Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Mm nawaza hili jambo lazima litatokea tu maana mpira wa bongo una changamoto za mda mrefu sana, yote kwa yote kwa vile wao wameshasema hawatacheza tena najua mtawapa pointi 3, lkn kubalansi mambo...
4 Reactions
17 Replies
608 Views
Unaweza kujiuliza,unasajili mchezaji unamlipa karibia milioni 600 kwa mwaka,unasajili wachezaji wa kimataifa wengi,halafu huwezi kushinda bila uchawi?!! Unaamini uchawi lakini unacheza mechi za...
2 Reactions
5 Replies
205 Views
Shida iliopo n upigaji WIZI Na utapeli Nakuheshimu kama tff na BODI YENU Ila siwaogopi Ogopa DHAMBI ya kuwaogopa watu Kuwaogops wanadamu n kuleta LAANA maishani mwako HAya mambo yafike wakati...
0 Reactions
1 Replies
105 Views
Tukiacha ushabiki viongozi wa Simba waliweka mtego na Bodi ya ligi imejaa kwenye mfumo, kiuhalisia hakukuwa na sababu yeyote ya msingi ya Simba kugomea mechi. Lakini kwa Sasa Hivi huwezii kusema...
2 Reactions
9 Replies
373 Views
Hii timu kimya kimya bila mbwembwe niliacha kuiangalia, nafuatilia tu matokeo yake kutokana na kwamba kuna upuuzi mwingi sana ambao lawama zote zinaangukia katika uongozi. Simba iliuchagua...
5 Reactions
11 Replies
857 Views
  • Redirect
WAZIRI WA MAMBO YA NDANI WAZIRI WAULINZI NA WAZIRI WA MICHEZO SASA TUMESEMA TUMECHOKA TUNATAKA KUJUA HIZI PESA ZETU ZINAENDAGA WAPI KAMA HAMTURUDISHIIII?? HIZI MECHI ZIMEKUWA ZIKITUZOEA...
1 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Nilikuwa pub Moja nasubiria kuxika kinondon Niliposikia wale wehu wamekwenda kikaon saa NNE Nilimwambia aliekuwa MMOJA WA MJUMBE WA tff nae n mfiwa Nilimwambia NDUGU kama HII BODI NA VIONGOZI...
0 Reactions
Replies
Views
Inawezekana kukawa na Upenyo wa Kisheria Kwa Watu ambao wanenunua Ticket, wengine wamelipia Usafiri wa Ndege, Ma bus ama kutia Mafuta kwenye magari Yao kuja Dar es salaam. Wamelipia Hotel ama...
1 Reactions
3 Replies
147 Views
  • Redirect
YAANI HAWA JAMAA WANA SHIDA YA AFYA YA AKILI KUBWA SANA SOMENI HII BARUA MWISHON INASEMA BODI IMEHAIROSHA ILI KUPATA MDA WA KUPATA TAARIFA ZA UCHUNGUZI WALIVYO CRAIZY TAARIFA HAWAZIJAPATA BADO...
1 Reactions
Replies
Views
Ndugu Wananchi kwa dhati ya moyo wangu niwapongeze kwa kufika uwanjani kutoka kona zote nchini, mliosafiri kwa anga, mliosafiri kwa magari, mliopanda Pikipiki, mliopanda boti hadi Watembea kwa...
18 Reactions
59 Replies
2K Views
Hili swali nimelitoa humuhumu Kwa mwana JF nikali highligh tu maana hata Mimi nimejiuliza sana na nimeliuliza sana Kuanzia Jana ila Kila mtu ukimuuliza ana lala mbele.
6 Reactions
48 Replies
1K Views
  • Redirect
Hawa wapuuzi WA BODI wangekuwa Rwanda nawaambia kwa sasa wako ndani Jtatu wako MAHAKAMAN JNNE wananyea debeeeee Jtano WANAANDIKA URITHI kwa familia zaooooo YAAN kuna baadhi ya nchi unatamani...
1 Reactions
Replies
Views
Tanzania ipo katika mchakato wa kuandaa mashindano makubwa ya AFCON Mwezi Julai 2027 kwa kushirikiana na Kenya na Uganda. Tukio hili ni la kipekee na limetumia rasilimali nyingi hadi sasa na pia...
2 Reactions
10 Replies
348 Views
Kwa sababu bodi ya ligi na TFF wameshindwa kuendesha ligi kwa kuipendelea Yanga. Maumuzi watakayofanya juu ya sakata hili ni ya kukurupuka ili kumfurahisha baadhi ya vigogo huko serikalini. Hivyo...
1 Reactions
16 Replies
622 Views
It is deeply disheartening and utterly shameful that our nation, Tanzania, continues to suffer from a lack of competent intellectuals in decision-making—especially in matters as critical as...
8 Reactions
8 Replies
226 Views
Yanga yasema mechi dhidi ya Simba ipo TAARIFA KWA UMMA MACHI 08, 2025 Uongozi wa Young Africans Sports Club unapenda kuutaarifu Umma kuwa, mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC, uliopangwa kuchezwa leo...
5 Reactions
66 Replies
3K Views
WAKATI WATANZANIA MKSHANGAA VITUKO VYA JANA ISSUE IKO HIVI KUNA BOI MEMBERS WAKO PALE WANASAPOTI SIMBA WAKIONGOZWA NA RAIS WA TFF KARIA BAADA YAKUPITA WANAKOJUA SIMBA WAKADANGANYWA KESHO...
0 Reactions
0 Replies
64 Views
BREAKING: Mjumbe wa kamati ya Usimamizi na Uendeshaji wa ligi kuu Tanzania bara Ndugu Filimon Ntahilaja amejihudhuru nafasi yake muda mfupi uliopita na kutoka nje ya kikao baada ya maamuzi ya...
4 Reactions
25 Replies
1K Views
Ifike mahali ukweli usimame na uongo/ulaghai ushindwe. Kuna udhaifu mkubwa sana katika uongozi wa TFF iwe ni kwa sababu za maksudi au kwa ukosefu wa weledi. Pengine ni wakati Sasa Uongozi wa TFF...
3 Reactions
10 Replies
324 Views
Wadau wa Michezo, Ninayo yangu ya kushea! Ndugu wenye mamlaka ya Mpira hapa Tanzania ni TFF na Bodi ya ligi Tanzania,na kwa mamlaka ya Michezo Tanzania ndipo tunamkuta Baraza la Michezo Tanzania...
0 Reactions
1 Replies
50 Views
Back
Top Bottom