Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Yanga haina hawa watu na katiba ya Yanga haiwatambui Kwamba hapa Tanzania Kuna kikundi kinachoitwa makomando wa Yanga ambacho Kwa makusidi linaweza kuzuia msafara wenye polisi kuingia uwanjani...
6 Reactions
17 Replies
423 Views
Derby ya Kariakoo kati ya Yanga na Simba ni moja ya mechi kubwa zaidi nchini, ikijaa ushindani ndani ya uwanja na tambo kutoka kwa mashabiki wa timu hizo mbili za mtaa wa Kariakoo. Hapa ni nyota...
0 Reactions
27 Replies
1K Views
Ikifika saa sita usiku kutakuwa nyuzi zisizopungua 3 za Simba na Yanga. Huwa inashangaza sana🤣 Hebu mtag anayefaa kuanzisha uzi huo ili wengine wapumzike tuu
11 Reactions
41 Replies
608 Views
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, tarehe 05.11.2023 iliyokuwa ikisubiriwa na Watanzania wengi imewadia. Siku ambayo wapenzi wa soka watashuhudia Derby ya Kariakoo, miongoni mwa Derby bora kati ya zile...
49 Reactions
2K Replies
179K Views
Salam wapenda "kandanda". Kwa muda mrefu shirikisho la mpira wa miguu Tanzania limekuwa dhaifu inapotokea inshu ya SIMBA & YANGA. TFF na bodi ya ligi (bodi dhaifu kabisa) wanakua tayari kuvunja...
0 Reactions
12 Replies
540 Views
Yanga kuwazuia Simba kufanya mazoezi sio kitendo cha kimichezo kabisa. Simba wasiende uwanjani leo, wakifanya hivyo ni kubariki huo uovu. Yanga watarudia tena na tena. Simba wakubali adhabu...
1 Reactions
20 Replies
449 Views
Ndugu wana JF, Kwanza nikiri kuwa mimi ni shabiki wa Simba Sports Club Miaka 33 sasa. Juzi nilikuwa Igurusi mkoani Mbeya kuna sehemu nilikuwa napata chakula. Eneo nililokuwepo nilikutana na...
0 Reactions
3 Replies
134 Views
Njia za mkato za ubingwa zipo tena rahisiiii
4 Reactions
8 Replies
461 Views
Simba wajipange kama wamefanya ujanja ujanja kutaka kutangaza mke kabla ya kumlipia mahari wala kutambulika rasmi,tangu dahali na dahali coastal union hawajawahi shindwa kesi wamuulize Aden Rage...
3 Reactions
18 Replies
883 Views
My Take Kama TFF haikushirikisha timu zote ni wapumbavu wa kudumu. Kwa nini walipanga mechi saa 11 wakijua kuna changamoto Updates Yanga wamepasha wamesepa. Hawa wizara na TFF wamewatafutia...
48 Reactions
486 Replies
71K Views
Habari wakuu, Huu ni uzi maalumu kwa wadau wote wa mpira wa miguu mnaotaka kuuelewa mpira na kuuchambua mnakaribishwa Pia wadau wote wenye hii taaluma mnakaribishwa kutoa somo na kubadilishana...
1 Reactions
5 Replies
131 Views
  • Redirect
YAH: TAARIFA YA SIMBA SPORTS CLUB KUHUSU MCHEZO WA LIGI KUU NBC DHIDI YA YANGA Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea barua ya malalamiko kutoka Simba Sports Club kuhusu changamoto...
0 Reactions
Replies
Views
Imebidi leo nifikirie kwa undani sana hizi taarifa zinazotolewa na vyombo vyetu vya habari mbali mbali hapa nchini kwa kupamba baadhi ya matangazo yakisema ligi namba 6 kwa ubora tanzania kiukweli...
0 Reactions
7 Replies
227 Views
Kumekuwa na kasumba ya kila mdau wa JF aonekane yeye ndio wa kwanza kufungua thread ya mechi ya Simba Vs Yanga. Matokeo yake mpaka ni mlundikano wa nyuzi japo huwa zinakujwa kuunganishwa. Mbaya...
19 Reactions
42 Replies
1K Views
Wana simba walikusamehe ile mechi ya Kwanza kwa kukosa weredi wa kutumbukiza mpira golini ulikua na option mbili ufunge wewe au umpe pasi kibu wakati huo diara hakua golini ukareta mbwembwe za...
4 Reactions
14 Replies
379 Views
Nikiwa kijana mdogo kabisa , 30 August 2013 pale Fortuna Arena Czech republic, ilipigwa mechi Kali ya UEFA super cup ,ambayo kwangu ndio mechi Bora ya soka kuwahi kuishuhudia maishani mpaka sasa...
3 Reactions
37 Replies
563 Views
Habari. Naona TFF wameanza kupata funzo muda si mrefu wametangaza kuhahirisha mechi. Na kwa muda huu wanaomba waandishi wa habari kuwasogezea vipaza sauti kwa mahojiano zaidi. Kwa maelezo zaidi...
6 Reactions
129 Replies
11K Views
Wakuu, Mpaka siku ya mechi imefika sijaona mtu aliyeomba ban, imekuaje tena? Hakuna anayejiamini kuwa team yake ni kigogo bahari?😂🤣🤣 Embu njooni mjitutumue bana tupate raha ya kuwaita...
1 Reactions
0 Replies
62 Views
Back
Top Bottom