano wa Klabu ya Yanga Ali Kamwe anasema timu itawasili uwanjani saa 11:00 jioni kujiandaa na mechi ya leo jioni. Itakumbukwa bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kupitia Kamati...
6 Reactions
38 Replies
1K Views
Kwa maana kanuni inasema timu mgeni ana haki ya kufanya mazoezi katika uwanja utakaochezewa mechi angalau SIKU MOJA kabla ya mechi. Sasa swali ni je simba walienda kufanya mazoezi siku moja kabla...
5 Reactions
75 Replies
2K Views
Watu wamelipia tiketi za mabasi kutoka mikoani wengine wakiwa na go -and -return ila siku imeharibika Kuna watu wamepika visheti na maudambu udambu kibao ambayo hayatakiwi kulala (usikute mtu...
1 Reactions
8 Replies
117 Views
Kanuni IPO wazi kabisa, wanaohusika watawajibishwa, HII YA KUSUSIA MCHEZO hapana sijaiona kwenye hizo kanuni Tuseme labda ni UOGA??, inawezekana na pia ni njia ya viongozi kujikingia kifua...
4 Reactions
13 Replies
405 Views
BREAKING: Mjumbe wa kamati ya Usimamizi na Uendeshaji wa ligi kuu Tanzania bara Ndugu Filimon Ntahilaja amejihudhuru nafasi yake muda mfupi uliopita na kutoka nje ya kikao baada ya maamuzi ya...
11 Reactions
35 Replies
1K Views
UBINGWA WA PREMIER LEAGUE 2023/24 UTATUA KWA ARSENAL AU MAN CITY? 1. Manchester City Pointi 88 GD 60 Mechi iliyosalia: Mei 19: West Ham Mara ya Mwisho kuwa Bingwa: 2023 2. Arsenal Pointi 86 GD...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Meneja wa Habari wa Simba SC, Ahmed Ally, amewasilisha ujumbe wa pole kwa mashabiki wa klabu hiyo kufuatia kuahirishwa kwa mechi yao leo. Kupitia taarifa yake, Ahmed Ally ameomba radhi kwa...
3 Reactions
13 Replies
864 Views
Kocha wa Yanga Moulid Hamdi anasema kuna hati hati kumtumia Stephane Aziz Ki katika Derby ya kesho kutokana na kuwa na maumivu ya nyonga. "Hii mimi sio dabi yangu ya kwanza kucheza nilishacheza...
6 Reactions
62 Replies
2K Views
Hii ni miongoni mwa lundo la hasara na Manung'uniko yaliyosababishwa na Ujinga wa Makomadoo wa Yanga waliovuruga Mechi ya Derby baada ya kutumwa na Viongozi wao waliochungulia Kipigo. Viongozi...
8 Reactions
35 Replies
1K Views
Ahlan bik Football ukipenda iite Soccer ni mchezo wa kiungwana sana unaozingatia sheria , kanuni na taratibu zilizowekwa na shirikisho la mpira duniani kwa maana ya FIFA na shirikisho la mpira...
11 Reactions
86 Replies
2K Views
Bodi ya ligi ilipaswa kutulia na kuyajadili malalamiko ya Simba kwa mujibu wa kanuni. Aidha ingethibitika kuna ukweli Yanga au mashabiki wake wamefanya ndivyo sivyo adhabu stahiki ingetolewa...
15 Reactions
66 Replies
2K Views
KARIAKOO DERBY | Leo Jumamosi kwa Mkapa kinapigwa, Yanga SC Vs Simba SC Saa 1:15 usiku | 🔴 LIVE updates hapa Je, Simba anakwenda kufungwa kwa mara ya 5 mfululizo na Yanga? Ama kukata uteja…!🫣🤯...
5 Reactions
146 Replies
5K Views
Mashabiki wa hizi timu 2 kwa madhila na dharau walizofanyiwa km wana akili kweli basi waache kuzishabikia kuna timu nyingi ligi kuu tuanzie na zile zilizo kwenye mikoa yetu wakipigwa na njaa...
1 Reactions
7 Replies
232 Views
  • Redirect
Please Moderator , Active Paw na wengine msifute wala kuunganisha huu uzi. Kimsingi wana jangwani jana tulikwazika kwa kukimbiwa na baby wetu wakati tulishapaka mkongo. Wacha tuenjoy na...
0 Reactions
Replies
Views
Habari za ndani zinaeleza, Uongozi wa club ya Young africans imeketi na kuamua kuipeleka TFF katika mahakama za juu za FIFA kufuatia shirikisho hilo kuufuta mchezo namba 148 wa Ligi kuu bila...
16 Reactions
84 Replies
3K Views
Hii imekaaje wakuu? Mchezo ukiahirishwa wadhamini wanarudishiwa hela zao? Marefa wanalipwa posho zao?
1 Reactions
4 Replies
143 Views
Hakika ukimpa jicho huyu kijana Kuna viungo wengi nusu nusu Bora wako ndani yake control na skills ni nusu ya ZIDANE kuamrisha mchezo ni XAVI dribling skills ni INIESTA mtupu Huyu kijana kwakweli...
3 Reactions
82 Replies
1K Views
1. Kamati ya ufundi kutoka Kahana kuzuiwa kwenda kufanya kazi yake kiwanjani. 2. Kipa Kamara na Che Malone Kukosekana kwenye mechi kubwa kama Ile. 3. Aziz Ki kumbe hakuwa mgonjwa, atakuwepo. 4...
2 Reactions
5 Replies
372 Views
Back
Top Bottom