Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

3 Reactions
11 Replies
500 Views
Bila kumumunya maneno, hawa TFF wakishirikiana na hivi vilabu vya Simba na Yanga wamegundua sisi mashabiki wa Soka wa Tanzania ni wajinga, wapuuzi, wapumbavu na wafu. Wanaweza kutengeneza kanuni...
3 Reactions
16 Replies
301 Views
Leo 18:50hrs 08/03/2025 Simba ina sifa ya kugoma ila Yanga ina sifa ya utii na kufuata kanuni,sasa leo sababu ya utoto kabisa imehairisha mechi,hawakufikiria gharama za watu kutoka mikoa 31...
3 Reactions
9 Replies
652 Views
Hayaa ni maono niliyoshushiwa Mimi mwehu, katika njozi na wenye mamlaka ya DUNIA kuhusu mchezo wa tarehe 8 march 2025, baina ya Yanga sc dhidi ya Simba sc. Nami kwa unyenyekevu mkubwa nayaleta...
7 Reactions
23 Replies
678 Views
  • Redirect
Kifungu kilichokwaza mpira wa leo, kwa binafsi yangu ni Kifungu kisicho na maana yoyote, ----""Baadhi ya Viwanja kama Benjamin Mkapa stadium, kisiruhusiwe kuwa home ground stadium ya timu...
0 Reactions
Replies
Views
... [emoji471] 𝗖𝗛𝗔𝗠𝗣𝗜𝗢𝗡𝗦 [emoji91] Kabla Pep hajatua England wachambuzi wa England walikuwa wanaziponda ligi zingine kwa kuziita ni FARMER LEAGUE. Kwamba ligi hizo hazina ushindani kama ligi yao...
4 Reactions
25 Replies
2K Views
  • Redirect
Nimesoma tamko la bodi ya ligi kuhairisha mechi ya Yanga na Simba, lakini kuna kitu kinatatiza sana. Nini msukumo wa bodi ya ligi kuhairisha mechi ikiwa maandalizi yote muhimu yameshafanyika...
1 Reactions
Replies
Views
Full name: Brighton & Hove Albion F.C. Nickname(s): The Seagulls Short name: Brighton Founded: 1901 as Brighton & Hove United | 1901 as Brighton & Hove Albion F.C. Ground: Falmer Stadium...
11 Reactions
201 Replies
8K Views
Kila ulifanyalo Jaribu kuwaza ni athari gani utaleta,ikiwa ni negative basi fikiria mara mbili. 1.Watu wamesafiri kutoka mbali kwaajili ya hii kitu. 2.watu wamekodi usafiri na nyumba za kulala...
10 Reactions
25 Replies
645 Views
Licha ya mchezo kusogezwa mbele na Mamlaka za Mpira nchini, Yanga wametuma kikosi chao kinachoanza leo dhidi ya Simba kwa TFF hicho pichani, wakidai mechi ipo kama kawaida kwa upande wao Yanga...
11 Reactions
24 Replies
872 Views
  • Redirect
Kama mechi imeahirishwa wewe meneja wa uwanja kwann unaruhusu Yanga waingie uwanjani, mechi ushaambiwa haipo wewe umeruhusu Yanga waje na basi Lao waingize timu uwanjani, ulishindwa nn kufunga...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Kwa kuhofia kipigo cha mbwa koko kutoka Yanga viongozi wa Simba kwa makusudi kabisa hawakuzingatia kanuni inayoitaka timu ngeni kuwasiliana na Kamishna wa mchezo na meneja wa uwanja kuhusu kufanya...
1 Reactions
Replies
Views
Ukitaka kuamini uchawi upo, karibu Kila mechi ya Simba na Yanga inapochezwa lazima mvua Inyeshe hapa Dar Es Salaam. Jumamosi, mtaniambia 😄
3 Reactions
5 Replies
367 Views
Na declare interest. Mi Mwana msimbazi damu. Tuendeleee Tukiachana na Ushabiki pale hakuna Kanuni inayotubeba Simba ya kutofika uwanjani, hiyo kanuni hatuna ndio maana kwenye taarifa ya Klabu...
0 Reactions
6 Replies
434 Views
Kwa hasira kali! Kwa pamoja wananchi na wapenda soka wa Tanzania wamesikitishwa na suala zima la kughairishwa kwa mechi ya watani wa jadi baina ya Yanga na Simba. Viongozi wa bodi ya ligi na TFF...
3 Reactions
19 Replies
634 Views
Sijawahi kuona timu za ulaya kulalamika eti kufanya pitch feeling au mazoezi siku 1 kabla ya mchezo Yaani eti labda weekend hii ni mech ya Man u na Arsenal, Arsenal afike pale Old Trafford...
8 Reactions
68 Replies
1K Views
Viongozi wa simba wakikaa wakaamua jambo basi TFF na Bodi ya ligi kuu watatii Mechi ya Pamba na simba, mabaunsa wa simba walifanya fujo huko mwanza wakavunja madirisha na kuwafungia viongozi wa...
0 Reactions
6 Replies
497 Views
  • Redirect
Jana kama tungeruhusiwa kufanya mazoezi pale kwa Mkapa hakyamungu naapa juma pili msingeamka majumbani mwenu na jumatatu msingeenda kazini, sisi sio wajinga wajinga kama mnavyodhania, kama...
1 Reactions
Replies
Views
mechi sio ya kuiogopa ila ni rekodi mpya inayoenda kuwekwa Acha tuendelee kuwa na amani ya kufungwa mara nne mfululizo, acha tuishi nayo. Leo simba angeingia kwa Mkapa ingekuwa kujifedhehesha...
0 Reactions
1 Replies
142 Views
Kama hawa ndugu zetu wanaoamini ushirikina kwenye zama hizi wamegoma kucheza nashauri wachague uwanja wanaoutaka kwa mazingira wanayoyataka wao. Sisi Yanga tupo tayari kuwafuata kokote kule...
2 Reactions
14 Replies
240 Views
Back
Top Bottom