Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

(Kila kinachosikika ni lazima kiletwe humu); Kutoka chanzo muhimu, inasemekana kuwa licha ya barua Yao ya kutoshiriki derby ya Leo, kikosi Cha Simba kitapelekwa uwanjani kama kawaida tayari kwa...
8 Reactions
110 Replies
3K Views
  • Redirect
Bunju sio mbali nawashauri TFF kama simba wanakimbia basi tukachezee hapo hapo bunju kwao mwenda na chama wanapajua Leo watake wasitake lazima wafe
2 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Hii mechi nataka kuhudhuria je ni lini inachezwa??
0 Reactions
Replies
Views
Tukitoa mahaba na mapenzi na ushabiki wa hizi Timu mbili Simba na yanga ukweli usemwe tu. Simba na yanga ni kurwa na doto ni Timu zinazo Juana nje ndani. Akuna kitu amewahi fanya Simba yanga...
1 Reactions
2 Replies
133 Views
" Wajomba zangu nisiwafiche, Kwa Yanga hii Simba hamchomoki"
3 Reactions
23 Replies
1K Views
Wakubwa Habari... Nina swali kidogo kuhusu hawa jamaa maarufu kwa BETTING huko twitter mbona Yale Majamvi yao ya STAKE kubwakubwa ukiscan kwenye betslip scanner ya paripesa yanakataa? Ni mimi...
0 Reactions
6 Replies
185 Views
Barua hii iliyoandikwa na Simba Ina mkanganyiko sana sijui wamekurupuka ama vipi,,nimeisoma vizuri mstari baada ya mstari na nimeona wamejichanganya pakubwa! Kwanza nukuu ya kwanza hii hapa;- 1)...
7 Reactions
76 Replies
2K Views
Taarifa nilizonazo kutoka Kwa viongozi waandamizi wa club ya Simba ni kuwa katika kikao kilichofanyika usiku huu wamedhamiria kususia mechi Nilipomhoji kuhusu kanuni Kwa timu isiyofika uwanjani...
4 Reactions
29 Replies
1K Views
Hakuna asiyejua ushabiki wa kimpira kwa simba na yanga kwa raia wengi wa Tanzania! Pamoja na kuwepo sheria za mpira lakini mapenzi huwa hayafichiki kwa refa! Kwanini mechi za Derby ya simba na...
1 Reactions
16 Replies
435 Views
Hii sio kawaida na sijawai kuiona kwamba Simba anaenda kufanya mazoezi ya mwisho siku Moja kabla ya mechi akiwa na mabasi mawili makubwa la wachezaji na jingine aijulikani limejaza watu wa...
8 Reactions
92 Replies
2K Views
Tunaomba Jeshi la Polisi kupitia Kamanda mbobevu na mwenye weledi mkubwa wa kazi yake Kamanda Muliro kuhakikisha kua wanawachukulia hatua Kali ambao wanaojiita makomandoo ambao kimsingi Mimi...
0 Reactions
0 Replies
40 Views
  • Redirect
Hii kesi ni ndogo tu,tunahitaji barua au barua pepe ya kuthibitisha kuwa Simba ametoa taarifa ya kwenda kufanya mazoezi,wasijizonge na kuleta siasa katika mpira. Mechi ipo
2 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Simba kunyimwa kufanya mazoezi ya mwisho kwenye uwanja wa Mkapa ilikuwa sawa. Uwanja wa Mkapa uko kwenye matengenezo, na bahati nzuri timu zote hakuna inayocheza Wala kufanya mazoezi yake pale...
3 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
TFF na Kamati zenu huko msione Aibu kuweka hadharani Maamuzi ya mwisho na Simba SC ambayo wameyatoa baada ya nyie kwenda Kuwaomba kwa Kuwabembeleza kuwa Wacheze Mechi ya Leo pamoja na kuwatumia...
0 Reactions
Replies
Views
“Miaka ya nyuma siku kama ya leo kwa upande wetu sisi Simba usingizi unakuwa wa tofauti na muda mwingine mnaweza msilale kwa sababu mganga wa mwisho alikuwa anaondoka saa 9 usiku”-Amri Kiemba
2 Reactions
13 Replies
578 Views
Yaani mmekuwa na muda wa takribani wiki moja ya kufanya mazoezi na maandalizi yenu yote, mmetumia gharama kubwa sana halafu mnasusa mechi kisa kunyimwa kufanya mazoezi usiku? Simba mpo sahihi...
3 Reactions
18 Replies
514 Views
Vibaby boy, last born, drama queens, leo vimethibitisha rasmi hawa watoto wanapenda sana kuonewa huruma na kutafuta sababu tu ili mradi watu wawaonee huruma. Unasusia derby ili iweje wewe? Kwamba...
4 Reactions
43 Replies
767 Views
Watu wasisahaulishwe na yanga kufungwa jana ila yule refa hafai katika ligi kuu haswa mechi zinazohusisha timu yake ya yanga tangu dakika ya kwanza mpaka inafika 44 refa amekwisha wapa nusu ya...
3 Reactions
9 Replies
977 Views
Happy Holiday! Natumaini mnaendelea vizuri wana-Jamiiforums. Msukumo wa kuandika andiko hili umetokana kuangalia mechi tatu, pale ambapo Yanga amekutana na Mashujaa, Tanzania Prisons na hii mechi...
26 Reactions
148 Replies
5K Views
Vitu vingi vinatatiza makomandoo wa Yanga wanaamini ulozi sana kuliko timu yeyote hapa bongo mchezaji wao asipofunga wanasema amerogwa. Wao muda wote wazee wa timu ni kuzungumzia uchawi tu na...
2 Reactions
39 Replies
390 Views
Back
Top Bottom